Bia yetu
JF-Expert Member
- Apr 14, 2020
- 6,921
- 8,321
Usimfananishe Rais Magufuli na huyo mropkaji wenu na msaliti wa Nchi
Mwaka huu tunawafundisha adabu Chadema kuwa usaliti kwa Nchi ni laana kwa Taifa
Mwaka huu tunawafundisha adabu Chadema kuwa usaliti kwa Nchi ni laana kwa Taifa
Msaliti magufuli atapigiwa kura na wewe kibaraka wake