Tundu Lissu hawezi kumshinda Freeman Mbowe kwa chochote na kwa vyovyote vile atafedheheka sana hususani kwenye uchaguzi wa CHADEMA taifa Januari 21

Tundu Lissu hawezi kumshinda Freeman Mbowe kwa chochote na kwa vyovyote vile atafedheheka sana hususani kwenye uchaguzi wa CHADEMA taifa Januari 21

gentleman,
mimi naeleza matokeo ya taifti halisi mbalimbali sio upepo gentleman?

huo si ushirikina sasa? karne ya sayansi na technolojia unatumia upepo kutathmini matokeo ya uchaguzi?:pedroP:
unajua maana ya upepo? Mwandishi gani usiyejua istilahi za maneno?
 
Ushindi wa uchaguzi 21 Jan 2025 ni numbers:
Idadi ya Wajumbe wenye sifa ya kupiga kura.
Idadi ya wajumbe watakaopiga kura.
Idadi ya wajumbe watakaompigia Lissu.
Idadi ya wajumbe watakaompigia Mbowe.
Idadi ya kura za wajumbe wasiounga yeyote.
Idadi ya kura zilizoharibika.
Hakuna kura ya washabeki.
Hakuna kura ya mitandao.
Hakuna kura diaspora.
Hakuna kura ya wanaharakati.
Hakuna kura ya bodaboda.
Hakuna kura ya wana CCM
Hakuna kura vyama vya upinzani isipokuwa Chadema.
Hakuna kura ya viongozi wa dini.
all in all ushindi ni kwa lissu
 
unajua maana ya upepo? Mwandishi gani usiyejua istilahi za maneno?
umeamua kuhamishia magoli kuelekea kwenye taaluma sasa ticha? hutaki tena kusikia habari za ushindi wa bowe?

walimu bana da! :pedroP:

hata mimi ni mkufunzi gentleman ila sio wa silabi na istilahi:pedroP:
 
My friends, ladies and gentleman,
Na huu ndio ukweli mnapaswa kufahamu na kuuelewa vyema kwamba,
Tundu Antipas Mughwai Lisu, hawezi kumshinda Freeman Aikali Mbowe kwa namna yoyote ile, hususan chadema inapoelekea kwenye uchaguzi wa ngazi ya taifa Jan.21.2025.

Hawezi kumshinda kwa kura za wajumbe, kwasababu hana wajumbe wengi wanaomuunga mkono ukilinganisha na wale wengi zaidi wanaomuunga mkkono Mbowe. Lisu hawezi kumshinda Mbowe kwa hoja ispokua manung"uniko, kelele, mdomo na tuhuma za kubuni tu, Lakini pia Lisu hawezi kumshinda mbowe kwa uzoefu, mipango na maarifa katika uongozi ndani ya chadema, kwasababu Lisu yeye muda mwingi hutumia kula raha na mabwenyenye ya magharibi yanayomfadhili yeye na familia yake huko ughaibuni.

Lisu hawezi kumshinda Mbowe kwa fedha wala mali, kwasababu Lisu hana pesa, hana kazi wala biashara zaidi ya kuishi kwa kuomba omba kuchangiwa na wananchi pesa za kujikimu. Lisu hawezi kumshinda Mbowe kwasababu, hana mipango mikakati ya ushindi wala hana sera mpya wala mawazo mapya zaidi ya tuhuma tu, Lisu hawezi kumshinda Mbowe kwasababu haaminiki kabisa ndani ya chadema ispokua mitandaoni tu, Lisu hakubaliki na hana ushawishi wala haeleweki vyema kwa wajumbe wa mkutano mkuu wa chadema Taifa, kutokana na uzalendo wake kughubukwa na mashaka na utata mwingi sana, kwamfano haijulikani bayana anaishi wapi kwasasa, ulaya au africa? na ofisi ya chadema itahamishiwa ulaya au itabaki Africa?

Kubwa zaidi anaonekana kama kuwadi wa ukoloni mambo leo ambae anafanya kazi kwa niaba ya watu wa magharibi wenye nia ovu na tamaa ya rasilimali za Tanzania kwa manufaa yao, familia zao na mataifa yao.

kwa kifupi,
nawashauri wanaoendelea kuwekeza fedha, mali, nguvu, imani na matumaini yao kwa huyu kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi kwamba ni ndoto za alinacha kumshinda Freeman Aikael Mbowe, statesman na mwamba wa kaskazini. mnapoteza muda wenu tu:NoGodNo:

Mungu Ibariki Tanzania.
Wewe ni mmoja kati wajinga wanaojaza hii nchi and you are a useless idiot. Mungu chukua hili lishetani haraka lichome Moto liteketee kabisa
 
Wewe ni mmoja kati wajinga wanaojaza hii nchi and you are a useless idiot. Mungu chukua hili lishetani haraka lichome Moto liteketee kabisa
relax basi mwana wa Mungu usi na chembe ya mihemko :pedroP:
 
labda kwa upepo right?:pedroP:
umewahi kuchambua vitabu ujue lugha zinazotumiwa na watunzi wa vitabu? Ukiambiwa mwanasiasa fulani anapumulia mashine jimboni mwake unadhani ni mgonjwa na yuko ICU hospitalini?
 
My friends, ladies and gentleman,
Na huu ndio ukweli mnapaswa kufahamu na kuuelewa vyema kwamba,
Tundu Antipas Mughwai Lisu, hawezi kumshinda Freeman Aikali Mbowe kwa namna yoyote ile, hususan chadema inapoelekea kwenye uchaguzi wa ngazi ya taifa Jan.21.2025.

Hawezi kumshinda kwa kura za wajumbe, kwasababu hana wajumbe wengi wanaomuunga mkono ukilinganisha na wale wengi zaidi wanaomuunga mkkono Mbowe. Lisu hawezi kumshinda Mbowe kwa hoja ispokua manung"uniko, kelele, mdomo na tuhuma za kubuni tu, Lakini pia Lisu hawezi kumshinda mbowe kwa uzoefu, mipango na maarifa katika uongozi ndani ya chadema, kwasababu Lisu yeye muda mwingi hutumia kula raha na mabwenyenye ya magharibi yanayomfadhili yeye na familia yake huko ughaibuni.

Lisu hawezi kumshinda Mbowe kwa fedha wala mali, kwasababu Lisu hana pesa, hana kazi wala biashara zaidi ya kuishi kwa kuomba omba kuchangiwa na wananchi pesa za kujikimu. Lisu hawezi kumshinda Mbowe kwasababu, hana mipango mikakati ya ushindi wala hana sera mpya wala mawazo mapya zaidi ya tuhuma tu, Lisu hawezi kumshinda Mbowe kwasababu haaminiki kabisa ndani ya chadema ispokua mitandaoni tu, Lisu hakubaliki na hana ushawishi wala haeleweki vyema kwa wajumbe wa mkutano mkuu wa chadema Taifa, kutokana na uzalendo wake kughubukwa na mashaka na utata mwingi sana, kwamfano haijulikani bayana anaishi wapi kwasasa, ulaya au africa? na ofisi ya chadema itahamishiwa ulaya au itabaki Africa?

Kubwa zaidi anaonekana kama kuwadi wa ukoloni mambo leo ambae anafanya kazi kwa niaba ya watu wa magharibi wenye nia ovu na tamaa ya rasilimali za Tanzania kwa manufaa yao, familia zao na mataifa yao.

kwa kifupi,
nawashauri wanaoendelea kuwekeza fedha, mali, nguvu, imani na matumaini yao kwa huyu kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi kwamba ni ndoto za alinacha kumshinda Freeman Aikael Mbowe, statesman na mwamba wa kaskazini. mnapoteza muda wenu tu:NoGodNo:

Mungu Ibariki Tanzania.
Chacha jiandae anakushindeni nyote ,wewe yeye na hata wanambogamboga woooteee
 
sawa mganga mpiga ramli :pedroP:
Huyo ni kama mwananchi anayeombewa njaa na kola,ila anaambulia neema tena katika mazingira magumu na yasiyotarajiwa na awamu hii ni ubigwa kwa wananchi na bingwa kuwa bingwa,kolo mtanuna sana.Chinjio la kwa mkapa halitaacha kitu hadi mifupa wananchi tutafuta.
 
My friends, ladies and gentleman,
Na huu ndio ukweli mnapaswa kufahamu na kuuelewa vyema kwamba,
Tundu Antipas Mughwai Lisu, hawezi kumshinda Freeman Aikali Mbowe kwa namna yoyote ile, hususan chadema inapoelekea kwenye uchaguzi wa ngazi ya taifa Jan.21.2025.

Hawezi kumshinda kwa kura za wajumbe, kwasababu hana wajumbe wengi wanaomuunga mkono ukilinganisha na wale wengi zaidi wanaomuunga mkkono Mbowe. Lisu hawezi kumshinda Mbowe kwa hoja ispokua manung"uniko, kelele, mdomo na tuhuma za kubuni tu, Lakini pia Lisu hawezi kumshinda mbowe kwa uzoefu, mipango na maarifa katika uongozi ndani ya chadema, kwasababu Lisu yeye muda mwingi hutumia kula raha na mabwenyenye ya magharibi yanayomfadhili yeye na familia yake huko ughaibuni.

Lisu hawezi kumshinda Mbowe kwa fedha wala mali, kwasababu Lisu hana pesa, hana kazi wala biashara zaidi ya kuishi kwa kuomba omba kuchangiwa na wananchi pesa za kujikimu. Lisu hawezi kumshinda Mbowe kwasababu, hana mipango mikakati ya ushindi wala hana sera mpya wala mawazo mapya zaidi ya tuhuma tu, Lisu hawezi kumshinda Mbowe kwasababu haaminiki kabisa ndani ya chadema ispokua mitandaoni tu, Lisu hakubaliki na hana ushawishi wala haeleweki vyema kwa wajumbe wa mkutano mkuu wa chadema Taifa, kutokana na uzalendo wake kughubukwa na mashaka na utata mwingi sana, kwamfano haijulikani bayana anaishi wapi kwasasa, ulaya au africa? na ofisi ya chadema itahamishiwa ulaya au itabaki Africa?

Kubwa zaidi anaonekana kama kuwadi wa ukoloni mambo leo ambae anafanya kazi kwa niaba ya watu wa magharibi wenye nia ovu na tamaa ya rasilimali za Tanzania kwa manufaa yao, familia zao na mataifa yao.

kwa kifupi,
nawashauri wanaoendelea kuwekeza fedha, mali, nguvu, imani na matumaini yao kwa huyu kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi kwamba ni ndoto za alinacha kumshinda Freeman Aikael Mbowe, statesman na mwamba wa kaskazini. mnapoteza muda wenu tu:NoGodNo:

Mungu Ibariki Tanzania.
Endeleeni kuchechemea bongo zenu
 
Huyo ni kama mwananchi anayeombewa njaa na kola,ila anaambulia neema tena katika mazingira magumu na yasiyotarajiwa na awamu hii ni ubigwa kwa wananchi na bingwa kuwa bingwa,kolo mtanuna sana.Chinjio la kwa mkapa halitaacha kitu hadi mifupa wananchi tutafuta.
gentleman,
kwamba eti MC Algers atachomoka mbele ya Dar Es Salaam Young Afrca pale Lupaso kwa Mkapa Jan.18.2025?

halafu eti kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi afurukute mbele ya mwamba wa kaskazini pale mlimani city Jan.21.2025? :pedroP:

thubutu wewe:pedroP:
 
Back
Top Bottom