Pre GE2025 Tundu Lissu hataweza tena kugombea Urais kupitia CHADEMA kwa sababu chama chake kimekiri hana uwezo!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Chama chake au vipaza wa ccm wanasema?
 
Tundu Lisu hana uraia pacha, ni Passport moja ya URT = United Republic of Tanzania. Mlilmpiga risasi 38, kama 19 zilimwingia mwilini, leo kuna risasi zimo mwilini anatembea nazo. Muhimbili walishindwa kumtibu, ikabidi apelekwe Kenya, nako wakashindwa kumalizia matibabu wakampeleka Ubeligiji. Huko ndiyo alipata afadhali ingawa hadi leo ni kilema. Kilema hicho kimesababishwa na CCM, na wewe ni muhisika na Mungu anakuona. Mshangliaji yeyote yule wa mateso aliyoyapata Lisu kwa kupigwa risasi 39 hatavuka lile tundu. Malipo yapo, na wala sikutishi, hii ilishaandikwa.

Semeni mengine, Lisu ni Raia wa Tanzania, mlitaka kumuua akapona, hivi wewe kwa nini usijiulize, mtu anakufa kwa Risasi moja, Tundu kapona baada hata kupigwa risasi 39! Na bado ana nguvu za kuongea. Nani anamfanya hivyo? Inawezekana ni yule aliye juu. Mmeonywa lakini mnasizidi kuwa wakatili. Wkati ukifika mtasikia. Hakuna jiwwe litakolsalia.
 
ooh kumbe,
basi karibuni kwenye kinyang'anyiro cha kugombea uongozi wa kitaifa ndugu zangu watu wa kisasa, ili tuone tutasaidinanaje,


na hakuna haja ya mayowe wala kubwekabweka tafadhali
Na siku hiyo inakuja hakuna jiwe juu ya jiwe litakolosalia
 
inahusiana nini na hoja mahususi mezani gentleman au njaa kali asubuhi?
Wenye njaa ni tegemezi wa mapumbavu kama wewe huko lumumba ambao akili zenu zilishakata network mimi naweza kukulisha wewe na ukoo wako mpaka uzeeni na kujikuta hutegemei Tena hao wajinga wenzio huko ccm🪛🪛🪛🪛🪛🪛🪛🪛🪛
 
jikite kwe hoja gentleman,

licha ya kwamba ni muhimu pia kupata relief kwa kutoa ya moyoni ambayo ni nje ya mada kabisa
 
malalamiko na makasiriko yako,
jaribu basi kuyaambatanisha na hoja ya msingi gentleman
 
Ulipomalizia .... Kanisa Moja Takatifu la Mitume .... = uhusiano wa dini na siasa za TZ
 
Unatumia specific to general approach kiongozi. Taarifa ile haikuwa taarifa ya chama. Kuwa makini unapoleta hoja.
 
TAL kachangamsha uchaguzi,si CCM tu wanaoufuatilia,na vyama vingine 14 pia.
... 'ata mama Havijawa na mume wake Sokomoko walivyoanza kuvuana nguo hadharani mitaa yote jirani ilihudhuria kujionea movie la bure! ... na, niamini, hakuna aliyeingilia ugomvi wao!
🤣
 
jikite kwe hoja gentleman,

licha ya kwamba ni muhimu pia kupata relief kwa kutoa ya moyoni ambayo ni nje ya mada kabisa
Nje ya maada kwa vipi? Unachofanya kwa Lisu ni ku-character assassinate, ati ana uraia wa nchi mbili wakati unajua ni uongo na kuwa cause yake ni nyie CCM ndiyo mlipiga Risasi 39 na 19 kumwingia mwilini. Sasa nje ya maada kivipi?

Kama siyo hizo risasi 39 za CCM kumpiga Lisu hangekwenda Ubelgiji. Na hilio mnalijua, kwa nini mnasema uongo? Mnatenda dhambi vile vile, manavunja Amri ya 6 na ya kumi ya Mungu, usiue na siseme uongo.
 
Wewe ni nani hadi uwasemee CDM!! Kafie mbele na CCM yenu.
Huyu jamaa, huwa ANAWASHWA WASHWA SANA NA CHADEMA. Mpaka kufika saa 3 usiku, atakuwa ameshafungua nyuzi tano kuhusu hao jamaa!
 
Wewe tu ndio unaishi kizamani bila uraia pacha

Freeman na Sugu ni raia pacha kitambo sana 😂😂
Sio kweli. Huwezi kuwa na Urais pacha na Vyombo vya Dola vikajua halafu ukawa Kiongozi wa Chama Cha Siasa nchini au kugombea Ubunge. HAIWEZEKANI na TUSIDANGANYANE. Labda kwa watoto wao ingawaje ishu itakuja watakapotaka kuingia kwenye siasa za Tanzania.
 
Mkuu hao watu Nikiri asilimiakubwa walikuwa sahihi isipokuwa kwa Magu, Magu despite his short backs was a President we needed.
Kwa AHM,JMK, na SSH.. they are right!
Marais Tuliowapata Bora
  • Julius Nyerere
  • Ben Mkapa
  • John Magufuli
In that Order
 
Ikungi alikozaliwa TAL wanatushangaa kusema ,achaguliwe,kuwa Mwenyekiti wa chadema Taifa!
Jimbo la ikungi,lilimshinda,Leo mnataka kumpa chama nchinnzima?
Ukiachaya juzi haya aliyoyakoroga Lisu is smart!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…