Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Hii imekuja ghafla sana, wafuasi wa ni yeye hakutuandaa kabisa😀😀[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Crimea ,Otea
2025 Hawa jamaa wanaweza kuja kwa mgongo wa JPM.
"Ni yeye" BUSH BIN LADEN
2015 ulifungwa huo mgodi na wameanza kazi zao tena 2022 baada ya yeye kufarikiMuulize mgodi wa Kabanga walipewa watanzania kipindi chake?
We ndio mpuuzi mafuta ya waganda walikuwa wanauwezo wakupitishia Kenya na Kenya waliitaji sana SS ndio tulienda kuwabembeleza wapitishie kwetu tupate kidogo kafaida Kwa
Mbona yeye amejaza mikataba ya ovyo acheni hilaHawa wabunge tuwape jina la MANGUNGOS wa kizazi kipya!!
Mkataba wa MANGUNGO alivyouza nchi yake huu hapa!! Wabunge wetu wamefanya hivyo hivyo!!
View attachment 2683740
Utabiri wa Ndugai unatimia kwa kasi ya kushangaza!! Alisema nchi inaweza kupigwa mnada!!! Dah!! aliona mbali sana!!Mbona yeye amejaza mikataba ya ovyo acheni hila
Sawa how mnada? Kisa bandari? Sikia tafuteni njia sahihi ya kuingia ikulu lakini sio ujinga wa kupotosha wananchUtabiri wa Ndugai unatimia kwa kasi ya kushangaza!! Alisema nchi inaweza kupigwa mnada!!! Dah!! aliona mbali sana!!
Utakuwa ni mtoto wa MANGUGOS wa kizazi kipya bila shaka!! maana si kwa kujitoa ufahamu kiasi hicho!!Mbona yeye amejaza mikataba ya ovyo acheni hila
Jadili mkataba!! na kwa nini wanataka kupeleka bungeni mswaada wa kurekebisha sheria ili mkataba ulio kinyume na sheria zetu ubebeke vizuri!!! NI aibuuuuu!!!!!Sawa how mnada? Kisa bandari? Sikia tafuteni njia sahihi ya kuingia ikulu lakini sio ujinga wa kupotosha wananch
Aliongopa gesi imeuzwa sio ya kwtu sasaiv gesi hiyo hiyo inaenda kuongeza kipatoUtakuwa ni mtoto wa MANGUGOS wa kizazi kipya bila shaka!! maana si kwa kujitoa ufahamu kiasi hicho!!
Mkuu pitia mkataba na uelewe vyemaJadili mkataba!! na kwa nini wanataka kupeleka bungeni mswaada wa kurekebisha sheria ili mkataba ulio kinyume na sheria zetu ubebeke vizuri!!! NI aibuuuuu!!!!!
Mkataba nimeupitia sana wala si mara moja!! Hautaji ukomo wa mkataba!!, hautaji mwekezaji atawekeza kiasi gani!! hautaji tutapata kiasi gani!! Unazuia kuingia mkataba mwingine wa bandari kama tukipata mwekezaji aliye bora!! Umekiuka sheria za nchi na sasa ujanja ujanja unataka kufanyika ili kufanya mabadiliko ya sheria ili ziendani na mkataba huo wa wizi!! Je una la kusema??Mkuu pitia mkataba na uelewe vyema
Waziri mkuu alitolea ufafanuzi juzi hapa kuwa muda wa mkataba atapewa kama mwekezaji alie maliza muda wakeMkataba nimeupitia sana wala si mara moja!! Hautaji ukomo wa mkataba!!, hautaji mwekezaji atawekeza kiasi gani!! hautaji tutapata kiasi gani!! Unazuia kuingia mkataba mwingine wa bandari kama tukipata mwekezaji aliye bora!! Umekiuka sheria za nchi na sasa ujanja ujanja unataka kufanyika ili kufanya mabadiliko ya sheria ili ziendani na mkataba huo wa wizi!! Je una la kusema??
Udsm wamemtunukia PHD sijui amefanya kipi cha maanaHata kama Tundu lisu hajasema hayo au amesema lkn huo ndio ukweli MAGUFULI kwenye akili za kipumbavu za kubinafsisha rasilimali making za nchi huwezi kumkuta kwenye Upumbavu huo hata kidogo,ndio maana ukiona mtu anabinafsisha kitu sensitive kama BANDARI na umeambiwa ni mpaka huo lzm uwe na mashaka na uraia wa huyo mtu na anachojali ni nn na washabiki wasiojielewa wao wanashangilia tu na hapa haijalishi mtu ana Elimu kiasi gani,na hiyo iko hivyo kwa sababu kuwa na Elimu sio lazima uwe na AKILI.unaweza kuwa Profesa na hiyo ni Elimu yako tu but you can be poor in judgement and reasoning,na hivyo ukabaki ni mshabiki kama washabiki wengine wasiojielewa tu.