Tundu Lissu hakubaliki kwao? Singida haijawahi kuwa na Mbunge wa CHADEMA kwenye Majimbo yote 8 ya Singida kasoro analotoka yeye!

Tundu Lissu hakubaliki kwao? Singida haijawahi kuwa na Mbunge wa CHADEMA kwenye Majimbo yote 8 ya Singida kasoro analotoka yeye!

Fortilo

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2012
Posts
5,807
Reaction score
17,416
20250105_145739.jpg

Tukisema kiongozi anapimwa kea perfomance na sio blabla muwe mnatuelewa.

Toka uchaguzi wa vyama vingi 1995, na Tundu Lissu kujiunga CHADEMA kama mwanachama Muandamizi, takribani miaka 30 sasa.

Singida haijawahi kuwa na mbunge yeyote wa Upinzani ukiacha yeye mwenyewe Tundu Lissu jimboni kwake Singida Mashariki.

Nadhani ndie mbunge pekee ambae Kanda yake haina mbunge hata mmoja wa Upinzani ukiacha Morogoro.

Pamoja na ushawishi wake kwanini wananchi wa maeneo anayotoka hawamuelewi?

Sio Dodoma sio Singida Mambo manne;

1. Hapendi kusaidia wengine
2. Anawadharau wengine
3. Hakubaliki kwao ukiacha jimboni kwake pekee.
4. Hafanyi kazi za chama ipasavyo.

Majimbo nane yeye ana score ya 1/8 alafu analeta hoja za kujenga chama? Unajenga vip chama wakati huna historia hiyo?

Tofaut na Mpinzani wake mkuu, Freeman Mbowe... Ameijenga ipasavyo Kaskazini na zaidi mkoa anaotoka kuna kipindi alikuwa na wabunge 8/9.

Anaongea sana lakini anazidiwa Mbali sana na Heche, Sugu, Mnyika, Bony Yai, Wenje, na viongoz wengine wasio na majigambo lakini kazi zao zinaonekana.

Lissu sio mchapa kazi kama anavyojitapa? Kama hilo dogo anashindwa ataweza vipi kujenga Chadema nchi nzima?
 
Tukisema kiongozi anapimwa kea perfomance na sio blabla muwe mnatuelewa.

Toka uchaguzi wa vyama vingi 1995, na Tundu Lissu kujiunga chadema kama mwanachama Muandamizi, takribani miaka 30 sasa..

Singida haijawahi kuwa na mbunge yeyote wa Upinzani ukiacha yeye mwenyewe Tundu Lissu jimboni kwake Singida Mashariki.

Nadhani ndie mbunge pekee ambae Kanda yake haina mbunge hata mmoja wa Upinzani ukiacha Morogoro.

Pamoja na ushawishi wake kwanini wananchi wa maeneo anayotoka hawamuelewi?

Sio Dodoma sio Singida.... Mambo manne

1. Hapendi kusaidia wengine
2. Anawadharau wengine
3.Hakubaliki kwao ukiacha jimboni kwake pekee .
4. Hafanyi kazi za chama ipasavyo.

Majimbo nane yeye ana score ya 1/8 alafu analeta hoja za kujenga chama? Unajenga vip chama wakati huna historia hiyo?

Tofaut na Mpinzani wake mkuu, Freeman Mbowe... Ameijenga ipasavyo Kaskazini na zaidi mkoa anaotoka kuna kipindi alikuwa na wabunge 8/9.

Anaongea sana lakini anazidiwa Mbali sana na Heche, Sugu, Mnyika, Bony Yai, Wenje, na viongoz wengine wasio na majigambo lakini kazi zao zinaonekana .

Lissu sio mchapa kazi kama anavyojitapa?

Kama hilo dogo anashindwa ataweza vipi kujenga Chadema nchi nzima?
Amewabanaaa mbavu haswaaas
 
Tukisema kiongozi anapimwa kea perfomance na sio blabla muwe mnatuelewa.

Toka uchaguzi wa vyama vingi 1995, na Tundu Lissu kujiunga CHADEMA kama mwanachama Muandamizi, takribani miaka 30 sasa..

Singida haijawahi kuwa na mbunge yeyote wa Upinzani ukiacha yeye mwenyewe Tundu Lissu jimboni kwake Singida Mashariki.

Nadhani ndie mbunge pekee ambae Kanda yake haina mbunge hata mmoja wa Upinzani ukiacha Morogoro.

Pamoja na ushawishi wake kwanini wananchi wa maeneo anayotoka hawamuelewi?

Sio Dodoma sio Singida.... Mambo manne

1. Hapendi kusaidia wengine
2. Anawadharau wengine
3.Hakubaliki kwao ukiacha jimboni kwake pekee .
4. Hafanyi kazi za chama ipasavyo.

Majimbo nane yeye ana score ya 1/8 alafu analeta hoja za kujenga chama? Unajenga vip chama wakati huna historia hiyo?

Tofaut na Mpinzani wake mkuu, Freeman Mbowe... Ameijenga ipasavyo Kaskazini na zaidi mkoa anaotoka kuna kipindi alikuwa na wabunge 8/9.

Anaongea sana lakini anazidiwa Mbali sana na Heche, Sugu, Mnyika, Bony Yai, Wenje, na viongoz wengine wasio na majigambo lakini kazi zao zinaonekana .

Lissu sio mchapa kazi kama anavyojitapa?

Kama hilo dogo anashindwa ataweza vipi kujenga Chadema nchi nzima?
Kwani huwa kuna uchaguzi au uchavuzi?
 
Hayo mmekuja kuyaona leo hii anapotaka nafasi ya mwenye chama lakini unasahau unaemuita asiekubalika kwao mlitaka awe raisi 🤔🤔 mpingeni kwa hoja kama yeye anavyotoa hoja sio porojo zisizokua na msingi
 

Tukisema kiongozi anapimwa kea perfomance na sio blabla muwe mnatuelewa.

Toka uchaguzi wa vyama vingi 1995, na Tundu Lissu kujiunga CHADEMA kama mwanachama Muandamizi, takribani miaka 30 sasa.

Singida haijawahi kuwa na mbunge yeyote wa Upinzani ukiacha yeye mwenyewe Tundu Lissu jimboni kwake Singida Mashariki.

Nadhani ndie mbunge pekee ambae Kanda yake haina mbunge hata mmoja wa Upinzani ukiacha Morogoro.

Pamoja na ushawishi wake kwanini wananchi wa maeneo anayotoka hawamuelewi?

Sio Dodoma sio Singida Mambo manne;

1. Hapendi kusaidia wengine
2. Anawadharau wengine
3. Hakubaliki kwao ukiacha jimboni kwake pekee.
4. Hafanyi kazi za chama ipasavyo.

Majimbo nane yeye ana score ya 1/8 alafu analeta hoja za kujenga chama? Unajenga vip chama wakati huna historia hiyo?

Tofaut na Mpinzani wake mkuu, Freeman Mbowe... Ameijenga ipasavyo Kaskazini na zaidi mkoa anaotoka kuna kipindi alikuwa na wabunge 8/9.

Anaongea sana lakini anazidiwa Mbali sana na Heche, Sugu, Mnyika, Bony Yai, Wenje, na viongoz wengine wasio na majigambo lakini kazi zao zinaonekana.

Lissu sio mchapa kazi kama anavyojitapa? Kama hilo dogo anashindwa ataweza vipi kujenga Chadema nchi nzima?
Una elimu kiasi gani ?
Una fahamu Lissu amekuwa mbunge mara ngapi ?
 
Kwa tume hii ya ccm na katiba hii ya kisengee ccm mnajtapa nn khs uchaguzi iletwe tume huru na katiba mpya mwende ccm wote singida mkapambane na lissu peke yake singida yote tuone hcho unachoksema
 

Tukisema kiongozi anapimwa kea perfomance na sio blabla muwe mnatuelewa.

Toka uchaguzi wa vyama vingi 1995, na Tundu Lissu kujiunga CHADEMA kama mwanachama Muandamizi, takribani miaka 30 sasa.

Singida haijawahi kuwa na mbunge yeyote wa Upinzani ukiacha yeye mwenyewe Tundu Lissu jimboni kwake Singida Mashariki.

Nadhani ndie mbunge pekee ambae Kanda yake haina mbunge hata mmoja wa Upinzani ukiacha Morogoro.

Pamoja na ushawishi wake kwanini wananchi wa maeneo anayotoka hawamuelewi?

Sio Dodoma sio Singida Mambo manne;

1. Hapendi kusaidia wengine
2. Anawadharau wengine
3. Hakubaliki kwao ukiacha jimboni kwake pekee.
4. Hafanyi kazi za chama ipasavyo.

Majimbo nane yeye ana score ya 1/8 alafu analeta hoja za kujenga chama? Unajenga vip chama wakati huna historia hiyo?

Tofaut na Mpinzani wake mkuu, Freeman Mbowe... Ameijenga ipasavyo Kaskazini na zaidi mkoa anaotoka kuna kipindi alikuwa na wabunge 8/9.

Anaongea sana lakini anazidiwa Mbali sana na Heche, Sugu, Mnyika, Bony Yai, Wenje, na viongoz wengine wasio na majigambo lakini kazi zao zinaonekana.

Lissu sio mchapa kazi kama anavyojitapa? Kama hilo dogo anashindwa ataweza vipi kujenga Chadema nchi nzima?
Wamachame mumevurugwa mbaya
 

Tukisema kiongozi anapimwa kea perfomance na sio blabla muwe mnatuelewa.

Toka uchaguzi wa vyama vingi 1995, na Tundu Lissu kujiunga CHADEMA kama mwanachama Muandamizi, takribani miaka 30 sasa.

Singida haijawahi kuwa na mbunge yeyote wa Upinzani ukiacha yeye mwenyewe Tundu Lissu jimboni kwake Singida Mashariki.

Nadhani ndie mbunge pekee ambae Kanda yake haina mbunge hata mmoja wa Upinzani ukiacha Morogoro.

Pamoja na ushawishi wake kwanini wananchi wa maeneo anayotoka hawamuelewi?

Sio Dodoma sio Singida Mambo manne;

1. Hapendi kusaidia wengine
2. Anawadharau wengine
3. Hakubaliki kwao ukiacha jimboni kwake pekee.
4. Hafanyi kazi za chama ipasavyo.

Majimbo nane yeye ana score ya 1/8 alafu analeta hoja za kujenga chama? Unajenga vip chama wakati huna historia hiyo?

Tofaut na Mpinzani wake mkuu, Freeman Mbowe... Ameijenga ipasavyo Kaskazini na zaidi mkoa anaotoka kuna kipindi alikuwa na wabunge 8/9.

Anaongea sana lakini anazidiwa Mbali sana na Heche, Sugu, Mnyika, Bony Yai, Wenje, na viongoz wengine wasio na majigambo lakini kazi zao zinaonekana.

Lissu sio mchapa kazi kama anavyojitapa? Kama hilo dogo anashindwa ataweza vipi kujenga Chadema nchi nzima?
Sema Wachagga wabinafsi sana.

Mbowe huoni aibu miaka 20+ bado unang'ang'ania uenyekiti?
 
Una elimu kiasi gani ?
Una fahamu Lissu amekuwa mbunge mara ngapi ?
Una Muda tudiscuss Biochemistry mkuu?

Mbunge akiwa mwenyewe kwa awamu mbili sio? Na walio kaa miaka 20 wasemeje.

Majimbo mengine ameyasaidia vip
 
CCM imewaaminisha Wanyaturu waliowengi kuwa Umasikini ni Uzalendo.
Ndio maana nyumba nyingi za tembe zina Bendera ya ccm.
Sasa kwanini na yeye hatumii ushawish wake kupata majimbo mkoani kwake..

Yeye ni kulipuka tu
 
Back
Top Bottom