Tundu Lissu hawezi kumshinda Freeman Mbowe kwa chochote na kwa vyovyote vile atafedheheka sana hususani kwenye uchaguzi wa CHADEMA taifa Januari 21

Tundu Lissu hawezi kumshinda Freeman Mbowe kwa chochote na kwa vyovyote vile atafedheheka sana hususani kwenye uchaguzi wa CHADEMA taifa Januari 21

nimekupa muongozo wa uhakika na maelezo ya kina juu ya matokeo ya uchaguzi wa chadema taifa, gentleman,

relax na huna haja ya kubabaika :pedroP:
sina uhakika na uchambuzi wako, unashindwa kusoma upepo wa siasa za chadema kuelekea uchaguzi wao
 
Tumekuelewa mheshimiwa mbowe, nadhani ulitakiwa kuleta hoja ya kwanini tukupe chama kwa awamu nyingine, mipango yako ni ipi, kwanini chadema inapoteza mvuto kila uchwao,kwanini wewe na sio tundulisu! Lete hoja mezani kwa wanachadema na sio hizo bla bla!
labda wewe tundu lisu ndio unapoteza mvuto,
huenda ni kwasababu ya uropokaji, kuombaomba kuchangiwa, makelele na mdomo ambao wanachadema wamekuchoka:pedroP:
 
Alafu hii nguruwe iko waiting list ya ukuu wa wilaya

Nchi imeharibiwa sana aisee
nguruwe ni miongoni mwa sehemu ya aina ya mifugo ninaofuga gentleman, so nguruwe ni uchumi kwangu...

na ninawaleteaga hapo dar es salamu nguruwe zaid ya 20 kila alhamisi kila wiki. Inanipa pesa mingi mno hizo wanyama aise.

na kwasasa bei ni nzuri mno sokoni..

so,
unaweza kufuga hao wanyama na ukaondokana na umasikini na hayo makasiriko yako kabisa gentleman:pedroP:
 
Tutampa Ujumbe wa Kamati Kuu hatunaga kinyongo sisi roho zetu ni nyeupee.

Jabari ni Jabari Mzee, ni vzr lakini kijipima uzito wako, ni jambo jema sana alilofanya Lissu though kuna muda aliteleza matamshi.
 
sina uhakika na uchambuzi wako, unashindwa kusoma upepo wa siasa za chadema kuelekea uchaguzi wao
gentleman,
mimi naeleza matokeo ya taifti halisi mbalimbali sio upepo gentleman?

huo si ushirikina sasa? karne ya sayansi na technolojia unatumia upepo kutathmini matokeo ya uchaguzi?:pedroP:
 
Tutampa Ujumbe wa Kamati Kuu hatunaga kinyongo sisi roho zetu ni nyeupee.

Jabari ni Jabari Mzee, ni vzr lakini kijipima uzito wako, ni jambo jema sana alilofanya Lissu though kuna muda aliteleza matamshi.
za chini chini za uhakika kabisa, kwa sababu zinazodaiwa za kiusalama, ni kwamba endapo kibaraka hatashinda uenyekiti taifa, hatasalia chadema, atajiengua chadema:pulpTRAVOLTA:
 
Tundu lisu anaweza kumshinda mbowe kwa kukataa hela za rushwa

Au Unasemaje chawa wa lumumba?
no,
kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi anamshinda mbowe kwa kuombaomba kuchangiwa mambo mbalimbali ikiwa ni pamoja na pocket money:pedroP:
 
Kwahiyo kwa mama unapiga pesa na chadema unapiga pesa kwa kumuombea M7 mbowe ashinde?
Kwahiyo ndiomana unajizima data kumpigania mbowe abaki aendelee kutafuna ruzuku na kikoba chake cha urithi?? 🤣😹
mim si mpiganii mtu yeyote mtumishi,

nina kazi na majukumu mengi mazito ya kitaifa, ya wananchi na kifamilia na kwahivyo sina muda, nafasi wala haja ya kumpambania yoyote kwa chochote chadema,

mimi ni mtaalamu na mdau wa siasa,
najaribu tu kueleza na kufafanua hali halisi ya siasa ndani ya chadema kwa faida ya wadau wa siasa humu jukwaani, na kuongeza uelewa na ufahamu wa kisayasi katika siasa unavyofanya kaz kwa ambao wangependa kujifunza siasa zaidi:pedroP:
 
huamini kama lissu atashinda
Ushindi wa uchaguzi 21 Jan 2025 ni numbers:
Idadi ya Wajumbe wenye sifa ya kupiga kura.
Idadi ya wajumbe watakaopiga kura.
Idadi ya wajumbe watakaompigia Lissu.
Idadi ya wajumbe watakaompigia Mbowe.
Idadi ya kura za wajumbe wasiounga yeyote.
Idadi ya kura zilizoharibika.
Hakuna kura ya washabeki.
Hakuna kura ya mitandao.
Hakuna kura diaspora.
Hakuna kura ya wanaharakati.
Hakuna kura ya bodaboda.
Hakuna kura ya wana CCM
Hakuna kura vyama vya upinzani isipokuwa Chadema.
Hakuna kura ya viongozi wa dini.
 
Lissu allitaka kujipa umaarufu tu, ni sawa na Mandonga kuomba mechi na Mwakinyo.
 
Ushindi wa uchaguzi 21 Jan 2025 ni numbers:
Idadi ya Wajumbe wenye sifa ya kupiga kura.
Idadi ya wajumbe watakaopiga kura.
Idadi ya wajumbe watakaompigia Lissu.
Idadi ya wajumbe watakaompigia Mbowe.
Idadi ya kura za wajumbe wasiounga yeyote.
Idadi ya kura zilizoharibika.
Hakuna kura ya washabeki.
Hakuna kura ya mitandao.
Hakuna kura diaspora.
Hakuna kura ya wanaharakati.
Hakuna kura ya bodaboda.
Hakuna kura ya wana CCM
Hakuna kura vyama vya upinzani isipokuwa Chadema.
Hakuna kura ya viongozi wa dini.
Let's wait and see
 
Back
Top Bottom