Tundu Lissu hawezi kumshinda Freeman Mbowe kwa chochote na kwa vyovyote vile atafedheheka sana hususani kwenye uchaguzi wa CHADEMA taifa Januari 21

Tundu Lissu hawezi kumshinda Freeman Mbowe kwa chochote na kwa vyovyote vile atafedheheka sana hususani kwenye uchaguzi wa CHADEMA taifa Januari 21

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
My friends, ladies and gentleman,
Na huu ndio ukweli mnapaswa kufahamu na kuuelewa vyema kwamba,
Tundu Antipas Mughwai Lisu, hawezi kumshinda Freeman Aikali Mbowe kwa namna yoyote ile, hususan chadema inapoelekea kwenye uchaguzi wa ngazi ya taifa Jan.21.2025.

Hawezi kumshinda kwa kura za wajumbe, kwasababu hana wajumbe wengi wanaomuunga mkono ukilinganisha na wale wengi zaidi wanaomuunga mkkono Mbowe. Lisu hawezi kumshinda Mbowe kwa hoja ispokua manung"uniko, kelele, mdomo na tuhuma za kubuni tu, Lakini pia Lisu hawezi kumshinda mbowe kwa uzoefu, mipango na maarifa katika uongozi ndani ya chadema, kwasababu Lisu yeye muda mwingi hutumia kula raha na mabwenyenye ya magharibi yanayomfadhili yeye na familia yake huko ughaibuni.

Lisu hawezi kumshinda Mbowe kwa fedha wala mali, kwasababu Lisu hana pesa, hana kazi wala biashara zaidi ya kuishi kwa kuomba omba kuchangiwa na wananchi pesa za kujikimu. Lisu hawezi kumshinda Mbowe kwasababu, hana mipango mikakati ya ushindi wala hana sera mpya wala mawazo mapya zaidi ya tuhuma tu, Lisu hawezi kumshinda Mbowe kwasababu haaminiki kabisa ndani ya chadema ispokua mitandaoni tu, Lisu hakubaliki na hana ushawishi wala haeleweki vyema kwa wajumbe wa mkutano mkuu wa chadema Taifa, kutokana na uzalendo wake kughubukwa na mashaka na utata mwingi sana, kwamfano haijulikani bayana anaishi wapi kwasasa, ulaya au africa? na ofisi ya chadema itahamishiwa ulaya au itabaki Africa?

Kubwa zaidi anaonekana kama kuwadi wa ukoloni mambo leo ambae anafanya kazi kwa niaba ya watu wa magharibi wenye nia ovu na tamaa ya rasilimali za Tanzania kwa manufaa yao, familia zao na mataifa yao.

kwa kifupi,
nawashauri wanaoendelea kuwekeza fedha, mali, nguvu, imani na matumaini yao kwa huyu kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi kwamba ni ndoto za alinacha kumshinda Freeman Aikael Mbowe, statesman na mwamba wa kaskazini. mnapoteza muda wenu tu:NoGodNo:

Mungu Ibariki Tanzania.
 
My friends, ladies and gentleman,
Na huu ndio ukweli mnapaswa kufahamu na kuuelewa vyema kwamba,
Tundu Antipas Mughwai Lisu, hawezi kumshinda Freeman Aikali Mbowe kwa namna yoyote ile, hususan chadema inapoelekea kwenye uchaguzi wa ngazi ya taifa Jan.21.2025.

Hawezi kumshinda kwa kura za wajumbe, kwasababu hana wajumbe wengi wanaomuunga mkono ukilinganisha na wale wengi zaidi wanaomuunga mkkono Mbowe. Lisu hawezi kumshinda Mbowe kwa hoja ispokua manung"uniko, kelele, mdomo na tuhuma za kubuni tu, Lakini pia Lisu hawezi kumshinda mbowe kwa uzoefu, mipango na maarifa katika uongozi ndani ya chadema, kwasababu Lisu yeye muda mwingi hutumia kula raha na mabwenyenye ya magharibi yanayomfadhili yeye na familia yake huko ughaibuni.

Lisu hawezi kumshinda Mbowe kwa fedha wala mali, kwasababu Lisu hana pesa, hana kazi wala biashara zaidi ya kuishi kwa kuomba omba kuchangiwa na wananchi pesa za kujikimu. Lisu hawezi kumshinda Mbowe kwasababu, hana mipango mikakati ya ushindi wala hana sera mpya wala mawazo mapya zaidi ya tuhuma tu, Lisu hawezi kumshinda Mbowe kwasababu haaminiki kabisa ndani ya chadema ispokua mitandaoni tu, Lisu hakubaliki na hana ushawishi wala haeleweki vyema kwa wajumbe wa mkutano mkuu wa chadema Taifa, kutokana na uzalendo wake kughubukwa na mashaka na utata mwingi sana, kwamfano haijulikani bayana anaishi wapi kwasasa, ulaya au africa? na ofisi ya chadema itahamishiwa ulaya au itabaki Africa?

Kubwa zaidi anaonekana kama kuwadi wa ukoloni mambo leo ambae anafanya kazi kwa niaba ya watu wa magharibi wenye nia ovu na tamaa ya rasilimali za Tanzania kwa manufaa yao, familia zao na mataifa yao.

kwa kifupi,
nawashauri wanaoendelea kuwekeza fedha, mali, nguvu, imani na matumaini yao kwa huyu kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi kwamba ni ndoto za alinacha kumshinda Freeman Aikael Mbowe, statesman na mwamba wa kaskazini. mnapoteza muda wenu tu:NoGodNo:

Mungu Ibariki Tanzania.
Mimi nachojua wewe baba yako aliuza nguruwe akapeleka nguruwe mwingine shule ilo ninauhakika nalo.
 
My friends, ladies and gentleman,
Na huu ndio ukweli mnapaswa kufahamu na kuuelewa vyema kwamba,
Tundu Antipas Mughwai Lisu, hawezi kumshinda Freeman Aikali Mbowe kwa namna yoyote ile, hususan chadema inapoelekea kwenye uchaguzi wa ngazi ya taifa Jan.21.2025.

Hawezi kumshinda kwa kura za wajumbe, kwasababu hana wajumbe wengi wanaomuunga mkono ukilinganisha na wale wengi zaidi wanaomuunga mkkono Mbowe. Lisu hawezi kumshinda Mbowe kwa hoja ispokua manung"uniko, kelele, mdomo na tuhuma za kubuni tu, Lakini pia Lisu hawezi kumshinda mbowe kwa uzoefu, mipango na maarifa katika uongozi ndani ya chadema, kwasababu Lisu yeye muda mwingi hutumia kula raha na mabwenyenye ya magharibi yanayomfadhili yeye na familia yake huko ughaibuni.

Lisu hawezi kumshinda Mbowe kwa fedha wala mali, kwasababu Lisu hana pesa, hana kazi wala biashara zaidi ya kuishi kwa kuomba omba kuchangiwa na wananchi pesa za kujikimu. Lisu hawezi kumshinda Mbowe kwasababu, hana mipango mikakati ya ushindi wala hana sera mpya wala mawazo mapya zaidi ya tuhuma tu, Lisu hawezi kumshinda Mbowe kwasababu haaminiki kabisa ndani ya chadema ispokua mitandaoni tu, Lisu hakubaliki na hana ushawishi wala haeleweki vyema kwa wajumbe wa mkutano mkuu wa chadema Taifa, kutokana na uzalendo wake kughubukwa na mashaka na utata mwingi sana, kwamfano haijulikani bayana anaishi wapi kwasasa, ulaya au africa? na ofisi ya chadema itahamishiwa ulaya au itabaki Africa?

Kubwa zaidi anaonekana kama kuwadi wa ukoloni mambo leo ambae anafanya kazi kwa niaba ya watu wa magharibi wenye nia ovu na tamaa ya rasilimali za Tanzania kwa manufaa yao, familia zao na mataifa yao.

kwa kifupi,
nawashauri wanaoendelea kuwekeza fedha, mali, nguvu, imani na matumaini yao kwa huyu kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi kwamba ni ndoto za alinacha kumshinda Freeman Aikael Mbowe, statesman na mwamba wa kaskazini. mnapoteza muda wenu tu:NoGodNo:

Mungu Ibariki Tanzania.
Leo mmeleta thread kama kumi zote ni lisu atashindwa lisu atashindwa kwani nn kimewapata huko nyie wafuasi wa sultan na uvccm?

Tulieni dawa iwaingie
 
My friends, ladies and gentleman,
Na huu ndio ukweli mnapaswa kufahamu na kuuelewa vyema kwamba,
Tundu Antipas Mughwai Lisu, hawezi kumshinda Freeman Aikali Mbowe kwa namna yoyote ile, hususan chadema inapoelekea kwenye uchaguzi wa ngazi ya taifa Jan.21.2025.

Hawezi kumshinda kwa kura za wajumbe, kwasababu hana wajumbe wengi wanaomuunga mkono ukilinganisha na wale wengi zaidi wanaomuunga mkkono Mbowe. Lisu hawezi kumshinda Mbowe kwa hoja ispokua manung"uniko, kelele, mdomo na tuhuma za kubuni tu, Lakini pia Lisu hawezi kumshinda mbowe kwa uzoefu, mipango na maarifa katika uongozi ndani ya chadema, kwasababu Lisu yeye muda mwingi hutumia kula raha na mabwenyenye ya magharibi yanayomfadhili yeye na familia yake huko ughaibuni.

Lisu hawezi kumshinda Mbowe kwa fedha wala mali, kwasababu Lisu hana pesa, hana kazi wala biashara zaidi ya kuishi kwa kuomba omba kuchangiwa na wananchi pesa za kujikimu. Lisu hawezi kumshinda Mbowe kwasababu, hana mipango mikakati ya ushindi wala hana sera mpya wala mawazo mapya zaidi ya tuhuma tu, Lisu hawezi kumshinda Mbowe kwasababu haaminiki kabisa ndani ya chadema ispokua mitandaoni tu, Lisu hakubaliki na hana ushawishi wala haeleweki vyema kwa wajumbe wa mkutano mkuu wa chadema Taifa, kutokana na uzalendo wake kughubukwa na mashaka na utata mwingi sana, kwamfano haijulikani bayana anaishi wapi kwasasa, ulaya au africa? na ofisi ya chadema itahamishiwa ulaya au itabaki Africa?

Kubwa zaidi anaonekana kama kuwadi wa ukoloni mambo leo ambae anafanya kazi kwa niaba ya watu wa magharibi wenye nia ovu na tamaa ya rasilimali za Tanzania kwa manufaa yao, familia zao na mataifa yao.

kwa kifupi,
nawashauri wanaoendelea kuwekeza fedha, mali, nguvu, imani na matumaini yao kwa huyu kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi kwamba ni ndoto za alinacha kumshinda Freeman Aikael Mbowe, statesman na mwamba wa kaskazini. mnapoteza muda wenu tu:NoGodNo:

Mungu Ibariki Tanzania.
Kama Kuna advance ulimpatia Mbowe nakushauri nenda kaichukue
 
CCM BANNER OFFICIAL _20250113_111934_0000.png
 
My friends, ladies and gentleman,
Na huu ndio ukweli mnapaswa kufahamu na kuuelewa vyema kwamba,
Tundu Antipas Mughwai Lisu, hawezi kumshinda Freeman Aikali Mbowe kwa namna yoyote ile, hususan chadema inapoelekea kwenye uchaguzi wa ngazi ya taifa Jan.21.2025.

Hawezi kumshinda kwa kura za wajumbe, kwasababu hana wajumbe wengi wanaomuunga mkono ukilinganisha na wale wengi zaidi wanaomuunga mkkono Mbowe. Lisu hawezi kumshinda Mbowe kwa hoja ispokua manung"uniko, kelele, mdomo na tuhuma za kubuni tu, Lakini pia Lisu hawezi kumshinda mbowe kwa uzoefu, mipango na maarifa katika uongozi ndani ya chadema, kwasababu Lisu yeye muda mwingi hutumia kula raha na mabwenyenye ya magharibi yanayomfadhili yeye na familia yake huko ughaibuni.

Lisu hawezi kumshinda Mbowe kwa fedha wala mali, kwasababu Lisu hana pesa, hana kazi wala biashara zaidi ya kuishi kwa kuomba omba kuchangiwa na wananchi pesa za kujikimu. Lisu hawezi kumshinda Mbowe kwasababu, hana mipango mikakati ya ushindi wala hana sera mpya wala mawazo mapya zaidi ya tuhuma tu, Lisu hawezi kumshinda Mbowe kwasababu haaminiki kabisa ndani ya chadema ispokua mitandaoni tu, Lisu hakubaliki na hana ushawishi wala haeleweki vyema kwa wajumbe wa mkutano mkuu wa chadema Taifa, kutokana na uzalendo wake kughubukwa na mashaka na utata mwingi sana, kwamfano haijulikani bayana anaishi wapi kwasasa, ulaya au africa? na ofisi ya chadema itahamishiwa ulaya au itabaki Africa?

Kubwa zaidi anaonekana kama kuwadi wa ukoloni mambo leo ambae anafanya kazi kwa niaba ya watu wa magharibi wenye nia ovu na tamaa ya rasilimali za Tanzania kwa manufaa yao, familia zao na mataifa yao.

kwa kifupi,
nawashauri wanaoendelea kuwekeza fedha, mali, nguvu, imani na matumaini yao kwa huyu kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi kwamba ni ndoto za alinacha kumshinda Freeman Aikael Mbowe, statesman na mwamba wa kaskazini. mnapoteza muda wenu tu:NoGodNo:

Mungu Ibariki Tanzania.

Utueleze Mama yetu viongozi wako wa CCM wanabiashara gani? Pesa wamepata wapi. Ongelea sera za CCM mapenzi na Mbowe yametoka wapi?
 
Hivi Tlaatlaah ukijesabu hii ni thread ya ngapi tangu umeanza kumuunga mkono Mbowe.

Unajisikiaje ukiwa ni ccm lia lia lakini kwa kipindi cha mwezi uliopita umekuwa unatumia masaa yako 22 kati ya 24 kwa mambo ya chadema? Hujisikii aibu?

Mbona mnahangaika sana hadi mnajitia aibu? Si muache kwani tar 21 kuna umbali gani?
 
Mimi nachojua wewe baba yako aliuza nguruwe akapeleka nguruwe mwingine shule ilo ninauhakika nalo.
gentleman,
manguruwe ninayaleta mjini kila alhamisi zaidi ya 20, nakomba zaidi ya 5m kila wiki kila alhamisi katika mwezi ni ngapi hiyo gentleman?:pedroP:

ni hela hiyo gentleman unaidharau
 
Hivi Tlaatlaah ukijesabu hii ni thread ya ngapi tangu umeanza kumuunga mkono Mbowe.

Unajisikiaje ukiwa ni ccm lia lia lakini kwa kipindi cha mwezi uliopita umekuwa unatumia masaa yako 22 kati ya 24 kwa mambo ya chadema? Hujisikii aibu?

Mbona mnahangaika sana hadi mnajitia aibu? Si muache kwani tar 21 kuna umbali gani?
zingatia ukweli huo usio na mawaa gentleman,

vinginevyo utapata tabu sana :pedroP:
 
Innanikumbusha yule CDF wa Iraq miaka ile alisema majeshi ya US yamedhibitiwa nspa yana hali mbaya Kusini mwa Bagdad watu wakamshangiliaaaa!! Kumbe asemacho na ukweli tofauti
 
Leo mmeleta thread kama kumi zote ni lisu atashindwa lisu atashindwa kwani nn kimewapata huko nyie wafuasi wa sultan na uvccm?

Tulieni dawa iwaingie
ni katika kuwaweka sawa kisaikolojia gentleman, okey? :pedroP:
 
Mama anawalipa ili mumpambe yeye lakini wewe sasa unafatilia ya chadema.!! 😹
mambo haya ni rahisi sana,
pesa ni ya kutafuta kwa bidii sana, na kura ni ya kutafuta kwa mipango, akili na fedha mingi mtumishi:pedroP:
 
Back
Top Bottom