Uchaguzi 2020 Tundu Lissu hana sifa za kuwa Rais na Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu hana sifa za kuwa Rais na Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama

Tatizo umekremu eti Demokrasia!! Unahitaji kuelewa hakuna Demokrasia Duniani, ukishajua hilo angalua kiongozi anayeweza kujitoa kwa ajili ya nchi na watu wake.Hao wamarekani wanaoimba Demokrasia hata wao wanajikongoja, Embu fikiria Hillari Clinton alipata kula nyingi kuliko Trump, lakini Trump ndio Rais, Na US vyombo vya usalama vinakiri kuwa Russia waliingilia uchaguzi wao, wanashindwa kusema kweli kuwa mfumo uliingiliwa kuogopa aibu. Mark my word TL will never be a President, Never.

Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo kubwa kwa Jiwe ni kumteua Daud Arbaty Bashite kuwa Mshauri wake mkuu wakati anajua Bashite hana vyeti matokeo yake sasa ni Bashite kuingiza hisia zake binafsi kwenye taasisi ya Urais ndipo yakaanza kutokea haya yanayoendelea sasa ni vigumu uyaone sasa kutokana na wewe kushiba pesa nyingi toka kwenye michango mbalimbali ikiwemo ufisadi kwenye ununuzi wa ndege nk
 
Hata Magufuli hafai kuwa rais kajaa kiburi,dharau na ukatili,yaan mara mia bira Lissu
 
Tatizo upinzani wa Tz unatuzingua kwa sababu huwa hawamuandai mgombea wa raisi badala yake huwa wanamuandaa siku hiyo hiyo ya uchaguzi hapo ndo napowaona wanapwaya.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani Jiwe mlimuandaa nyinyi wanaccm??

Si huwa tunamsikia wenyewe akituambia kuwa Urais kasakiziwa??
 
Labda Tz yote igeuke kuwa ufipa. Hii fantasy ni zaidi ya muvi ya avatar.
Chaguzi zote kuanzia wa Urais na mpaka chaguzi za marudio zote Wapinzani wanashinda lakini uchakachuaji wa CCM hutoa washindi feki, lakini mwaka 2020 dawa ya kuzuia uchakachuaji inapikwa
 
Wewe utakuwa miangoni mwa watu wanaolipwa 10m+ kwenye utawala huu na ajira yako ni yakuteuliwa.
Hapo umenena mkuu. Watanzania wengi wenye busara wanaoana hivyo. Anadharau kubwa sana. Anajiona yeye anajua kila kitu. Yeye ndiye aliyetunga sheria na haki za binadam na Freedom of speech.

Ukweli hajui kitu. Ni mpayukaji tu na hajui hata kutoa hoja. Anacho zungumza ni utumbo tu kama mtoto mdogo. Mtu anaye jiita mwana sheria maarufu anazungumza kwenye jukwaa la kimataifa kama mtoto wa shule ya msingi. Mwana sheria maarufu anashindwa kujibu maswali rahisi kuhusu mambo mazuri ambaye Rais ameyafanya kwa ajili ya chuki! Kila akiulizwa anatoa mambo yale yale ambayo ameyakariri kichwani ili mradi tu asionekane anamsifu Magufuli!
Mmh! Kwa kijerumani hiyo tunasema "Das ist krank". Mambo ambayo yako kichwani ndiyo hayo hayo tu anataka kuyatoa matokeo yake anashindwa kupanga maneno vizuri kiasi kwamba inaonekana dhahiri kuwa anachuki na Rais, anachuki na mfumo wa serikali yetu, Bunge letu tukufu, mahakama na vyombo vya Dola na kadhalika.

Kila nikimsikiliza Tundu Lussu najiuliza mimi mwenyewe, inawezekanaje mtu kudai haki za binadam wakati yeye mwenyewe hivyo vitu anavyo vidai hawezi kuvi-impliment? Kwanza hajui vigezo vya ukiukwaji wa haki za binadam vikoje? Kwanza Lissu hana affinity na wanadam wenzake, hawaheshimu na wala hawathamini? Kwa vigezo hivi ni haki kweli anavyo payuka duniani kuwaonyesha wazungu kuwa yeye ni mtetezi mkubwa wa haki za binadam Tanzania? Huu ni uongo!

Wakati yuko katika mkutano wa mambo ya sheria za Afrika jijini Washington D. C, Lissu alidai katika kauli yake moja kuwa Rais Magufuli hajui kuzungumza kiingereza ila yeye ndiyo anakijua.

Hii sentesi ilinichekesha sana, yaani mtu ambaye hata kupanga maneno yenyewe kwa kiingereza vizuri yanamshinda kiasi kwamna watu wakamwelewa ni nini hasa anaongelea, ana payuka hadharani kuwa Rais Magufuli kiingereza hajui. Kwa mtu ambaye amesoma Amerika na kuishi kwa mda Amerika mimi naona kiingereza chake ni kama cha mtu aliyemaliza chuo kikuu Bongo. Kiingereza chake ni cha vitabuni na sio cha tumboni.

Asijivunie kiingereza chake ambacho ukilinganisha na watu ambao wanaongea kiingereza yeye chake kinasikika kama cha mtu ambaye hata Amerika hajaishi. Nina dada yangu mwalim, nikisikilza kiingereza chake utafikiri cha mtu ambaye ametoka UK leo, lakini cha ajabu ni kwamba hata Kenya hajafika. Babu yangu kabla hajafa alikuwa anapiga kimombo na kijerumani vizuri sana, lakini Uingereza na Ujerumani hajawahi fika. Kwa mtu aliyesoma na aliyepata Masters yake George Washington the University of Law, kiingereza chake ni kama cha mtu aliyemaliza High school Bongo.

Tundu Lissu ni falah sana. Anapswa kupuuzwa. Ni mtu ambaye hana akili timamu na nafikiri bado ni mgonjwa. Akili zake haziko sawa sawa. Mbunge mzima anatoa pumba kama za watu ambao wako Manzese!

Yaani watu wanagharimia millions of T-shilings kumpeleka Tundu Lissu kwenye chuo cha Washington D.C ili kuwaeleza intellectuals kuwa Rais Magufuli hawezi kusema sentensi nzima kwa kiingereza? Ndiyo kauli za mtu mwenye busara hizo? Hivi mtu kama yeye anatakiwa afanye ujinga wa aina gani ndiyo watu waweze kutambua kuwa Lissu hakili hana?

Ndiyo inawezekana kuwa Rais Magufuli anashindwa kutamka baadhi ya maneno ya kiingereza lakini akisoma anaelewa na ndiyo maana amepata u-DOCTORATE.
Mbona watanzania wengi hasa wale ambao wamechukua masomo au combinations za masomo ya science kama PCM, PGM, PCB na mengineyo zamani tulimaliza high school na kuanza vyuo, lakini bado kiingereza kilikuwa hakipandi vizuri katika kuzungumza? Lakini katika kusoma watu walikuwa wanapata Max nzuri? Ina maana na sisi tulikuwa hatujui kiingereza?

Nawaomba wana CHADEMA msaidieni kamanda wenu. Hayuko vizuri. Kauli ambazo ana zitoa zunaonyesha kuwa Lissu hana ustaarabu wa kidiplomasia. Hazungumzi kama statesman mwenye reputation ya kimataifa. Lugha yake ni ya kijiweni au katika Bunge la migombani.
Ni uozo mtupu. Kama mnamtaka yeye aendelee kuwasemea duniani, kwa hali hii mtaumbuka wote. Inaonekana dhahiri kuwa wana CHADEMA wote ni vichaa na hivyo kufanya mdharaulike na hivyo kutokuwa na Credibility kubwa kwa Watanzania.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimsikia Mhe Tundu Lissu akiwa huko Uingereza kuwa akipata ridhaa ya watanzania na chama chake basi atagombea kiti cha urais katika uchaguzi mkuu ujao wa 2020.

Nimekuwa nikumuangalia Mhe Tundu Lissu alipokuwa mwanaharakati na mtetezi wa madhila waliyokuwa wanapata wananchi katika migodi mbalimbali huko kanda ya ziwa na baadaye kuwa mbunge wa Singida.

Akiwa mbunge katika Bunge la Jamhuri amekuwa ni mchangiaji wa mara nyingi sana na muuliza maswali sana na kuomba kuhusu utaratibu na muongozo wa spika mara kwa mara kiasi cha kusababisha hata kutolwa nje na spika pale anapokataa kutii kiti cha spika.

Nakumbuka hata wakati wa Bunge la Katiba hapo ndipo Mhe Lissu alikuwa mkali kama mbogo kwa baadhi ya taratibu alipoona kama vile zina malengo fulani ambayo hayakuwa na faida kwa baadhi ya makundi.

Kwa ujumla ukimuangalia Mhe Lissu na jinsi anavyochangia mada au hoja na maneno anayotumia kwenye public kiukweli sidhani kama anaweza kuwa sahihi kuwa Rais ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi mkuu wa Majeshi ya ulinzi na usalama.

Kwa mtazamo wangu mimi kiukweli nidhamu ya Tundu Lissu katika kuchangia mada au hoja kwa wenzake huwa kuna dharau kubwa sana anaonyesha kiasi cha kutoheshimu michango ya wenzake na kama ndivyo alivyo basi kiti cha uraisi sidhani kama ni size yake.
Kuona Lissu hafai kuwa rais wa Tanzania halafu Magufuli ukamuona anafaa ni dalili ya matumizi mabaya ya kufikiri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lissu ni kweli kapigwa risasi ila aliyempiga risasi mpaka leo hajulikani, huu ndio ukweli hivyo kelele zote hizi ni hisia tu ndio maana hata mtangazaji wa bbc alisema those are merely inflamatory allegations. Ni wapi panasema sarcasm hairuhusiwi kwenye janga? Kama haifanyi kazi kwako, kwa wengi inafanya.
Ni kweli kabisa, waliompiga risasi hawajulikani, walioamuru polisi wanaolinda compound ile waondoke pia hawajulikani, waliong'oa cctv camera mara baada ya shambulio pia hawajulikani. Hapo umenena ukweli. Na pia kama Sarcasm inakubalika, subiri siku mwenyekiti wako apatwe na mkasa halafu ukamfanyie kebehi uone kitakachotokea. Acheni kutetea vitu ambavyo hata ushahidi wa kimazingira unatoa picha ya wahusika.
 
mbona mnahangaika kila wakati ..
mkuu wala usimchukulie kuwa ni muhangaikaji amehoji kitu cha maana sana kutokana na upekee wa kile kiti nasifa zake..
Anahaja ya kujibiwa kwa hoja itakuwa hakuna maana yoyote kwa majibu kama haya.
 
Nimsikia Mhe Tundu Lissu akiwa huko Uingereza kuwa akipata ridhaa ya watanzania na chama chake basi atagombea kiti cha urais katika uchaguzi mkuu ujao wa 2020.

Nimekuwa nikumuangalia Mhe Tundu Lissu alipokuwa mwanaharakati na mtetezi wa madhila waliyokuwa wanapata wananchi katika migodi mbalimbali huko kanda ya ziwa na baadaye kuwa mbunge wa Singida.

Akiwa mbunge katika Bunge la Jamhuri amekuwa ni mchangiaji wa mara nyingi sana na muuliza maswali sana na kuomba kuhusu utaratibu na muongozo wa spika mara kwa mara kiasi cha kusababisha hata kutolwa nje na spika pale anapokataa kutii kiti cha spika.

Nakumbuka hata wakati wa Bunge la Katiba hapo ndipo Mhe Lissu alikuwa mkali kama mbogo kwa baadhi ya taratibu alipoona kama vile zina malengo fulani ambayo hayakuwa na faida kwa baadhi ya makundi.

Kwa ujumla ukimuangalia Mhe Lissu na jinsi anavyochangia mada au hoja na maneno anayotumia kwenye public kiukweli sidhani kama anaweza kuwa sahihi kuwa Rais ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi mkuu wa Majeshi ya ulinzi na usalama.

Kwa mtazamo wangu mimi kiukweli nidhamu ya Tundu Lissu katika kuchangia mada au hoja kwa wenzake huwa kuna dharau kubwa sana anaonyesha kiasi cha kutoheshimu michango ya wenzake na kama ndivyo alivyo basi kiti cha uraisi sidhani kama ni size yake.

Nilidhani ni vema ungeorozesha sifa anazohitaji kuwa nazo mtu ili afae kuwa rais! Ili tukaona ni zipi ambazo TL anakosa. Baɗala ƴake umeleta porojo.
 
Mpango wa Mungu hakuna cha ufipa wala lumumba. Subiri darubini itaelekea the hague Sikh si nyingi
Lowassa mlisema hivi hivi. Na yeye alikuwa kweli mega star still waTz tulipiga chini sembuse huyu wa sasa anayetoka mapovu?
T 2035 JPM.
 
Hata Magufuli hafai kuwa rais kajaa kiburi,dharau na ukatili,yaan mara mia bira Lissu
Bashite ndiyo Rais kwani mawazo yake yote hutekelezwa na magufuli likiwemo wazo la kuwabambikia kesi kuwapiga Risasi kukandamiza demokrasia na Uonevu wote kwa Wapinzani, lengo lao likiwa ni kurejesha mfumo wa chama kimoja ka China.
 
Kama kikwete alikuwa raisi Magufuli ni raisi basi lisu ni far better than these two ni swale la wananchi kuamuwa
 
Nimsikia Mhe Tundu Lissu akiwa huko Uingereza kuwa akipata ridhaa ya watanzania na chama chake basi atagombea kiti cha urais katika uchaguzi mkuu ujao wa 2020.

Nimekuwa nikumuangalia Mhe Tundu Lissu alipokuwa mwanaharakati na mtetezi wa madhila waliyokuwa wanapata wananchi katika migodi mbalimbali huko kanda ya ziwa na baadaye kuwa mbunge wa Singida.

Akiwa mbunge katika Bunge la Jamhuri amekuwa ni mchangiaji wa mara nyingi sana na muuliza maswali sana na kuomba kuhusu utaratibu na muongozo wa spika mara kwa mara kiasi cha kusababisha hata kutolwa nje na spika pale anapokataa kutii kiti cha spika.

Nakumbuka hata wakati wa Bunge la Katiba hapo ndipo Mhe Lissu alikuwa mkali kama mbogo kwa baadhi ya taratibu alipoona kama vile zina malengo fulani ambayo hayakuwa na faida kwa baadhi ya makundi.

Kwa ujumla ukimuangalia Mhe Lissu na jinsi anavyochangia mada au hoja na maneno anayotumia kwenye public kiukweli sidhani kama anaweza kuwa sahihi kuwa Rais ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi mkuu wa Majeshi ya ulinzi na usalama.

Kwa mtazamo wangu mimi kiukweli nidhamu ya Tundu Lissu katika kuchangia mada au hoja kwa wenzake huwa kuna dharau kubwa sana anaonyesha kiasi cha kutoheshimu michango ya wenzake na kama ndivyo alivyo basi kiti cha uraisi sidhani kama ni size yake.

Hoja makini za lissu dunia nzima inazijua isipokuwa wewe na walamba miguu wenzio.
 
Lowassa mlisema hivi hivi. Na yeye alikuwa kweli mega star still waTz tulipiga chini sembuse huyu wa sasa anayetoka mapovu?
T 2035 JPM.
Lowassa alipta kura millions kumi zidi ya Magufuli millions tatu na busy kikwete na TISS wakamuweka wameona madhara yake nchi ipo kati kati ya lindi la damu next time sijui wananchi kama watakubali
 
Lowassa mlisema hivi hivi. Na yeye alikuwa kweli mega star still waTz tulipiga chini sembuse huyu wa sasa anayetoka mapovu?
T 2035 JPM.
Watanzania wapi? Watanzania hawakumpiga chini Lowasa acha Uongo wako , lowasa alichaguliwa kwa kura nyingi sana lakini tume ya uchaguzi kwa kushirikiana na Polisi wakafanya kuchukua kura za lowasa na kumpa magufuli na zile za magufuli wakazipachika kwa lowasa bila uchakachuaji leo hii lowasa angekuwa ikulu na huu udikteta usingekuwepo sasa, anayetoa mapovu yapi? Bila wewe CCM na Bashite kumpiga Risasi angekuwa huko Marekani sasa? Kisababishi cha Tundu Lisu kuwepo Marekani na ulaya sasa ni nyie watesi wa CCM
 
Nimsikia Mhe Tundu Lissu akiwa huko Uingereza kuwa akipata ridhaa ya watanzania na chama chake basi atagombea kiti cha urais katika uchaguzi mkuu ujao wa 2020.

Nimekuwa nikumuangalia Mhe Tundu Lissu alipokuwa mwanaharakati na mtetezi wa madhila waliyokuwa wanapata wananchi katika migodi mbalimbali huko kanda ya ziwa na baadaye kuwa mbunge wa Singida.

Akiwa mbunge katika Bunge la Jamhuri amekuwa ni mchangiaji wa mara nyingi sana na muuliza maswali sana na kuomba kuhusu utaratibu na muongozo wa spika mara kwa mara kiasi cha kusababisha hata kutolwa nje na spika pale anapokataa kutii kiti cha spika.

Nakumbuka hata wakati wa Bunge la Katiba hapo ndipo Mhe Lissu alikuwa mkali kama mbogo kwa baadhi ya taratibu alipoona kama vile zina malengo fulani ambayo hayakuwa na faida kwa baadhi ya makundi.

Kwa ujumla ukimuangalia Mhe Lissu na jinsi anavyochangia mada au hoja na maneno anayotumia kwenye public kiukweli sidhani kama anaweza kuwa sahihi kuwa Rais ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi mkuu wa Majeshi ya ulinzi na usalama.

Kwa mtazamo wangu mimi kiukweli nidhamu ya Tundu Lissu katika kuchangia mada au hoja kwa wenzake huwa kuna dharau kubwa sana anaonyesha kiasi cha kutoheshimu michango ya wenzake na kama ndivyo alivyo basi kiti cha uraisi sidhani kama ni size yake.
Licha tu ya hivyo,inawezekana akavunja katiba,akaminya demokrasia,na hata kulipa kisasi,hakika Tundu Lisu atasumbua
 
Ni kweli hiyo theory ipo kwenye psychology lakini kwa alikofikia Lissu hapana...kwenye uongozi busara ni muhimu sana na Lissu hiyo busara ameikosa kabisa kila kitu yeye anajiona anakijua na yuko juu wa wengine kwa kila jambo.nina karibu copy ya mijadala yake ya Bungeni huwa namsikiliza sana tu ktk kuchangia hoja zake kwa muda mrefu....ni kweli mambo mengi anayajua lakini ana vuka mipaka sana na hilo ni tatizo kubwa ukiwa kiongozi
Kuna Mtu hovyo kama Magufuli ajabu Busara gani anatukuna viongozi wa dini watoto wa shule wazee wagonjwa na bado anadunda huo ni busara yake kwa sababu wewe humtaki
 
Lowassa alipta kura millions kumi zidi ya Magufuli millions tatu na busy kikwete na TISS wakamuweka wameona madhara yake nchi ipo kati kati ya lindi la damu next time sijui wananchi kama watakubali
Ni kweli kabsa lowasa ndiyo alishinda urais lakini uchakachuaji ukamsimika magufuli kiharamu
 
Nimsikia Mhe Tundu Lissu akiwa huko Uingereza kuwa akipata ridhaa ya watanzania na chama chake basi atagombea kiti cha urais katika uchaguzi mkuu ujao wa 2020.

Nimekuwa nikumuangalia Mhe Tundu Lissu alipokuwa mwanaharakati na mtetezi wa madhila waliyokuwa wanapata wananchi katika migodi mbalimbali huko kanda ya ziwa na baadaye kuwa mbunge wa Singida.

Akiwa mbunge katika Bunge la Jamhuri amekuwa ni mchangiaji wa mara nyingi sana na muuliza maswali sana na kuomba kuhusu utaratibu na muongozo wa spika mara kwa mara kiasi cha kusababisha hata kutolwa nje na spika pale anapokataa kutii kiti cha spika.

Nakumbuka hata wakati wa Bunge la Katiba hapo ndipo Mhe Lissu alikuwa mkali kama mbogo kwa baadhi ya taratibu alipoona kama vile zina malengo fulani ambayo hayakuwa na faida kwa baadhi ya makundi.

Kwa ujumla ukimuangalia Mhe Lissu na jinsi anavyochangia mada au hoja na maneno anayotumia kwenye public kiukweli sidhani kama anaweza kuwa sahihi kuwa Rais ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi mkuu wa Majeshi ya ulinzi na usalama.

Kwa mtazamo wangu mimi kiukweli nidhamu ya Tundu Lissu katika kuchangia mada au hoja kwa wenzake huwa kuna dharau kubwa sana anaonyesha kiasi cha kutoheshimu michango ya wenzake na kama ndivyo alivyo basi kiti cha uraisi sidhani kama ni size yake.
Nakubaliana kabisa na mawazo yako. Hana sifa kabisa za kuiongoza Tanzania kama Rais. Kama ulivyosema, hathamini michango ya wengine katika kuiendeleza nchi. Hivi mtu mkweli unaweza kusema bila dhamira yako kukusuta kwamba Awamu ya Tano haijafanya kitu cha maana hapa nchini kiasi kwamba tuiondoe madarakani tulete Lissu na watu wake? Hapo hapo nimemsikia akisema huko anakozunguka akizitaka nchi hizo ziwekee vikwazo Tanzania au zisitishe misaada. Nchi hizo zikitekeleza hayo kwani ni nani atakayeumia kama si mimi, wewe yeye mwenyewe, wazazi wetu vijijini, n.k. Mtu wa mwisho kabisa kudhurika atakuwa Magufuli. Kwa maana nyingine Lissu na chama chake hawatutakii mema Watanzania kwa kutuombea mabaya, na sisi hatuna budi kuwakataa watu kama hao. Kama Mwalimu alivyokuwa akisema, tuwaogope kama ukoma.
 
Back
Top Bottom