Pre GE2025 Tundu Lissu: Hatutashiriki Uchaguzi Mkuu bila Katiba Mpya na Tume Huru

Pre GE2025 Tundu Lissu: Hatutashiriki Uchaguzi Mkuu bila Katiba Mpya na Tume Huru

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
LISu wasasa ,ni Mohamed Ali,ni Tyson wazamani ni Mayweather wa kizazi hiki kwenye ngumi na ni Pele,zico ,Dunga,maradona ,garincha wazamani kwenye soka na kwakizazi hiki yeye ni mesi
 
Kuanzia sasa hatutashiriki tena kwenye chaguzi zijazo ukiwemo uchaguzi mkuu 2025 bila kuwa na Katiba mpya na mfumo mpya wa kidemokrasia wenye Tume huru ya uchaguzi na sheria mpya za uchaguzi tutashiriki huku tukijua kwamba Wapiga kura feki wataandikishwa, Wagombea wetu wataenguliwa, tutafanyiwa vurugu kwenye kampeni na siku ya uchaguzi, kura feki zitaingizwa na kura halali zitaibiwa, na Wagombea walioshindwa watatangazwa Washindi wa chaguzi hizo”

“Ukweli huu mchungu unatutaka tubadilishe mbinu za mapambano ya kidemokrasia, tumesubiri CCM na Serikali zake wabadilishe msimamo wao kuhusu Katiba mpya na Tume huru kwa miaka mingi, tumewabembeleza kwa muda mrefu wakubali Nchi yetu iondokane na Katiba ya sasa bila mafanikio”

“Kuhusu uchaguzi wa Chama chetu, Mwenyekiti wetu wa Chama na Mgombea mwenzangu wa Uenyekiti wa CHADEMA (Freeman Mbowe) amesema uchaguzi wetu wa Chama unatakiwa kuwa huru na haki nami naunga mkono maneno yake, bila uchaguzi huru Wanachama wetu hawatopata fursa ya kuonesha kuwa wao ndio wenye madaraka ya mwanzo na mwisho katika kuamua hatima ya Chama chetu, ili haya yatekelezwe tunahitaji kutafakari masuala yafuatayo”

“Napendekeza kuwa pamoja na Wazee Wastaafu wa Chama watakaopatikana kusimamia uchaguzi, Kamati Kuu iwaombe Viongozi wa Dini kuhudhuria mkutano mkuu kama Watazamaji ili kusaidia kuzuia mipango ya Waovu kuvuruga uchaguzi wetu, Kamati Kuu pia iwaite Wawakilishi wa Balozi mbalimbali nchini kushuhudia uchaguzi wetu” —— Mgombea wa Uenyekiti wa CHADEMA Taifa, Tundu Lissu akiongea na Watanzania leo January 01,2025
Ukisusa wenzio wafakula na hiyo itakuwa sawa na kuokota dodo chini ya mwembe 😆😆

Na bet kama ameandaa maandamano ataaibika kama Mbowe.
 
LISu wasasa ,ni Mohamed Ali,ni Tyson wazamani ni Mayweather wa kizazi hiki kwenye ngumi na ni Pele,zico ,Dunga,maradona ,garincha wazamani kwenye soka na kwakizazi hiki yeye ni mesi
Aitishe maandamano aone aibu kama ya Mwenyekiti
 
Lissu angekuwa na nafasi nzuri ya kutoa huo msimamo Kama angekuwa mwenyekiti wa chama vinginevyo anavyoongea ni porojo.
 
Hakika huyu ana nia ya dhati ya kuibadili nchi hii.
Ukiona mtu anataka kugombana na mtu halafu anaweka masharti kibao; mara tuvue mashati yasichanike; mara tupiganie uwanjani kuna eneo la kutosha; mara asiingilie mtu, jua huyo mtu ni mwoga na anaitafuta sababu za kusepa! Ahahahahaha!!!
 
Lissu bado anaishi duniani kwa sababu Lengo ambalo Mungu amelipanga juu yake na waTanganyika bado halijatimia. Lazima atimize alicholetwa kufanya duniani kwanza. Mwamba kabarikiwa sana.

Ccm mtake msitake huyo ndo chaguo la Mungu mtampinga ila lazima alichoagizwa akitimize tu!
 
Kuanzia sasa hatutashiriki tena kwenye chaguzi zijazo ukiwemo uchaguzi mkuu 2025 bila kuwa na Katiba mpya na mfumo mpya wa kidemokrasia wenye Tume huru ya uchaguzi na sheria mpya za uchaguzi tutashiriki huku tukijua kwamba Wapiga kura feki wataandikishwa, Wagombea wetu wataenguliwa, tutafanyiwa vurugu kwenye kampeni na siku ya uchaguzi, kura feki zitaingizwa na kura halali zitaibiwa, na Wagombea walioshindwa watatangazwa Washindi wa chaguzi hizo”

“Ukweli huu mchungu unatutaka tubadilishe mbinu za mapambano ya kidemokrasia, tumesubiri CCM na Serikali zake wabadilishe msimamo wao kuhusu Katiba mpya na Tume huru kwa miaka mingi, tumewabembeleza kwa muda mrefu wakubali Nchi yetu iondokane na Katiba ya sasa bila mafanikio”

“Kuhusu uchaguzi wa Chama chetu, Mwenyekiti wetu wa Chama na Mgombea mwenzangu wa Uenyekiti wa CHADEMA (Freeman Mbowe) amesema uchaguzi wetu wa Chama unatakiwa kuwa huru na haki nami naunga mkono maneno yake, bila uchaguzi huru Wanachama wetu hawatopata fursa ya kuonesha kuwa wao ndio wenye madaraka ya mwanzo na mwisho katika kuamua hatima ya Chama chetu, ili haya yatekelezwe tunahitaji kutafakari masuala yafuatayo”

“Napendekeza kuwa pamoja na Wazee Wastaafu wa Chama watakaopatikana kusimamia uchaguzi, Kamati Kuu iwaombe Viongozi wa Dini kuhudhuria mkutano mkuu kama Watazamaji ili kusaidia kuzuia mipango ya Waovu kuvuruga uchaguzi wetu, Kamati Kuu pia iwaite Wawakilishi wa Balozi mbalimbali nchini kushuhudia uchaguzi wetu” —— Mgombea wa Uenyekiti wa CHADEMA Taifa, Tundu Lissu akiongea na Watanzania leo January 01,2025
Katiba mpya kuipata kabla ya Uchaguzi mkuu sio rahisi kwa sasa
 
Hakuna katiba mpya na lazima watashiriki tuu.
 
Usiposhiriki ila uchaguzi utafanyika,na Rais ,wabunge na madiwani watachaguliwa
 
Mimi nawashangaa CHADEMA, huwa wanasema hayahaya kila baada ya kuchezewa rafu kwenye uchaguzi. Ila uchaguzi mwingine ukifika wao ndo wa kwanza kuwaambia watu kuwa ni busara kushiriki uchaguzi huo!
Hapo unatakiwa kumshangaa Mbowe na sio Chadema!
 
Mimi nawashangaa CHADEMA, huwa wanasema hayahaya kila baada ya kuchezewa rafu kwenye uchaguzi. Ila uchaguzi mwingine ukifika wao ndo wa kwanza kuwaambia watu kuwa ni busara kushiriki uchaguzi huo!
Kwani wasiposhiriki wanamkomoa nani? Mbona miaka ya Mwendazake waliokuwa ban na maisha Yalienda?
 
Kuanzia sasa hatutashiriki tena kwenye chaguzi zijazo ukiwemo uchaguzi mkuu 2025 bila kuwa na Katiba mpya na mfumo mpya wa kidemokrasia wenye Tume huru ya uchaguzi na sheria mpya za uchaguzi tutashiriki huku tukijua kwamba Wapiga kura feki wataandikishwa, Wagombea wetu wataenguliwa, tutafanyiwa vurugu kwenye kampeni na siku ya uchaguzi, kura feki zitaingizwa na kura halali zitaibiwa, na Wagombea walioshindwa watatangazwa Washindi wa chaguzi hizo”

“Ukweli huu mchungu unatutaka tubadilishe mbinu za mapambano ya kidemokrasia, tumesubiri CCM na Serikali zake wabadilishe msimamo wao kuhusu Katiba mpya na Tume huru kwa miaka mingi, tumewabembeleza kwa muda mrefu wakubali Nchi yetu iondokane na Katiba ya sasa bila mafanikio”

“Kuhusu uchaguzi wa Chama chetu, Mwenyekiti wetu wa Chama na Mgombea mwenzangu wa Uenyekiti wa CHADEMA (Freeman Mbowe) amesema uchaguzi wetu wa Chama unatakiwa kuwa huru na haki nami naunga mkono maneno yake, bila uchaguzi huru Wanachama wetu hawatopata fursa ya kuonesha kuwa wao ndio wenye madaraka ya mwanzo na mwisho katika kuamua hatima ya Chama chetu, ili haya yatekelezwe tunahitaji kutafakari masuala yafuatayo”

“Napendekeza kuwa pamoja na Wazee Wastaafu wa Chama watakaopatikana kusimamia uchaguzi, Kamati Kuu iwaombe Viongozi wa Dini kuhudhuria mkutano mkuu kama Watazamaji ili kusaidia kuzuia mipango ya Waovu kuvuruga uchaguzi wetu, Kamati Kuu pia iwaite Wawakilishi wa Balozi mbalimbali nchini kushuhudia uchaguzi wetu” —— Mgombea wa Uenyekiti wa CHADEMA Taifa, Tundu Lissu akiongea na Watanzania leo January 01,2025
gentleman,
Iet me confirm to you all, without fear of contradictions kwamba,
uchaguzi mkuu Tanzania utafanyika kwa amani na usalama sana Oct.2025.

na kwakweli utakua uchaguzi wa kihistoria katika nchi yetu,
utakua uchaguzi huru sana, wa wazi zaidi na kwakweli wa haki kwa wote.

hata hivyo,
katika vyama vya siasa 22 vyenye usajili wa kudumu nchini, chama kimoja kikimua kutoshiriki uchaguzi huo kwa sababu ya ukata wa fedha, kukosa sera, kukataliwa na wananchi au kisingizio kingine chochote kile, haita athiri hata kidogo, vyama vingine na wananchi kushiriki uchaguzi huo muhimu wa kuamua mustakabali wa taifa lao.

hakuna makelele, mdomo, hakuna kumbwelambwela wala kubembelezana kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka huu :pulpTRAVOLTA:
 
Kuanzia sasa hatutashiriki tena kwenye chaguzi zijazo ukiwemo uchaguzi mkuu 2025 bila kuwa na Katiba mpya na mfumo mpya wa kidemokrasia wenye Tume huru ya uchaguzi na sheria mpya za uchaguzi tutashiriki huku tukijua kwamba Wapiga kura feki wataandikishwa, Wagombea wetu wataenguliwa, tutafanyiwa vurugu kwenye kampeni na siku ya uchaguzi, kura feki zitaingizwa na kura halali zitaibiwa, na Wagombea walioshindwa watatangazwa Washindi wa chaguzi hizo”

“Ukweli huu mchungu unatutaka tubadilishe mbinu za mapambano ya kidemokrasia, tumesubiri CCM na Serikali zake wabadilishe msimamo wao kuhusu Katiba mpya na Tume huru kwa miaka mingi, tumewabembeleza kwa muda mrefu wakubali Nchi yetu iondokane na Katiba ya sasa bila mafanikio”

“Kuhusu uchaguzi wa Chama chetu, Mwenyekiti wetu wa Chama na Mgombea mwenzangu wa Uenyekiti wa CHADEMA (Freeman Mbowe) amesema uchaguzi wetu wa Chama unatakiwa kuwa huru na haki nami naunga mkono maneno yake, bila uchaguzi huru Wanachama wetu hawatopata fursa ya kuonesha kuwa wao ndio wenye madaraka ya mwanzo na mwisho katika kuamua hatima ya Chama chetu, ili haya yatekelezwe tunahitaji kutafakari masuala yafuatayo”

“Napendekeza kuwa pamoja na Wazee Wastaafu wa Chama watakaopatikana kusimamia uchaguzi, Kamati Kuu iwaombe Viongozi wa Dini kuhudhuria mkutano mkuu kama Watazamaji ili kusaidia kuzuia mipango ya Waovu kuvuruga uchaguzi wetu, Kamati Kuu pia iwaite Wawakilishi wa Balozi mbalimbali nchini kushuhudia uchaguzi wetu” —— Mgombea wa Uenyekiti wa CHADEMA Taifa, Tundu Lissu akiongea na Watanzania leo January 01,2025
Nabii hakubaliki kwao
 
Back
Top Bottom