Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Hakuna tafsiri yoyote ya kisheria nchini inayosema kuna kitu kinaitwa kampeni kabla ya wakati

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Hakuna tafsiri yoyote ya kisheria nchini inayosema kuna kitu kinaitwa kampeni kabla ya wakati

Sasa atapambanaje na mtu bila kumtaja kwenye Siasa mnataka kumpangia cha kusema ati bora kule sijui nini kama humuelewi si utamnyima tu kura unamia nini wengine wanapenda hivo anavofanya na watamchagua.
Sasa subiri ataambulia asilimia 20 kwa umbumbu wake wa kutajataja watu badala ya kutaja sera!

Huyu atazidi kuchanganyikiwa siku matokeo yakitoka na kujikuta kashindwa vibaya sana.
 
amerudi nchini kakuta kila TV station, magazeti, radio na kila mahali watu wanamtaja Magufuli.

sasa kuna nongwa gani kwa Lissu naye kuwaunga mkono aliowakuta katika kulitaja hilo jina la "mtukufu yesu"??
Subiri oktoba atapata jibu
 
Huyu sijui anazungumza sheria za nchi gani kwani sheria za Tanzania ziko wazi sana kuhusu jambo hili. Kuna sheria ya Uchaguzi CAP 343 ya mwaka 2015, sheria ya matumizi ya Uchaguzi namba 6 ya mwaka 2010, pamoja na taarifa ya kawaida namba 722 kwenye Gazeti la serikali toleo la 23 la tarehe 5 June 2020. maandiko yote hayo yanasisitiza kuwa kampeini zinafanyika zikiwa zimeratibiwa na tume ya Taifa ya Uchaguzi. Kwa vile tume imeshasema kuwa kampeini zitaanza tahere 26 August, mtu yeyote anayefanya kampeini kabla ya wakati huo anavunja sheria. Maandiko hayo pia yameeleza maana ya kampeini ni nini.

View attachment 1536520


View attachment 1536519

View attachment 1536517
kampeni ni nini? je lissu kafanya? mbona lowasa alitembea na mabasi nchi nzima na mlikaaa kimya
 
kampeni ni nini? je lissu kafanya? mbona lowasa alitembea na mabasi nchi nzima na mlikaaa kimya
Soma ile sheria sura ya 343 inatamka wazi kampeini maana yake ni nini. Kutokujua sheria siyo utetezi; Lissu ni mwanasheria na analijua hilo ila huenda ni katika moja ya mikakati yake ya "kupeleka watu barabarabani".
 
Huyu sijui anazungumza sheria za nchi gani kwani sheria za Tanzania ziko wazi sana kuhusu jambo hili. Kuna sheria ya Uchaguzi CAP 343 ya mwaka 2015, sheria ya matumizi ya Uchaguzi namba 6 ya mwaka 2010, pamoja na taarifa ya kawaida namba 722 kwenye Gazeti la serikali toleo la 23 la tarehe 5 June 2020. maandiko yote hayo yanasisitiza kuwa kampeini zinafanyika zikiwa zimeratibiwa na tume ya Taifa ya Uchaguzi. Kwa vile tume imeshasema kuwa kampeini zitaanza tahere 26 August, mtu yeyote anayefanya kampeini kabla ya wakati huo anavunja sheria. Maandiko hayo pia yameeleza maana ya kampeini ni nini.

View attachment 1536520


View attachment 1536519

View attachment 1536517
Huyu huwa anadanganya misukule yake iliyojazana humu mitandaoni! Si unaona inavyotiririka hapa.

Huyu asubiri wanaoju sheria wamfundishe, ndio atapata muda mzuri wa kuwafurahaisha hawa misukule wake
 
ccm mabombadia yenu yatawapigia kura
Hodiiiii..
JamiiForums-561822830_720x720.jpg
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Huyu jamaa akiongea kitu bila kumtaja Magufuli hawezi kabisa,!

Lisu bora wangeaacha tu aendelee na harakati za kisheria lakini kumuweka kwenye hiyo nafasi apambane na Magufuki ni kupoteza muda.
Angeweza kuisema ccm, lakini 2015 mlisema chagua magufuli siyo ccm,
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Huyu jamaa akiongea kitu bila kumtaja Magufuli hawezi kabisa,!

Lisu bora wangeaacha tu aendelee na harakati za kisheria lakini kumuweka kwenye hiyo nafasi apambane na Magufuki ni kupoteza muda.
Harafu Magufuli wala hana time na lissu. Lissu ili apate kusikilizwa lazima amtaje Magufuli.
 
Binafsi sioni kampeni bali naona mapicha picha tu. CDM wamshauri Mgombea asijiingize kwenye Siasa za kutafuta huruma. Ajitahidi kujenga hoja na kutafsiri Sera za CDM na llani ya Uchaguzi kila apatapo nafasi. Watz hawana kiu ya kujua kwamba Nchi haina Demokrasia, haiko huru, nilipigwa risasi nk. Tuna kiu ya kujua CDM itafanya nni tukiipa nafasi ya kuingia lkulu!!
Lisu hawezi! Hawezi kamwe!

Unapoziona akili hizi za vijembe za hawa wafuasi wake waliopo humu na yeye ndio hivyohivyo.

Akitoa hivyo vijembe vyake na wafuasi wake kumshangilia, basi hupata mizuka zaidi na kujiona yeye ndio genius,!

Sasa wenye akili tutamfundisha oktoba kwamba kuwa rais ni zaidi ya kumshtaki Magufuli kwa kununua jogoo.
 
Ni magufuli ndiyo. Kwani inashindikana?

Duabi mnamo miaka ya 1960,S ilikuwa Ni jangwa lililokaliwa na watu masikini Ila Leo Ni bonge la jiji la kitalii zaidi hata ya nchi baadhi za ulaya. Sembuse Tanzania iliyobarikiwa kila kitu.

Kwa Akili hizi watu wakiwaita Nyumbu watakosea?
Na hata Kigoma kwa sasa inafanana na Dubai.
 
Jaman tuwe tunatoa credit pale jambo linapoonekana, ukweli ni kwamba hakuna mtu jasiri na mwenye uthubutu kama Lissu, sina chama ila wapuuz wa ccm wote wanamwogopa magufuli utadhani yeye ni Mungu hakuna hata mmoja anaeweza kuthubutu kumpinga hata kama atakosea na ni lazima akosee si binadamu bwana wote wekuwa kama wake zake anawageuza anavyotaka, sasa alivyotokea mtu anaeweza kuwa na mawazo mbadala yanayopingana na magu moja kwa moja na anaweza kumsema bila uwoga basi hawa wanawake zake wanakuwa hawapendi, wana jealousy sanabu anachofanya lissu hakuna hata mwana ccm mmoja anaweza kufanya... Wote wamekuwa wazee wa kusifu na kuabudu, wengine wamefikia mpaka point ya kumwita magu ni Yesu...Mwaka huu tutaona mengi
 
Ni magufuli ndiyo. Kwani inashindikana?

Duabi mnamo miaka ya 1960,S ilikuwa Ni jangwa lililokaliwa na watu masikini Ila Leo Ni bonge la jiji la kitalii zaidi hata ya nchi baadhi za ulaya. Sembuse Tanzania iliyobarikiwa kila kitu.

Kwa Akili hizi watu wakiwaita Nyumbu watakosea?
Chadema wanaona haiwezekani sababu akili zao wamejaza ujinga kwamba ili maisha yao yaende lazima wajikombe kwa mabeberu
 
Huwezi kuhubiri neno la Mungu bila kumtaja shetani. Huwezi, ukiweza basi wewe sio mhubiri bali ni muabudu shetani tu.
Subiri oktoba Lisu atajikuta yeye ndio shetani!

Kwa sisi tunaojua maana ya ibada tunajua ukiwa unawahubiria watu unawaambia nini cha kufanya ili shetani asiwakaribie, sasa kama kila siku ukisimama unaongea habari za shetani tu, lazima tujiulize mara mbilimbili.
 
Back
Top Bottom