Tundu Lissu hawezi kumshinda Freeman Mbowe kwa chochote na kwa vyovyote vile atafedheheka sana hususani kwenye uchaguzi wa CHADEMA taifa Januari 21

gentleman,
mimi naeleza matokeo ya taifti halisi mbalimbali sio upepo gentleman?

huo si ushirikina sasa? karne ya sayansi na technolojia unatumia upepo kutathmini matokeo ya uchaguzi?
unajua maana ya upepo? Mwandishi gani usiyejua istilahi za maneno?
 
all in all ushindi ni kwa lissu
 
unajua maana ya upepo? Mwandishi gani usiyejua istilahi za maneno?
umeamua kuhamishia magoli kuelekea kwenye taaluma sasa ticha? hutaki tena kusikia habari za ushindi wa bowe?

walimu bana da!

hata mimi ni mkufunzi gentleman ila sio wa silabi na istilahi
 
Wewe ni mmoja kati wajinga wanaojaza hii nchi and you are a useless idiot. Mungu chukua hili lishetani haraka lichome Moto liteketee kabisa
 
Wewe ni mmoja kati wajinga wanaojaza hii nchi and you are a useless idiot. Mungu chukua hili lishetani haraka lichome Moto liteketee kabisa
relax basi mwana wa Mungu usi na chembe ya mihemko
 
labda kwa upepo right?
umewahi kuchambua vitabu ujue lugha zinazotumiwa na watunzi wa vitabu? Ukiambiwa mwanasiasa fulani anapumulia mashine jimboni mwake unadhani ni mgonjwa na yuko ICU hospitalini?
 
Unaambia simiyu yawa mkoa wa 17 kumuunga lissu mkono, sawa na 55%
upepo ndio unavyo vuma siyo gentleman kadiri ya ramli zenu?

kuhusu votes numbers mganga anasemaje?
 
Chacha jiandae anakushindeni nyote ,wewe yeye na hata wanambogamboga woooteee
 
sawa mganga mpiga ramli
Huyo ni kama mwananchi anayeombewa njaa na kola,ila anaambulia neema tena katika mazingira magumu na yasiyotarajiwa na awamu hii ni ubigwa kwa wananchi na bingwa kuwa bingwa,kolo mtanuna sana.Chinjio la kwa mkapa halitaacha kitu hadi mifupa wananchi tutafuta.
 
Endeleeni kuchechemea bongo zenu
 
gentleman,
kwamba eti MC Algers atachomoka mbele ya Dar Es Salaam Young Afrca pale Lupaso kwa Mkapa Jan.18.2025?

halafu eti kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi afurukute mbele ya mwamba wa kaskazini pale mlimani city Jan.21.2025?

thubutu wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…