Pre GE2025 Tundu Lissu hataweza tena kugombea Urais kupitia CHADEMA kwa sababu chama chake kimekiri hana uwezo!

Pre GE2025 Tundu Lissu hataweza tena kugombea Urais kupitia CHADEMA kwa sababu chama chake kimekiri hana uwezo!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ni kweli Tundu Lisu ameshatia Nia lakini Kwa mujibu wa mjumbe wa CC Mh Yeriko Nyerere ni kwamba Tundu Lisu hana sifa za kuwa Rais wa JMT na hata 2020 walimteua kimakosa

Nimeona tuwekane sawa mapema Kwa sababu NEC ilitaka kumkata 2020 lakini Shujaa Magufuli akasema wamwache

Ahsanteni Sana

Leo ni Dominica ya Mwisho 2024🌹

Kanisa Moja Takatifu La Mitume😄
Chama chake au vipaza wa ccm wanasema?
 
Yes,
kibaraka ana uraia pacha kitu ambacho ni kinyumbe na sheria za nchi,

hata hivyo, utimamu wa mwili, akili na uzalendo ndivyo haswa vilivyowatia mashaka chadema na ndivyo vilivyochangia pakubwa chadema kumuona kibaraka huyo wa mabwenyenye ya magharibi kua hana uwezo katika uongozi, na wala hatoshi kupewa dhamana hiyo muhimu sana nchini, ya kupeperusha bendera ya chadema kwa nafasi ya urais2025. :pulpTRAVOLTA:
Tundu Lisu hana uraia pacha, ni Passport moja ya URT = United Republic of Tanzania. Mlilmpiga risasi 38, kama 19 zilimwingia mwilini, leo kuna risasi zimo mwilini anatembea nazo. Muhimbili walishindwa kumtibu, ikabidi apelekwe Kenya, nako wakashindwa kumalizia matibabu wakampeleka Ubeligiji. Huko ndiyo alipata afadhali ingawa hadi leo ni kilema. Kilema hicho kimesababishwa na CCM, na wewe ni muhisika na Mungu anakuona. Mshangliaji yeyote yule wa mateso aliyoyapata Lisu kwa kupigwa risasi 39 hatavuka lile tundu. Malipo yapo, na wala sikutishi, hii ilishaandikwa.

Semeni mengine, Lisu ni Raia wa Tanzania, mlitaka kumuua akapona, hivi wewe kwa nini usijiulize, mtu anakufa kwa Risasi moja, Tundu kapona baada hata kupigwa risasi 39! Na bado ana nguvu za kuongea. Nani anamfanya hivyo? Inawezekana ni yule aliye juu. Mmeonywa lakini mnasizidi kuwa wakatili. Wkati ukifika mtasikia. Hakuna jiwwe litakolsalia.
 
ooh kumbe,
basi karibuni kwenye kinyang'anyiro cha kugombea uongozi wa kitaifa ndugu zangu watu wa kisasa, ili tuone tutasaidinanaje,


na hakuna haja ya mayowe wala kubwekabweka tafadhali :pedroP:
Na siku hiyo inakuja hakuna jiwe juu ya jiwe litakolosalia
 
inahusiana nini na hoja mahususi mezani gentleman au njaa kali asubuhi? :pulpTRAVOLTA:
Wenye njaa ni tegemezi wa mapumbavu kama wewe huko lumumba ambao akili zenu zilishakata network mimi naweza kukulisha wewe na ukoo wako mpaka uzeeni na kujikuta hutegemei Tena hao wajinga wenzio huko ccm🪛🪛🪛🪛🪛🪛🪛🪛🪛
 
Tundu Lisu hana uraia pacha, ni Passport moja ya URT = United Republic of Tanzania. Mlilmpiga risasi 38, kama 19 zilimwingia mwilini, leo kuna risasi zimo mwilini anatembea nazo. Muhimbili walishindwa kumtibu, ikabidi apelekwe Kenya, nako wakashindwa kumalizia matibabu wakampeleka Ubeligiji. Huko ndiyo alipata afadhali ingawa hadi leo ni kilema. Kilema hicho kimesababishwa na CCM, na wewe ni muhisika na Mungu anakuona. Mshangliaji yeyote yule wa mateso aliyoyapata Lisu kwa kupigwa risasi 39 hatavuka lile tundu. Malipo yapo, na wala sikutishi, hii ilishaandikwa.

Semeni mengine, Lisu ni Raia wa Tanzania, mlitaka kumuua akapona, hivi wewe kwa nini usijiulize, mtu anakufa kwa Risasi moja, Tundu kapona baada hata kupigwa risasi 39! Na bado ana nguvu za kuongea. Nani anamfanya hivyo? Inawezekana ni yule aliye juu. Mmeonywa lakini mnasizidi kuwa wakatili. Wkati ukifika mtasikia. Hakuna jiwwe litakolsalia.
jikite kwe hoja gentleman,

licha ya kwamba ni muhimu pia kupata relief kwa kutoa ya moyoni ambayo ni nje ya mada kabisa :pulpTRAVOLTA:
 
Wenye njaa ni tegemezi wa mapumbavu kama wewe huko lumumba ambao akili zenu zilishakata network mimi naweza kukulisha wewe na ukoo wako mpaka uzeeni na kujikuta hutegemei Tena hao wajinga wenzio huko ccm🪛🪛🪛🪛🪛🪛🪛🪛🪛
malalamiko na makasiriko yako,
jaribu basi kuyaambatanisha na hoja ya msingi gentleman :pulpTRAVOLTA:
 
Ulipomalizia .... Kanisa Moja Takatifu la Mitume .... = uhusiano wa dini na siasa za TZ
 
Ni kweli Tundu Lisu ameshatia Nia lakini Kwa mujibu wa mjumbe wa CC Mh Yeriko Nyerere ni kwamba Tundu Lisu hana sifa za kuwa Rais wa JMT na hata 2020 walimteua kimakosa

Nimeona tuwekane sawa mapema Kwa sababu NEC ilitaka kumkata 2020 lakini Shujaa Magufuli akasema wamwache

Ahsanteni Sana

Leo ni Dominica ya Mwisho 2024🌹

Kanisa Moja Takatifu La Mitume😄
Unatumia specific to general approach kiongozi. Taarifa ile haikuwa taarifa ya chama. Kuwa makini unapoleta hoja.
 
TAL kachangamsha uchaguzi,si CCM tu wanaoufuatilia,na vyama vingine 14 pia.
... 'ata mama Havijawa na mume wake Sokomoko walivyoanza kuvuana nguo hadharani mitaa yote jirani ilihudhuria kujionea movie la bure! ... na, niamini, hakuna aliyeingilia ugomvi wao!
🤣
 
jikite kwe hoja gentleman,

licha ya kwamba ni muhimu pia kupata relief kwa kutoa ya moyoni ambayo ni nje ya mada kabisa :pulpTRAVOLTA:
Nje ya maada kwa vipi? Unachofanya kwa Lisu ni ku-character assassinate, ati ana uraia wa nchi mbili wakati unajua ni uongo na kuwa cause yake ni nyie CCM ndiyo mlipiga Risasi 39 na 19 kumwingia mwilini. Sasa nje ya maada kivipi?

Kama siyo hizo risasi 39 za CCM kumpiga Lisu hangekwenda Ubelgiji. Na hilio mnalijua, kwa nini mnasema uongo? Mnatenda dhambi vile vile, manavunja Amri ya 6 na ya kumi ya Mungu, usiue na siseme uongo.
 
Wewe tu ndio unaishi kizamani bila uraia pacha

Freeman na Sugu ni raia pacha kitambo sana 😂😂
Sio kweli. Huwezi kuwa na Urais pacha na Vyombo vya Dola vikajua halafu ukawa Kiongozi wa Chama Cha Siasa nchini au kugombea Ubunge. HAIWEZEKANI na TUSIDANGANYANE. Labda kwa watoto wao ingawaje ishu itakuja watakapotaka kuingia kwenye siasa za Tanzania.
 
CCM walimsema Magufuli kuwa hawezi kuwa Rais kuwa anapenda kuropoka sana na hawezi kuweka mambo kifuani………ata siku anachukua fomu pale Lumumba kuna watu walianza kumcheka eti “mpaka huyu nae anataka kuwa Rais,mbona anapoteza muda sana!??”

Jakaya wakati anataka kugombea Urais mwaka 1995,kuna baadhi ya watu ndani ya CCM walimchana wazi wazi kuwa hafai kuwa Rais maana uwezo huo hana ila baadae akawa Rais

Wakati Mwalimu anapendekeza jina la Mwinyi kugombea Urais,kuna wanasiasa ndani ya CCM tena wengi sana walikiri kuwa Mwinyi hapaswi kuwa Rais ila akawa Rais


Mama Samia Leo ni Rais lakini kuna kikundi kilikiri kuwa hawezi kuwa Rais coz hana utashi mkubwa wa kuongoza Nchi na ata mpaka hivi sasa kuna kundi kubwa sana toka CCM linakiri kuwa Bi’Mkubwa anazingua ila bado ni Rais

Mungu akiamua jambo hakuna wa kupinga,Kama mlishindwa kumuua TAL ndio Leo muweze kumzuia kuwa Rais!??? Haiwezekani kabisa

LISSU ni mpango wa MUNGU,atakayejaribu kupambana nae hasira za Mungu zipo juu yake
Mkuu hao watu Nikiri asilimiakubwa walikuwa sahihi isipokuwa kwa Magu, Magu despite his short backs was a President we needed.
Kwa AHM,JMK, na SSH.. they are right!
Marais Tuliowapata Bora
  • Julius Nyerere
  • Ben Mkapa
  • John Magufuli
In that Order
 
Ikungi alikozaliwa TAL wanatushangaa kusema ,achaguliwe,kuwa Mwenyekiti wa chadema Taifa!
Jimbo la ikungi,lilimshinda,Leo mnataka kumpa chama nchinnzima?
Ukiachaya juzi haya aliyoyakoroga Lisu is smart!
 
Back
Top Bottom