Bekabundime
JF-Expert Member
- Aug 6, 2014
- 2,017
- 1,733
Kipi special alichokuwa nacho huyo Jiwe zaidi ya masifa na kutisha watu tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu,huyo ni "lubricant" ya -me wa Lumumba, hawezi ndoa kwani kashazoeshwa kulainisha vyuma tofauti tofauti,kwa mujibu wa yule kiongozi wao muuza ndizi toka jalalani.Jane nataka ni kuoe ili uwe bize kulea familia
Nduli Idd Amin leo yuko wapi? Zama zake zimefikia ukingoni.Lini ulifanya kikao na Mungu akakuambia kamkataa Magufuli? Au unaongelea mungu Mbowe?
Ameshakufanyia kitu gani maishani mwako?Hayo ni maoni na mapenzi yako ila sisi kiongozi wetu ni Lissu kwasababu .
1. Anajali utu na haki za binadamu
2. Maendeleo ya watu
3. Upendo na usawa kwa wote
Kwani ni vibaya kuongea na Mungu wa Mbowe?Lini ulifanya kikao na Mungu akakuambia kamkataa Magufuli? Au unaongelea mungu Mbowe?
Hakuna mtu wa visasi, chuki na ushenzi kama jiwe.Chuki fitina na visasi. Lissu nimtu wa visasi na chuki. Ndiyo maana anatumia jambo lake binafsi la kuumizwa kama vita ya Watanzania wote. Lazima tufahamu kuwa siyo wote wanapenda tabia hii maana ukweli wa tukio lile yeye ni shahidi namba moja ndiyo maana hadi leo hataki Dereva wake aonekane hadharani.
Lissu anajinadi na taaluma ya sheria Siku zote yu mustafi wa mbele kuvunja sheria . Hata kwenye mchakato wa kampeni ndiye mgombea anayeongoja kwa kuvunja sheria na kusikia kufungiwa siku 7. Unaweza kujiuliza kwa uvunjivu wake wa sheria, fujo na chini wake angekuwa ndiye Yukon kwenye nafasi ya Rais Magufuli hali ingekuwaje, angefanya kila anachokitaka. Si mtu wa kumwamini hata kidogo kwa pongezi wa taifa. Nimeona hata ukuu wa Wilaya anapwaya. Mhe Rais Magufuli atapataugumu sana kumpa kazi anayoiweza atakapokuja kumlilia ampe kaziHii ni kwasababu kwanza bado hajajua achague kipi kati ya kuendelea kuwa Mwanaharakati au Kujiandaa kuwa Kiongozi. Hali hii imemfanya afanye harakati sana hata anapokuwa kiongozi. Nivyema akabaki kuwa Mwanaharakati tu kwasababu huwezi kuwa Mwanaharakati halafu kiongozi hakuna kabisa kwenye ulimwengu wa siasa.
Hana rekodi yoyote ya Uongozi Bora. Lissu amekuwa mpambanaji kwa muda wote na siyo kiongozi. Sifa ya Mpambanaji anaweza kuambania hata yasiyo ya msingi au yale yalomsingi. Lissu kwa muda mrefu kazi yake kubwa ni kuambania hata ujinga tu ilimradi yeye unamfaa. Kuna wakati alipewa nafasi ya kuwa Kiongozi wa ngazi ya Juu wa TLS chama cha Wanasheria Tanzania lakini hakuna alichofanya au kuifanyia taasisi hiyo zaidi akajaribu kukigeuza kuwa chombo cha kiharakati japo hakufanikiwa.
Alishavuliwa uenyekiti wa kanda ya Kati yenye mikoa ya Singida, Morogoro na Dodoma (CHADEMA )baada ya kanda hizo kushindwa kufanya vizuri kwenye uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliofanyika Mwaka 2014. Mbowe alimvua Lissu mbele ya Wajumbe wengi kwasababu ya kushindwa Uongozi. Mtu aliyeshindwa kuongoza mikoa mitatu yenye wanachama laki moja jumla yake tena kwa ngazi ya Chama kidogo cha siasa siyokweli kama anaweza kuongoza Taifa kumwa lenye watu zaidi ya Milioni 50.
Chuki fitina na visasi. Lissu nimtu wa visasi na chuki. Ndiyo maana anatumia jambo lake binafsi la kuumizwa kama vita ya Watanzania wote. Lazima tufahamu kuwa siyo wote wanapenda tabia hii maana ukweli wa tukio lile yeye ni shahidi namba moja ndiyo maana hadi leo hataki Dereva wake aonekane hadharani.
Mvunjaji mkubwa wa sheria. Lissu ni muumini wa kufanya mambo bora liende tu na siyo mtu makini. Mfano mzuri ni hiki kipindi cha kampeni za uchaguzi. Kaamua kuvinja sheria makusudi tena alizozisaini yeye mwenyewe,hatimaye kawekwa kifungoni kwa siku 7. Kwa mtu makini hawezi kufanya utoto huu kwani angepaswa kujua ukubwa wa Nchi na muda wa kufanya kampeni.
Lissu aendelee kuwa Mwanaharakati na siyo kiongozi.
Hayo ni maoni na mapenzi yako ila sisi kiongozi wetu ni Lissu kwasababu .
1. Anajali utu na haki za binadamu
2. Maendeleo ya watu
3. Upendo na usawa kwa wote
Huo uongo umeutoa wapi?Kuna ushahidi wowote kama yeye anajali? katika harakati zake ambazo kazi ilikuwa kukusanya misaada kwa jina au migongo ya wanyonge amewa kusadia wanyonge wangapi? Hebu tutajie amewa kusimamia kesi ngapi za "pro bono" (bila kulipwa) kwa maskini wenye kesi ambao hawawezi kumuajiri mwanasheria? Yeye siku zote ilikuwa ni kushirikiana na Mbowe kula ruzuku ya CHADEMA kwa kusimamia kesi za CHADEMA na kupata super payment kwa pesa ya walipa kodi. MNADHANI HATUJUI PACT YA LISSU na MBOWE?
Nani aliyempiga Risasi?Hii ni kwasababu kwanza bado hajajua achague kipi kati ya kuendelea kuwa Mwanaharakati au Kujiandaa kuwa Kiongozi. Hali hii imemfanya afanye harakati sana hata anapokuwa kiongozi. Nivyema akabaki kuwa Mwanaharakati tu kwasababu huwezi kuwa Mwanaharakati halafu kiongozi hakuna kabisa kwenye ulimwengu wa siasa.
Hana rekodi yoyote ya Uongozi Bora. Lissu amekuwa mpambanaji kwa muda wote na siyo kiongozi. Sifa ya Mpambanaji anaweza kuambania hata yasiyo ya msingi au yale yalomsingi. Lissu kwa muda mrefu kazi yake kubwa ni kuambania hata ujinga tu ilimradi yeye unamfaa. Kuna wakati alipewa nafasi ya kuwa Kiongozi wa ngazi ya Juu wa TLS chama cha Wanasheria Tanzania lakini hakuna alichofanya au kuifanyia taasisi hiyo zaidi akajaribu kukigeuza kuwa chombo cha kiharakati japo hakufanikiwa.
Alishavuliwa uenyekiti wa kanda ya Kati yenye mikoa ya Singida, Morogoro na Dodoma (CHADEMA )baada ya kanda hizo kushindwa kufanya vizuri kwenye uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliofanyika Mwaka 2014. Mbowe alimvua Lissu mbele ya Wajumbe wengi kwasababu ya kushindwa Uongozi. Mtu aliyeshindwa kuongoza mikoa mitatu yenye wanachama laki moja jumla yake tena kwa ngazi ya Chama kidogo cha siasa siyokweli kama anaweza kuongoza Taifa kumwa lenye watu zaidi ya Milioni 50.
Chuki fitina na visasi. Lissu nimtu wa visasi na chuki. Ndiyo maana anatumia jambo lake binafsi la kuumizwa kama vita ya Watanzania wote. Lazima tufahamu kuwa siyo wote wanapenda tabia hii maana ukweli wa tukio lile yeye ni shahidi namba moja ndiyo maana hadi leo hataki Dereva wake aonekane hadharani.
Mvunjaji mkubwa wa sheria. Lissu ni muumini wa kufanya mambo bora liende tu na siyo mtu makini. Mfano mzuri ni hiki kipindi cha kampeni za uchaguzi. Kaamua kuvinja sheria makusudi tena alizozisaini yeye mwenyewe,hatimaye kawekwa kifungoni kwa siku 7. Kwa mtu makini hawezi kufanya utoto huu kwani angepaswa kujua ukubwa wa Nchi na muda wa kufanya kampeni.
Lissu aendelee kuwa Mwanaharakati na siyo kiongozi.
ni kwasababu kwanza bado hajajua achague kipi kati ya kuendelea kuwa Mwanaharakati au Kujiandaa kuwa Kiongozi. Hali hii imemfanya afanye harakati sana hata anapokuwa kiongozi. Nivyema akabaki kuwa Mwanaharakati tu kwasababu huwezi kuwa Mwanaharakati halafu kiongozi hakuna kabisa kwenye ulimwengu wa siasa.
Hana rekodi yoyote ya Uongozi Bora. Lissu amekuwa mpambanaji kwa muda wote na siyo kiongozi. Sifa ya Mpambanaji anaweza kuambania hata yasiyo ya msingi au yale yalomsingi. Lissu kwa muda mrefu kazi yake kubwa ni kuambania hata ujinga tu ilimradi yeye unamfaa. Kuna wakati alipewa nafasi ya kuwa Kiongozi wa ngazi ya Juu wa TLS chama cha Wanasheria Tanzania lakini hakuna alichofanya au kuifanyia taasisi hiyo zaidi akajaribu kukigeuza kuwa chombo cha kiharakati japo hakufanikiwa.
Alishavuliwa uenyekiti wa kanda ya Kati yenye mikoa ya Singida, Morogoro na Dodoma (CHADEMA )baada ya kanda hizo kushindwa kufanya vizuri kwenye uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliofanyika Mwaka 2014. Mbowe alimvua Lissu mbele ya Wajumbe wengi kwasababu ya kushindwa Uongozi. Mtu aliyeshindwa kuongoza mikoa mitatu yenye wanachama laki moja jumla yake tena kwa ngazi ya Chama kidogo cha siasa siyokweli kama anaweza kuongoza Taifa kumwa lenye watu zaidi ya Milioni 50.
Chuki fitina na visasi. Lissu nimtu wa visasi na chuki. Ndiyo maana anatumia jambo lake binafsi la kuumizwa kama vita ya Watanzania wote. Lazima tufahamu kuwa siyo wote wanapenda tabia hii maana ukweli wa tukio lile yeye ni shahidi namba moja ndiyo maana hadi leo hataki Dereva wake aonekane hadharani.
Mvunjaji mkubwa wa sheria. Lissu ni muumini wa kufanya mambo bora liende tu na siyo mtu makini. Mfano mzuri ni hiki kipindi cha kampeni za uchaguzi. Kaamua kuvinja sheria makusudi tena alizozisaini yeye mwenyewe,hatimaye kawekwa kifungoni kwa siku 7. Kwa mtu makini hawezi kufanya utoto huu kwani angepaswa kujua ukubwa wa Nchi na muda wa kufanya kampeni.
Lissu aendelee kuwa Mwanaharakati na siyo kiongozi.
Hivi wewe mchumia tumbo ulienda kumalizia Diploma yako kule Udom?Hii ni kwasababu kwanza bado hajajua achague kipi kati ya kuendelea kuwa Mwanaharakati au Kujiandaa kuwa Kiongozi. Hali hii imemfanya afanye harakati sana hata anapokuwa kiongozi. Nivyema akabaki kuwa Mwanaharakati tu kwasababu huwezi kuwa Mwanaharakati halafu kiongozi hakuna kabisa kwenye ulimwengu wa siasa.
Hana rekodi yoyote ya Uongozi Bora. Lissu amekuwa mpambanaji kwa muda wote na siyo kiongozi. Sifa ya Mpambanaji anaweza kuambania hata yasiyo ya msingi au yale yalomsingi. Lissu kwa muda mrefu kazi yake kubwa ni kuambania hata ujinga tu ilimradi yeye unamfaa. Kuna wakati alipewa nafasi ya kuwa Kiongozi wa ngazi ya Juu wa TLS chama cha Wanasheria Tanzania lakini hakuna alichofanya au kuifanyia taasisi hiyo zaidi akajaribu kukigeuza kuwa chombo cha kiharakati japo hakufanikiwa.
Alishavuliwa uenyekiti wa kanda ya Kati yenye mikoa ya Singida, Morogoro na Dodoma (CHADEMA )baada ya kanda hizo kushindwa kufanya vizuri kwenye uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliofanyika Mwaka 2014. Mbowe alimvua Lissu mbele ya Wajumbe wengi kwasababu ya kushindwa Uongozi. Mtu aliyeshindwa kuongoza mikoa mitatu yenye wanachama laki moja jumla yake tena kwa ngazi ya Chama kidogo cha siasa siyokweli kama anaweza kuongoza Taifa kumwa lenye watu zaidi ya Milioni 50.
Chuki fitina na visasi. Lissu nimtu wa visasi na chuki. Ndiyo maana anatumia jambo lake binafsi la kuumizwa kama vita ya Watanzania wote. Lazima tufahamu kuwa siyo wote wanapenda tabia hii maana ukweli wa tukio lile yeye ni shahidi namba moja ndiyo maana hadi leo hataki Dereva wake aonekane hadharani.
Mvunjaji mkubwa wa sheria. Lissu ni muumini wa kufanya mambo bora liende tu na siyo mtu makini. Mfano mzuri ni hiki kipindi cha kampeni za uchaguzi. Kaamua kuvinja sheria makusudi tena alizozisaini yeye mwenyewe,hatimaye kawekwa kifungoni kwa siku 7. Kwa mtu makini hawezi kufanya utoto huu kwani angepaswa kujua ukubwa wa Nchi na muda wa kufanya kampeni.
Lissu aendelee kuwa Mwanaharakati na siyo kiongozi.
Sifa za chama kilichomsimamishaHayo ni maoni na mapenzi yako ila sisi kiongozi wetu ni Lissu kwasababu .
1. Anajali utu na haki za binadamu
2. Maendeleo ya watu
3. Upendo na usawa kwa wote
Unateseka sana hizo ni propaganda ambazo hazingi kichwani kwamba Mbowe awabandue wagombea waubunge wapatao 61 + vitimaalumSifa za chama kilichomsimamisha
1.Chama cha mfukoni, chenye hatimiliki ya mtu mmoja, kila kitu kwenye chama ni chake mpaka watu waume kwa wake.
2.Chama chenye kuleta maendeleo ya mwenyekiti, na wapambe wake wachache. Chama kilicho tayari kujiuza kwa mabeberu ili wapate fadhila. Kuuza nchi hawa ni dakika 0, maana hawana cha kupoteza.
3.Chadema unapendwa ukiwa na kitu, kama huna kitu hasa wadada wanaotaka uongozi lazima wauze Utu wao kwa viongozi wa chama hasa mwenyekiti. Ni genge la wachumia tumbo, ambao huamini kuwa mwenyekiti ndiye Malaika hakosei. Mpinge yakupate ya kina
Wangwe, Zitto. Kwa uchu wa madaraka wapo tayari kuua.
WATANZANIA,28oct tuwape kichapo cha uhakika.
Sifa za chama kilichomsimamisha
1.Chama cha mfukoni, chenye hatimiliki ya mtu mmoja, kila kitu kwenye chama ni chake mpaka watu waume kwa wake.
2.Chama chenye kuleta maendeleo ya mwenyekiti, na wapambe wake wachache. Chama kilicho tayari kujiuza kwa mabeberu ili wapate fadhila. Kuuza nchi hawa ni dakika 0, maana hawana cha kupoteza.
3.Chadema unapendwa ukiwa na kitu, kama huna kitu hasa wadada wanaotaka uongozi lazima wauze Utu wao kwa viongozi wa chama hasa mwenyekiti. Ni genge la wachumia tumbo, ambao huamini kuwa mwenyekiti ndiye Malaika hakosei. Mpinge yakupate ya kina
Wangwe, Zitto. Kwa uchu wa madaraka wapo tayari kuua.
WATANZANIA,28oct tuwape kichapo cha uhakika.
Lissu hawezi kupata hata asilimia 20 ya kura za urais..Hakuwahi kumtukatana profesa wala kuitukana kamati ya profesa Bali aliipuuza report ya profesa kwa kuiita "professoric rabish" ikiwa na maana kuwa wale maprofesa wametumia uprofesa wao kuidanganya na kuigeuza nchi kuwa ya kipumbavu