Uchaguzi 2020 Tundu Lissu hawezi kuwa Rais kwasababu hizi

UJUHA wako mwisho lumumba siyo humu. Tuondolee UPUUZI wako!
The beloved son has came early after his shift. Khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 

Unatumia muda wote huo kuongea huo ujinga hivi mvinjaji wa sheria si huyo ambaye hafuati hata kanuni za uchaguzi
 
Andishi refu lakini pumba tu
 
Urais wa Vibendera labda na sio Rais Wa Tanzania Never
Tanzania ipi unaisemea? Maana Tanzania ya sasa hawataki kutumia Polisiccm mahakamaccm kuwabambikia kesi kesi wapinzani
 
Unatumia muda wote huo kuongea huo ujinga hivi mvinjaji wa sheria si huyo ambaye hafuati hata kanuni za uchaguzi
Mtukufu magufuli saa 24 huwaza jinsi ya kuwatengenezea kesi kesi chadema hawazi maendeleo
 
CCM ndipo kuna zidumu fikra zisizo sahihi za mtukufu mwenyekiti wa CCM hata akiwaza Wanawake weupe ndiyo raia halali wa Tanzania, wanawake weusi wataambiwa ni Raia wa Sudan kusini watadaiwa viza na Uhamiajiccm, CCM hakuna uhuru ukimkosoa mtukufu magufuli anakutumbua anakufukuza, watanzania wa wapi unawasemea tarehe 28? au watanzania wa ukoo wa polepole na nyumbani kwako? Hakuna Mtanzania mwenye Akili timamu ataipigia CCM kura
 
CCM bila uchakachuaji bila wizi wa kura bila Polisiccm bila Tumeccm bila mahakamaccm bila wakurugenziccm bila Msajiliccm ni weupe sana
 
Mataga kaeni kwa kutulia mtarimbo umewaganda na mnavyojitikisa ndiyo mnazidi kujitonesha mshono.
 
Nchi ina miaka 59 hakuna maendeleo licha ya kuwa na rasilimali nyingi kuliko mataifa mengi Duniani, pesa za viwanda za maendeleo za walipa kodi inatumika kwa mambo yasiyo na tija kwa Taifa kuwabambikia kesi kuwapiga risasi wapinzani kudidimiza demokrasia kudhoofisha kuihujumu chadema kwa gharama kubwa, kama siyo CCM mda huu Tanzania ingekuwa ni Nchi tajiri kuliko America German China Oman na mataifa yote tajiri, chini ya CCM deni la Taifa linazidi kupanda kila kukicha huku uonevu unyanyasaji mwingi ukizidi kushamiri, mungu tuonee huruma tuondelee ushetani wa CCM Nchi ipate kupiga hatua kimaendeleo
 
Mwakibinga utakua mundali wewe.hakuna mnyakyusa mjinga Kama wewe
 
Hata asipopewa na tume ila kimoyomoyo ndio presdaa halisi wa wanyonge
 
Wagombea wa ccm huwa wanatuambia Tuache Kutegemea Kuajiriwa Na Serikali, Tujitegemee Na Tujiajiri Wenyewe!! Wakati Wao Wanatuomba Kura Ili Tuwape Ajira Waajiriwe Na wananchi.

TUSAIDIANE MAWAZO HAPA VIJANA WENZANGU, HAPA WATU ZIMO KWELI VICHWANI MWAO ?

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bora Lissu mzawa kuliko Mr I can't reach you..roho imeniuma sana huyu mtu hafai msikitini wala kanisani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…