Pre GE2025 Tundu Lissu hana karama ya kuongoza chama kikubwa kama CHADEMA, msifanye makosa ya kumpa Uenyekiti

Pre GE2025 Tundu Lissu hana karama ya kuongoza chama kikubwa kama CHADEMA, msifanye makosa ya kumpa Uenyekiti

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Wakusoma 12

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2017
Posts
4,035
Reaction score
11,462
Huenda Kuna watu wanahisi kuwa Mwenyekiti wa chama pinzani chenye nguvu Afrika ni lelemama, la hasha ni vita hasa tena ni uhaini mkubwa kwa watawala Hawa ambao hawapendi kukosolewa.

Tundu Lissu amekuwa akitapatapa kusaka uongozi wa juu kwenye chama bila kujua kuwa makamu Mwenyekiti ni nafasi kubwa kwake.

Kitendo cha kuanza kuleta ukorofi kwenye chama ni dhahiri ameshaamua kuwa miongoni mwa wahalifu wa Demokrasia na haki nchini.

Siasa ni sayansi inahitaji pesa, watu na nidhamu ya hali ya juu. Mbowe ana watu, ana hekima na ana maono makubwa ya kiongozi hivyo anafaa kuendelea kuwa kwenye nafasi hiyo.

Amekijenga chama tangu kuanzishwa kwake mpaka leo na Bado ana ushawishi mkubwa kwenye muelekeo wa siasa Tanzania.

Lissu atulie akishindwa aende huko anapoona atakuwa mwenyekiti.
 
Kwahiyo mlipomteua kuwa Presidential candidate mlikuwa na maana gani?

Acheni cheap politics leteni hoja, yaani yale ambayo kila siku yanapigiwa kelele kwamba CCM wanazingua.

Kumbe Chadema ndiyo kuna uchawa wa standard gauge
 
Huenda Kuna watu wanahisi kuwa Mwenyekiti wa chama pinzani chenye nguvu Afrika ni lelemama, la hasha ni vita hasa tena ni uhaini mkubwa kwa watawala Hawa ambao hawapendi kukosolewa. Tundu lissu amekuwa akitapatapa kusaka uongozi wa juu kwenye chama bila kujua kuwa makamu Mwenyekiti ni nafasi kubwa kwake. Kitendo Cha kuanza kuleta ukorofi kwenye chama ni dhahiri ameshaamua kuwa miongoni mwa wahalifu wa Demokrasia na haki nchini. Siasa ni sayansi inahitaji pesa, watu na nidhamu ya hali ya juu. Mbowe ana watu, ana hekima na ana maono makubwa ya kiongozi hivyo anafaa kuendelea kuwa kwenye nafasi hiyo. Amekijenga chama tangu kuanzishwa kwake mpaka leo na Bado ana ushawishi mkubwa kwenye muelekeo wa siasa Tanzania. Lissu atulie akishindwa aende huko anapoona atakuwa mwenyekiti.
Bado hamjasema....
Tundu Lissu anaogopwa na CCM
Tundu Lissu anaogopwa na CHAWA wa MBOWE
Tundu Lissu anaogopwa mijitu isiyotaka mabadiliko inayotamani CHADEMA iendelee kuonekana kama chama cha Wachagga
 
Huenda Kuna watu wanahisi kuwa Mwenyekiti wa chama pinzani chenye nguvu Afrika ni lelemama, la hasha ni vita hasa tena ni uhaini mkubwa kwa watawala Hawa ambao hawapendi kukosolewa. Tundu lissu amekuwa akitapatapa kusaka uongozi wa juu kwenye chama bila kujua kuwa makamu Mwenyekiti ni nafasi kubwa kwake. Kitendo Cha kuanza kuleta ukorofi kwenye chama ni dhahiri ameshaamua kuwa miongoni mwa wahalifu wa Demokrasia na haki nchini. Siasa ni sayansi inahitaji pesa, watu na nidhamu ya hali ya juu. Mbowe ana watu, ana hekima na ana maono makubwa ya kiongozi hivyo anafaa kuendelea kuwa kwenye nafasi hiyo. Amekijenga chama tangu kuanzishwa kwake mpaka leo na Bado ana ushawishi mkubwa kwenye muelekeo wa siasa Tanzania. Lissu atulie akishindwa aende huko anapoona atakuwa mwenyekiti.
Mbona mnaweweseka sana chawa wa mbowe?

Kwa hiyo lisu kutangaza nia tu tayari kashashinda?

Machawa wa mbowe mnatafakarisha sana.
 
Huenda Kuna watu wanahisi kuwa Mwenyekiti wa chama pinzani chenye nguvu Afrika ni lelemama, la hasha ni vita hasa tena ni uhaini mkubwa kwa watawala Hawa ambao hawapendi kukosolewa.

Tundu Lissu amekuwa akitapatapa kusaka uongozi wa juu kwenye chama bila kujua kuwa makamu Mwenyekiti ni nafasi kubwa kwake.

Kitendo cha kuanza kuleta ukorofi kwenye chama ni dhahiri ameshaamua kuwa miongoni mwa wahalifu wa Demokrasia na haki nchini.

Siasa ni sayansi inahitaji pesa, watu na nidhamu ya hali ya juu. Mbowe ana watu, ana hekima na ana maono makubwa ya kiongozi hivyo anafaa kuendelea kuwa kwenye nafasi hiyo.

Amekijenga chama tangu kuanzishwa kwake mpaka leo na Bado ana ushawishi mkubwa kwenye muelekeo wa siasa Tanzania.

Lissu atulie akishindwa aende huko anapoona atakuwa mwenyekiti.
Subirini demokrasia ifanye kazi yake, hizi story za kwamba Mbowe ana busara hazitawasaidia tena. 20yrs inatosha kwa Mbowe.
 
Huenda Kuna watu wanahisi kuwa Mwenyekiti wa chama pinzani chenye nguvu Afrika ni lelemama, la hasha ni vita hasa tena ni uhaini mkubwa kwa watawala Hawa ambao hawapendi kukosolewa.

Tundu Lissu amekuwa akitapatapa kusaka uongozi wa juu kwenye chama bila kujua kuwa makamu Mwenyekiti ni nafasi kubwa kwake.

Kitendo cha kuanza kuleta ukorofi kwenye chama ni dhahiri ameshaamua kuwa miongoni mwa wahalifu wa Demokrasia na haki nchini.

Siasa ni sayansi inahitaji pesa, watu na nidhamu ya hali ya juu. Mbowe ana watu, ana hekima na ana maono makubwa ya kiongozi hivyo anafaa kuendelea kuwa kwenye nafasi hiyo.

Amekijenga chama tangu kuanzishwa kwake mpaka leo na Bado ana ushawishi mkubwa kwenye muelekeo wa siasa Tanzania.

Lissu atulie akishindwa aende huko anapoona atakuwa mwenyekiti.
Chama cha Demokrasia na Maendeleo. Somo litolewe katika maana na malengo ya hiki chama. La sivyo si Demokrasia wala Maendeleo yatakayopatikana kupitia hiki chama.
 
Huenda Kuna watu wanahisi kuwa Mwenyekiti wa chama pinzani chenye nguvu Afrika ni lelemama, la hasha ni vita hasa tena ni uhaini mkubwa kwa watawala Hawa ambao hawapendi kukosolewa.

Tundu Lissu amekuwa akitapatapa kusaka uongozi wa juu kwenye chama bila kujua kuwa makamu Mwenyekiti ni nafasi kubwa kwake.

Kitendo cha kuanza kuleta ukorofi kwenye chama ni dhahiri ameshaamua kuwa miongoni mwa wahalifu wa Demokrasia na haki nchini.

Siasa ni sayansi inahitaji pesa, watu na nidhamu ya hali ya juu. Mbowe ana watu, ana hekima na ana maono makubwa ya kiongozi hivyo anafaa kuendelea kuwa kwenye nafasi hiyo.

Amekijenga chama tangu kuanzishwa kwake mpaka leo na Bado ana ushawishi mkubwa kwenye muelekeo wa siasa Tanzania.

Lissu atulie akishindwa aende huko anapoona atakuwa mwenyekiti.
Yaani maccm mumevurugwa na ujio wa Lissu, hivi mnapata wapi uhalali wa kuishauri Chadema nyie nguruwe wa kijani?
 

Attachments

  • images (13) (1)~2.jpeg
    images (13) (1)~2.jpeg
    16.3 KB · Views: 4
Kwahiyo mlipomteua kuwa Presidential candidate mlikuwa na maana gani?

Acheni cheap politics leteni hoja, yaani yale ambayo kila siku yanapigiwa kelele kwamba CCM wanazingua.

Kumbe Chadema ndiyo kuna uchawa wa standard gauge
Ni wazi kama chama, chadema walijua Lissu hatashinda urais, hivyo ilikuwa ni danganya toto, kama ya kumtuliza, mwenyekiti akijilia vyake. Ndio unapogundua tuna safari ndefu, ambayo sijui kama tumeianza au tunaelekea kusiko, kwa ufupi, hatutafika popote!
 
Ni wazi kama chama, chadema walijua Lissu hatashinda urais, hivyo ilikuwa ni danganya toto, kama ya kumtuliza, mwenyekiti akijilia vyake. Ndio unapogundua tuna safari ndefu, ambayo sijui kama tumeianza au tunaelekea kusiko, kwa ufupi, hatutafika popote!
Sure,hakuna aliye kwaajili ya maslahi ya wananchi.....wanasiasa wa Tz asilimia kubwa ni walafi wanaojiangalia maslahi yao binafsi
 
Kwanini CCM hampendi Lissu awe kiongozi mkuu wa CHADEMA?
Wanasali usiku na mchana Jamaa asiwe Kiongozi wa CHADEMA, Wanamjua vizuri cheche zake 🤣 Mimi naona wana CHADEMA wangetumia nafasi hii kumpa kijiti huyu mwamba Lissu ambae anaonekana kupigwa vita na CCM.
 
Huenda Kuna watu wanahisi kuwa Mwenyekiti wa chama pinzani chenye nguvu Afrika ni lelemama, la hasha ni vita hasa tena ni uhaini mkubwa kwa watawala Hawa ambao hawapendi kukosolewa.

Tundu Lissu amekuwa akitapatapa kusaka uongozi wa juu kwenye chama bila kujua kuwa makamu Mwenyekiti ni nafasi kubwa kwake.

Kitendo cha kuanza kuleta ukorofi kwenye chama ni dhahiri ameshaamua kuwa miongoni mwa wahalifu wa Demokrasia na haki nchini.

Siasa ni sayansi inahitaji pesa, watu na nidhamu ya hali ya juu. Mbowe ana watu, ana hekima na ana maono makubwa ya kiongozi hivyo anafaa kuendelea kuwa kwenye nafasi hiyo.

Amekijenga chama tangu kuanzishwa kwake mpaka leo na Bado ana ushawishi mkubwa kwenye muelekeo wa siasa Tanzania.

Lissu atulie akishindwa aende huko anapoona atakuwa mwenyekiti.
Unasemaje juu ya uongozi wa kusomea? Kasome aina za uongozi kabla hujajificha kwenye karama acha ufala! Itoshe kusema kuwa karama bila elimu ni hakuna!
 
Ujinga wa kimataifa. Ni huu yaani tundu lisu hawezi kuongoza chadema lkn anaweza kuongoza nchi. Msitufanye sisi wajinga
 
Ila u- president anafaa CHADEMA mnaakili kweli nyie nchi hii ndogo kuliko CHADEMA
 
Back
Top Bottom