Charles Gerald
JF-Expert Member
- Mar 31, 2016
- 1,403
- 1,837
Watamuelewa tu,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukikua utaachaMwaka huu atapigia kelele zake ukonga kwa wafungwa wenzie ila wafungwa watafaidika atakuwa anawaandikia rufaa wafungwa wenzake
Acha maneno ya kipuuzi, hakuna anyeshindana na dola, Mtu akiapa kulinda Katiba na Sheria ni lazima atimize, hataki akachunge ng,ombe wake ambao atawaswaga atakavyo.Kama yeye ni mbabe, saa hizi yuko wapi? Hakuna mtu anayeweza kushindana na dola, hasa katika kipindi hiki. Hata kama una pembe ngumu namna gani ni lazima hizo pembe zitang'olewa na hatimaye utashika adabu tu.
Kama ambavyo hakuna kiongozi anayesigina katiba aliyoapa kuilinda.Duniani kote Hamna democrasia ya kutukana watu
Lini sasa na muda unayoyoma ?Ataufyata tu. Hizo ni kelele za mfa maji.
Ataufyata tu. Hizo ni kelele za mfa maji.
Asante sana mkuu kwa kutukumbusha tulikotokea hadi siku ya leo na bado tunaendelea kushuhudia uimara na usmart wa lisu na tunamuombea kila la kheri aendelee kusimamia haki za watanzaniaNaomba hii iwe angalizo kwa wote wanaodhani wanaweza kumnyamazisha Tundu Lissu. Ukifuatilia tangu awamu ya 3 huyu mtu alikuwa mwiba halisi kwa uanika ukweli kuhusu wachimbaji waliozikwa kibabe huko kanda ya ziwa ili kupisha mwekezaji, Mh. Lyatonga Mrema na IGP Mahita wanalifahamu hili vizuri sana.
Pamoja na vitisho vyote Lissu hakuwahi kumpigia magoti mtu yeyote na mwisho wa siku ukweli ulikuja kubainika, Mungu aziweke mahali pema peponi roho za wahanga wale, Amina.
Awamu ya nne ya Mh Profesa Kikwete makali ya Lissu ya kusimamia ukweli wote mnayafahamu, kuna wakati Dk Kikwete alinukuliwa akisema " NI HERI DR SLAA AENDE IKULU KULIKO TUNDU LISSU AINGIE BUNGENI " Dr slaa hakwenda ikulu lakini Tundu Lissu aliingia bungeni kwa kishindo.
Huyu mtu hanyamazishwi na wanadamu, atanyamaza pale tu Mungu atakapomtwaa kwa hiyari yake lakini si kwa hila za wanadamu wenye mwili na nyama.
Umekua hakimu mfawidhi,na hapohapo umekua jaji wa mahakama ya rufaa,na isitoshe hata katiba huijui nini kusoma katiba.Jazba hazitakiw kwenye masuala ya kitaalam mdau.Ona sasa jana kesi imeenda hadi saa 3 usiku nadhan kama wangekua na mawazo yako wangemlaza tu,Mwaka huu atapigia kelele zake ukonga kwa wafungwa wenzie ila wafungwa watafaidika atakuwa anawaandikia rufaa wafungwa wenzake
Hahahaa kama mmeanza kuandaa ndoo za vinyesi, hatakuja kubeba mtazubeba wenyewe...Mwaka huu atapigia kelele zake ukonga kwa wafungwa wenzie ila wafungwa watafaidika atakuwa anawaandikia rufaa wafungwa wenzake