Tundu Lissu hajawahi kunyamaza na hatonyamazishwa kamwe

Tundu Lissu hajawahi kunyamaza na hatonyamazishwa kamwe

Kama yeye ni mbabe, saa hizi yuko wapi? Hakuna mtu anayeweza kushindana na dola, hasa katika kipindi hiki. Hata kama una pembe ngumu namna gani ni lazima hizo pembe zitang'olewa na hatimaye utashika adabu tu.
Katiba inampa uhuru Lissu wa kujieleza.
Jibuni hoja zake.Acheni miguvu..#Wapiga kura wanaangalia mchezo mzima.
 
Acha wajaribu kupambana na huyu jamaa lakini kamwe hawatashinda. Lissu ni Heavy weight politician. Atazidi kuwaumbua kila uchao.
siku zote wajinga wanasifa za kijinga ngoja tuone mwisho, Nchi ngumu Sana hii...
 
Walibembelezwa wakati wa awamu ya iliyopita, huu ni wakati mwingine, ni lazima nidhamu iwepo katika nchi.
 
Ulimboka was not a politician,so tofautisha yeye na mtu ambaye hata haya anayofanyiwa atayafungulia kesi kwani ni usumbufu kwake.
Kama si Tanzania basi ni the Hague Uholanzi
huwezi kuniambia kuwa lissu ni mwanasiasa makini nikakukubalia hata kidogo huyu c mwana siasa bali ni mwanaharakati na mpiga kelele tu mwanasiasa makini cku zote. ujenga hoja zenye mashiko si kuongea kauli zenye kuvunja amani au kufanya ushawishi wowote wenye kuatalisha amani vitendo afanyavyo lissu ni vitendo vya kiharakati si kisiasa Na ni mtu ambae anataka kucheza na akili za watu kwa propaganda dhaifu na kupata attention ya vyombo vya habari lakini linapo kuja swala. la hoja zenye mashiko lissu ni mweupe huwezi hata kumlinganish@ na mnyika, zitto,
 
huwezi kuniambia kuwa lissu ni mwanasiasa makini nikakukubalia hata kidogo huyu c mwana siasa bali ni mwanaharakati na mpiga kelele tu mwanasiasa makini cku zote. Na ni mtu ambae anataka kucheza na akili za watu kwa propaganda dhaifu na kupata attention ya vyombo vya habari lakini linapo kuja swala. la hoja zenye mashiko lissu ni mweupe huwezi hata kumlinganish@ na mnyika, zitto,
Tundu lissu amesambaratisha kabisa ccm kwenye jimbo lake , kuanzia serikali za vijiji hadi kata , kwa singida hii haikuwa kazi nyepesi .
 
Hkuna mtu muoga kama Lissu,walikuwa wanasheria wa mazingira yeye na mwenzie walijificha miaka mitano wakati wa sakata la kufukiwa wachimbaji wadogo BulyanhuluVP CM HUPOKEI AU 2IFUTE NO MAANA SISI HA2NA UMUHI MDG WANGU BYE BABU YAKO ZUMBE
 
Nadhani mzee wa kubana matumizi itabidi aingie gharama za kujenga Cello ya T. Lissu!! Make Kosa umchanganye tu na mahabusu wengine, tiyari wamepata wakili wao-kesi zote zinakanwa na kuanza upya!!

Nakumbuka majuzi alivyo lala Cello alirudi na kuwatetea walio vunjwa miguu na waliosoteswa muda mrefu Rumande. Ili lilazimu jeshi la Polisi kufuatilia na kutoa taarifa kwa vyombo vya habari.
 
Nadhani mzee wa kubana matumizi itabidi aingie gharama za kujenga Cello ya T. Lissu!! Make Kosa umchanganye tu na mahabusu wengine, tiyari wamepata wakili wao-kesi zote zinakanwa na kuanza upya!!

Nakumbuka majuzi alivyo lala Cello alirudi na kuwatetea walio vunjwa miguu na waliosoteswa muda mrefu Rumande. Ili lilazimu jeshi la Polisi kufuatilia na kutoa taarifa kwa vyombo vya habari.
Tundu lissu ni shujaa .
 
Eeeee Mwenyezi Mungu na mwing wa Rehema na Fadhila zako Daima hukuwahi kuwangusha watetezi wa wanyonge zaidi ya kuamuabisha muonevu mbele ya kadamnasi, na daima Nuru yako hakuwahi kushindwa mbele ya GIza.

Tunazudi kukuomba pia uendelee kuwahaibisha wale wote wanao wanyanyasa na kujaribu kuwanyamazisha wenzao kwa mamlaka ya duniani dhidi ya UTAFUTAJI WA HAKI DHIDI YA WANYONGE.
 
Back
Top Bottom