Tundu Lissu hawezi kumshinda Freeman Mbowe kwa chochote na kwa vyovyote vile atafedheheka sana hususani kwenye uchaguzi wa CHADEMA taifa Januari 21

Innanikumbusha yule CDF wa Iraq miaka ile alisema majeshi ya US yamedhibitiwa nspa yana hali mbaya Kusini mwa Bagdad watu wakamshangiliaaaa!! Kumbe asemacho na ukweli tofauti
wafafanulie wadau kwa kina kifupi kidogo gentleman
 
Utueleze Mama yetu viongozi wako wa CCM wanabiashara gani? Pesa wamepata wapi. Ongelea sera za CCM mapenzi na Mbowe yametoka wapi?
zingatia hoja na uchukue hizo pointi zitakusaidia sana baadae gentleman?
 
Makamu Mwenyekiti Mbogamboga vipiii πŸ˜‚
ni vizuri uwaandikie wadau wa JF hoja mahusus gentleman na itapendeza zaidi,

jambo la maana zaidi ni kuzingatia na kuhifadhi hizo ponti za maana sana, itakusaidi baadae for reference
 
mambo haya ni rahisi sana,
pesa ni ya kutafuta kwa bidii sana, na kura ni ya kutafuta kwa mipango, akili na fedha mingi mtumishi
Kwahiyo kwa mama unapiga pesa na chadema unapiga pesa kwa kumuombea M7 mbowe ashinde?
 
Kwahiyo kwa mama unapiga pesa na chadema unapiga pesa kwa kumuombea M7 mbowe ashinde?
hakuna suala la mama wala baba kwenye mambo haya sirious ya kitaifa, na yasio hitaji mzaha wala kutegea mtumishi...

hakunaga huruma,
wala kuona haya pale unapokua na mipango ya kushinda uchaguzi.

makelele na mdomo humalizwa kwenye sanduku la kura kirahisi sana aise, na mbowe kuibuka kidedea
 
huamini kama lissu atashinda
amini na kumtumaini Mungu pekee gentleman,

huo ushirikina mwingine utakufedhehesha na kukusononesha tu Jan.21.2025 pale mlimani city
 
Labda Mchngerwa asimamie uchaguzi huo! Vinginevyo Mercenary wa Chama chenu ajiandae kisaikolojia.
 
hakunaga huruma,
wala kuona haya pale unapokua na mipango ya kushinda uchaguzi.
Kwahiyo ndiomana unajizima data kumpigania mbowe abaki aendelee kutafuna ruzuku na kikoba chake cha urithi?? 🀣😹
 

View: https://x.com/MwananchiNews/status/1878804477098315891?t=AhsIKdQtM2jsREegsPIvwQ&s=19
 
Tundu lisu anaweza kumshinda mbowe kwa kukataa hela za rushwa

Au Unasemaje chawa wa lumumba?
 
tunza uzi wako usibadili id
nimekupa muongozo wa uhakika na maelezo ya kina juu ya matokeo ya uchaguzi wa chadema taifa, gentleman,

relax na huna haja ya kubabaika
 
Tumekuelewa mheshimiwa mbowe, nadhani ulitakiwa kuleta hoja ya kwanini tukupe chama kwa awamu nyingine, mipango yako ni ipi, kwanini chadema inapoteza mvuto kila uchwao,kwanini wewe na sio tundulisu! Lete hoja mezani kwa wanachadema na sio hizo bla bla!
 
Aksante kwa UHARO NA MATAPISHI YAKO.

fact ni kwamba 2025 Rais Mwanaume, Mkristu Mkatoliki.πŸ€”πŸ€”πŸ€”πŸ€”πŸš΄πŸš΄πŸ€”πŸ€”
 
Labda Mchngerwa asimamie uchaguzi huo! Vinginevyo Mercenary wa Chama chenu ajiandae kisaikolojia.
I can confirm to you my friends, ladies and gentleman,
without fear of contradictions that, the European puppet can not win chadema chairmanship position. full stop.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…