Tundu Lissu hakubaliki kwao? Singida haijawahi kuwa na Mbunge wa CHADEMA kwenye Majimbo yote 8 ya Singida kasoro analotoka yeye!

Tundu Lissu hakubaliki kwao? Singida haijawahi kuwa na Mbunge wa CHADEMA kwenye Majimbo yote 8 ya Singida kasoro analotoka yeye!

Iko hivi, Singida haina amshaamsha ya upinzani kama mikoa ya kilimanjaro, arusha, mbeya, kigoma, lindi, mtwara na mara. Singida huwa wanaona ukichagua upinzani ni kuleta vurugu. Singida wanachojua ni CCM tu ndivyo mentality yao ilivyojengeka. Jimbo la singida mashariki anakotoka Lissu ndilo lilikuwa na amshaamsha ambaye yeye alisimamia shoo hiyo. Baada ya kupata matatizo yale upinzani ulilegea wengi walirudi ccm waliona isiwe taabu. Hayo majimbo mengine ya mkoa wa singida Lissu hakuwa na ushawishi huko, cheki majimbo ya manyoni yote mawili ni ccm tu imetamalaki huko. Iramba yote pia hakuwa na ushawishi mkubwa. Ukiangalia kanda ya kati yote ni ngome ya ccm, haina upinzani. Kuna dhana kuwa nabii huwa hakubaliki nyumbani kwao.
 
Iko hivi, Singida haina amshaamsha ya upinzani kama mikoa ya kilimanjaro, arusha, mbeya, kigoma, lindi, mtwara na mara. Singida huwa wanaona ukichagua upinzani ni kuleta vurugu. Singida wanachojua ni CCM tu ndivyo mentality yao ilivyojengeka. Jimbo la singida mashariki anakotoka Lissu ndilo lilikuwa na amshaamsha ambaye yeye alisimamia shoo hiyo. Baada ya kupata matatizo yale upinzani ulilegea wengi walirudi ccm waliona isiwe taabu. Hayo majimbo mengine ya mkoa wa singida Lissu hakuwa na ushawishi huko, cheki majimbo ya manyoni yote mawili ni ccm tu imetamalaki huko. Iramba yote pia hakuwa na ushawishi mkubwa. Ukiangalia kanda ya kati yote ni ngome ya ccm, haina upinzani. Kuna dhana kuwa nabii huwa hakubaliki nyumbani kwao.
 
Hata akitumia kura zinaibiwa tu hakuna uwanja sawa wa siasa tokea awamu ya 4.
Mbona wenzake wameweza?

Hata watu wa maana Chadema kutoka Singida hawapo?

Kuna shida gani? Ana tatizo gani?
 
Kweni hao walionunuliwa na CCM akina Mkumbo ni watu wa Mkoa gani?
Mkumbo na nani? si unaona unavyowahesabu kwa vidole

Btw Mkumbo anatoka ubungo kwa mujibu wa mada.
 
Unampima kwa uchagga wake au kwa uamuzi wake?

Kwani wewe nini kilikunyima usiwe mchaga
Ashaishiwa mzee umebaki ubinafsi tu.

Wachagga mna ubinafsi sans mkizani kila mtu anahusudu kuwa Mchagga, Nyinyi jamaa ni wa hovyo kabisa.
 
Iko hivi, Singida haina amshaamsha ya upinzani kama mikoa ya kilimanjaro, arusha, mbeya, kigoma, lindi, mtwara na mara. Singida huwa wanaona ukichagua upinzani ni kuleta vurugu. Singida wanachojua ni CCM tu ndivyo mentality yao ilivyojengeka. Jimbo la singida mashariki anakotoka Lissu ndilo lilikuwa na amshaamsha ambaye yeye alisimamia shoo hiyo. Baada ya kupata matatizo yale upinzani ulilegea wengi walirudi ccm waliona isiwe taabu. Hayo majimbo mengine ya mkoa wa singida Lissu hakuwa na ushawishi huko, cheki majimbo ya manyoni yote mawili ni ccm tu imetamalaki huko. Iramba yote pia hakuwa na ushawishi mkubwa. Ukiangalia kanda ya kati yote ni ngome ya ccm, haina upinzani. Kuna dhana kuwa nabii huwa hakubaliki nyumbani kwao.
Yeye anashindwa nini mbona wenzake wanaweza
 
Ashaishiwa mzee umebaki ubinafsi tu.

Wachagga mna ubinafsi sans mkizani kila mtu anahusudu kuwa Mchagga, Nyinyi jamaa ni wa hovyo kabisa.
Huwapendi wachagga sasa utafanyaje?

Kuna jamaa alikuwa hawapendi akafa ghafla
 
Huwapendi wachagga sasa utafanyaje?

Kuna jamaa alikuwa hawapendi akafa ghafla
Utakuwa ushakunywa Cuca dogo.

Mwambieni Mbowe apumzike hana jipya umri umeenda awaachie vijana sasa.

Tunategemea mshajichanganya na makabila mengine mnaacha UBINAFSI.

Aibu mtu kung'ang'ania kiti miaka zaidi ya 20 halafu mnaita chama cha demokrasia.
 
Tofaut na Mpinzani wake mkuu, Freeman Mbowe... Ameijenga ipasavyo Kaskazini na zaidi mkoa anaotoka kuna kipindi alikuwa na wabunge 8/9.
Lowassa effect na nature ya kilimanjaro kuwa opposition miaka mingi sio tu chadema hata Nccr ya enzi hizo, TLP n.k

Singida ni koloni la CCM kama ilivyokua Dodoma, hivyo hata Lissu tu kushinda ubunge ilikua ni exceptional.
 
Lowassa effect na nature ya kilimanjaro kuwa opposition miaka mingi sio tu chadema hata Nccr ya enzi hizo, TLP n.k

Singida ni koloni la CCM kama ilivyokua Dodoma, hivyo hata Lissu tu kushinda ubunge ilikua ni exceptional.
Sio Kweli, Mbona Katavi wameweza
 
mentality ya watu wa eneo la kati inachojua ni ccm tu. Elimu nayo ni sababu ya eneo hilo kutokutaka mabadiliko
He is not doing enough.

Huwa hafanyi kazi bwana, usimtetee..

Hata Singida mjini penye mchanganyiko mkubwa vile wa makabila?
 

Tukisema kiongozi anapimwa kea perfomance na sio blabla muwe mnatuelewa.

Toka uchaguzi wa vyama vingi 1995, na Tundu Lissu kujiunga CHADEMA kama mwanachama Muandamizi, takribani miaka 30 sasa.

Singida haijawahi kuwa na mbunge yeyote wa Upinzani ukiacha yeye mwenyewe Tundu Lissu jimboni kwake Singida Mashariki.

Nadhani ndie mbunge pekee ambae Kanda yake haina mbunge hata mmoja wa Upinzani ukiacha Morogoro.

Pamoja na ushawishi wake kwanini wananchi wa maeneo anayotoka hawamuelewi?

Sio Dodoma sio Singida Mambo manne;

1. Hapendi kusaidia wengine
2. Anawadharau wengine
3. Hakubaliki kwao ukiacha jimboni kwake pekee.
4. Hafanyi kazi za chama ipasavyo.

Majimbo nane yeye ana score ya 1/8 alafu analeta hoja za kujenga chama? Unajenga vip chama wakati huna historia hiyo?

Tofaut na Mpinzani wake mkuu, Freeman Mbowe... Ameijenga ipasavyo Kaskazini na zaidi mkoa anaotoka kuna kipindi alikuwa na wabunge 8/9.

Anaongea sana lakini anazidiwa Mbali sana na Heche, Sugu, Mnyika, Bony Yai, Wenje, na viongoz wengine wasio na majigambo lakini kazi zao zinaonekana.

Lissu sio mchapa kazi kama anavyojitapa? Kama hilo dogo anashindwa ataweza vipi kujenga Chadema nchi nzima?
Tundu lissu hajawahi kuwa mbunge? Brothet go home, you know nothing
 
Back
Top Bottom