Uchaguzi 2020 Tundu Lissu, ilani yako na CHADEMA itahitaji msaada zaidi ya asilimia 90, tutarudi utumwani

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu, ilani yako na CHADEMA itahitaji msaada zaidi ya asilimia 90, tutarudi utumwani

Tatizo lako kubwa hujui hata kodi inalipwa lini,baada ya kujenga na kuanza biashara au wakati wa kujenga kiwanda.

Ukweli ni kuwa baada ya kumaliza ujenzi mwekezaji huruhusiwa kutoa gharama za ujenzi kama gharama kabla ya kodi (tax allowable expenses-investment cost) na ndio maana wengi wenye viwanda vipya hulipa corporate tax ndogo au hawalipi kabisa kwa miaka ya mwanzo ili kurudisha gharama za uwekezaji.
..Kodi ni moja ya vikwazo vinavyo-discourage ujenzi wa viwanda nchini.

..hivyo ni lazima tu-deal na tatizo hilo, na njia mojawapo ni kupunguza kodi hizo.

..nadhani hapa kuna kambi mbili za mitizamo kuhusu kodi. CCM wanaamini ktk kuongeza makusanyo kwa kutoza kodi kubwa. CDM wanaamini ktk kuongeza makusanyo kwa kuwa kodi ndogo na kuchochea watu wengi zaidi kuingia ktk biashara na uwekezaji.
 
..Kodi ni moja ya vikwazo vinavyo-discourage ujenzi wa viwanda nchini.

..hivyo ni lazima tu-deal na tatizo hilo, na njia mojawapo ni kupunguza kodi hizo.

..nadhani hapa kuna kambi mbili za mitizamo kuhusu kodi. CCM wanaamini ktk kuongeza makusanyo kwa kutoza kodi kubwa. CDM wanaamini ktk kuongeza makusanyo kwa kuwa kodi ndogo na kuchochea watu wengi zaidi kuingia ktk biashara na uwekezaji.
Umeisoma vizuri ilani ya CHADEMA? sehemu gani inazungumzia ujenzi wa viwanda? sikumsikia jana akizungumzia ujenzi wa viwanda tofauti na kuingiza bidhaa nchini kutoka nje ili watu wasiende kununua tena Uganda, sisi tunajenga uchumi shindani tukauze bidhaa nje tukuze pato la nje yeye anaahidi kufuta ushuru wa bidhaa za nje ili tutumie fedha za kigeni kuziingiza kwa wingi, afisa masoko wa mabeberu huyo.
 
Masisiem yanahangaika kweli kweli,pesa iko nyingi sana ,hizo pesa za kununulia ndege zitafanya hiyo kazi cdm hatuna ujinga wa kununua mandege yasiyomsaidia mwananchi,pesa za ruzuku kuendeshea shirika la ndege zitatekeleza sera ,pesa zinazopelekwa kwenye ma sgr na stiglaz zitatumika haku cdm hakuna mjinga wa kutenga 2/3 ya bajeti ya wizara au 1/3 ya bajeti kuu kutekelea miradi 2 huu ujinga wanaweza ufanya ccm tu..
Kwa hiyo mtoa post chagua cdm ,haki,maendeleo na ustawi achana na sera za kijima za ccm jana eti tutanunua ndege 5 sijui viwanja vya mpira mara uchumi 8% wakati kaushusha kutoka 7% to 5%
 
Yaani Lissu anaongea vituko tu,amekariri sheria tu mambo ya uchumi hakuna kitu.
Humu ndio anashabikiwa mno pengine hakuna kitu.
Wananchi sio wajinga.
Magufuli ameweza my friend,so acha aendelee na drama.
 
Hao wenyewe ni washangiliaji,hawasikilizi kuelewa.
Umeisoma vizuri ilani ya CHADEMA? sehemu gani inazungumzia ujenzi wa viwanda? sikumsikia jana akizungumzia ujenzi wa viwanda tofauti na kuingiza bidhaa nchini kutoka nje ili watu wasiende kununua tena Uganda, sisi tunajenga uchumi shindani tukauze bidhaa nje tukuze pato la nje yeye anaahidi kufuta ushuru wa bidhaa za nje ili tutumie fedha za kigeni kuziingiza kwa wingi, afisa masoko wa mabeberu huyo.
 
Chanzo kikuu cha pesa za serikali ni kodi;Tundu Lissu kasema anafuta ili wafanyabiashara wawe na hela kuliko serikali
Masisiem yanahangaika kweli kweli,pesa iko nyingi sana ,hizo pesa za kununulia ndege zitafanya hiyo kazi cdm hatuna ujinga wa kununua mandege yasiyomsaidia mwananchi,pesa za ruzuku kuendeshea shirika la ndege zitatekeleza sera ,pesa zinazopelekwa kwenye ma sgr na stiglaz zitatumika haku cdm hakuna mjinga wa kutenga 2/3 ya bajeti ya wizara au 1/3 ya bajeti kuu kutekelea miradi 2 huu ujinga wanaweza ufanya ccm tu..
Kwa hiyo mtoa post chagua cdm ,haki,maendeleo na ustawi achana na sera za kijima za ccm jana eti tutanunua ndege 5 sijui viwanja vya mpira mara uchumi 8% wakati kaushusha kutoka 7% to 5%
 
Tatizo lako kubwa hujui hata kodi inalipwa lini,baada ya kujenga na kuanza biashara au wakati wa kujenga kiwanda.

Ukweli ni kuwa baada ya kumaliza ujenzi mwekezaji huruhusiwa kutoa gharama za ujenzi kama gharama kabla ya kodi (tax allowable expenses-investment cost) na ndio maana wengi wenye viwanda vipya hulipa corporate tax ndogo au hawalipi kabisa kwa miaka ya mwanzo ili kurudisha gharama za uwekezaji.

..uko kisiasa-siasa zaidi.

..wawekezaji huzingatia masuala yote ya kikodi kabla ya kuchukua maamuzi ya kuwekeza ktk eneo husika.
 
Ingetoka wapi wakati hakusanyi kodi? kasema kodi atazifuta, hata za wafanyabiashara anazodai ziko 15 bila kuzitaja kasema atazifuta ili bidhaa kutoka nje zimwagike nchini bila kulipiwa ushuru, tunachagua afisa masoko wa mabeberu? katumwa na mabwana zake kuja kutafuta soko la bidhaa za viwanda vyao? atatoa wapi pesa kuyafanya hayo anayoahidi? ATATUUZA HUYO.
Hatokusanya Kodi kandamizi bali atakusanya kodi rafiki kutoka kwa wafanyabiashara .Acheni kupotosha.
 
..anasema atapunguza kodi ili iwe rahisi kwa watu wengi zaidi kuanzisha biashara na miradi ya ujasiriamali.

..mfumo wa sasa hivi umejikita ktk kukamua watu wachache kwa kodi na hauchochei wananchi wengi zaidi kuanzisha biashara.

..kwa msingi huo basi, kupunguza idadi ya kodi anakokuzungumzia kutaongeza idadi ya walipa kodi, kutaongeza ajira, na kutaongeza mapato / makusanyo ya serikali.

..kila aliyebomolewa makazi yake kupisha mradi wa miundombinu anapaswa kulipwa fidia stahiki. suala hili halipaswi kuwa na mjadala hata kidogo.

..Tuna tatizo la "revolving fund" ya mikopo ya elimu ya juu ni kukosekana kwa uwezo wa kurudisha fedha za mikopo kwa wale wanaokopeshwa. Wanafunzi wetu wengi wanazagaa mitaani bila ajira baada ya kuhitimu masomo huku wakiwa na mzigo wa madeni. Hili ni jambo baya sana, tunajenga tabaka la watu wenye MADENI ktk nchi yetu.

..Tunapaswa kutatua tatizo la UKOSEFU WA AJIRA kwa vijana wanaohitimu elimu ya juu, na kuwawezesha kuwa na vipato vya kulipa mikopo yao ili mfuko wa mikopo ya elimu ya juu uendelee kuwa salama.
Niliwahi sema tungeenda mwendo wa Jk usingekuta kuna kilio kikubwa ha ugumu wa maisha na kukosa ajira maana JK alijikita kwenye demand side policy kwa kuimarisha kipato cha mtu mja mja ili iwe chachu ya aggregate demand ambayo automatically itapelekea production via investments maana tayari kuna soko/consumer demand ni kubwa.
Sasa huyu jamaa kaua kipato cha watu matokeo yake hakuna kinachofaulu wazalishaji wachache kwa vile walaji hakuna na ameishia kuendesha nchi kwa mikopo kuliko kiongozi yoyote aliyewahi kuongoza nchi,tuachane na huyu anatutia umaskini
 
Umeisoma vizuri ilani ya CHADEMA? sehemu gani inazungumzia ujenzi wa viwanda? sikumsikia jana akizungumzia ujenzi wa viwanda tofauti na kuingiza bidhaa nchini kutoka nje ili watu wasiende kununua tena Uganda, sisi tunajenga uchumi shindani tukauze bidhaa nje tukuze pato la nje yeye anaahidi kufuta ushuru wa bidhaa za nje ili tutumie fedha za kigeni kuziingiza kwa wingi, afisa masoko wa mabeberu huyo.

..suala la kodi litawahusu wanaozalisha bidhaa nchini, na wanaoagiza bidhaa kuleta hapa nchini.
 
..mfumo wa sasa hivi umejikita ktk kukamua watu wachache kwa kodi na hauchochei wananchi wengi zaidi kuanzisha biashara.
Akiwa Mbeya nadhani...alisema atafuta kitambulisho cha machinga. Sasa hapo anaongeza wigo wa kodi ama anapunguza wigo huo!?
 
Chanzo kikuu cha pesa za serikali ni kodi;Tundu Lissu kasema anafuta ili wafanyabiashara wawe na hela kuliko serikali
Anafuta mlolongo au utitiri wa kodi na kuacha 1tu pengine VAT na mapato mengineyo kama huko kwenye utalii lakini pia ataiondoa serikali kufanya biashara kama ilivyo saizi eti serikali inaanzisha sijui parking sijui hotel na upuuzi mwingine wa dizaini hii
Lengo la hii sera ni kuimalisha kipato kwa mtu mja mja awe mkulia au mfanyabiashara nk ,hii itachochea automatically investments ambayo itaoa ajira na kodi zaidi kwa serikali..Kwanz ahakuna mfanyabiashara anaweza kuizidi pesa serikali kwa bongo hii,hii haipo
 
Hatokusanya Kodi kandamizi bali atakusanya kodi rafiki kutoka kwa wafanyabiashara .Acheni kupotosha.
Hayo ni maneno yake mkuu weka video ya jana hapa tuone, kasema TIN TRA ni bure hivyo hata hiyo 20,000/= wanayotozwa wafanyabiashara wadogowadogo kwa mwaka no wizi yeye ataifuta hivyo watafanya biashara bure, wafanyabiashara wengine wako na kodi 15 ambazo wala hakuzitaja akasema yeye akiingia atazifuta, na bidhaa kutoka nje zitaingia bure zitamwagika nchini (ataifanya nchi dampo), watu hawatahangaika kwenda Uganda kununua bidhaa, sasa wenye akili tukijiuliza haya na kwa wafanyakazi akasema payee haitazidi 8% which means yaweza kuwa 2%, hayo makubwa anayoahidi atayafanya vipi bila kodi? hakuna jibu tofauti na KUTUUZA.
 
Development should be people centered!!!

Maendeleo lazima yaendane na Uhuru. Upuuzi wakujenga uwanja chattle hauvumiliki hata kidogo, kejeli za kuwatukana wahitimu kuwa wajitolee ndio waajiliwe ni upuuzi.
 
Ingetoka wapi wakati hakusanyi kodi? kasema kodi atazifuta, hata za wafanyabiashara anazodai ziko 15 bila kuzitaja kasema atazifuta ili bidhaa kutoka nje zimwagike nchini bila kulipiwa ushuru, tunachagua afisa masoko wa mabeberu? katumwa na mabwana zake kuja kutafuta soko la bidhaa za viwanda vyao? atatoa wapi pesa kuyafanya hayo anayoahidi? ATATUUZA HUYO.

..mbona Jpm anatoa matrilioni ya kodi za waTz kwenda kununua midege toka kwa mabeberu?

..na midege yenyewe inatutia hasara kila mwaka kwanza kwa kuinunua, na pili kutoa ruzuku kwa shirika la ndege?

..Je, Jpm ni wakala wa mabeberu? Kuna nini kati yake na makampuni ya kutengeneza ndege? Kwanini analazimisha manunuzi ya ndege wakati zinatutia hasara na kutubebesha mzigo wa kuendesha shirika la ndege?
 
Hayo ni maneno yake mkuu weka video ya jana hapa tuone, kasema TIN TRA ni bure hivyo hata hiyo 20,000/= wanayotozwa wafanyabiashara wadogowadogo kwa mwaka no wizi yeye ataifuta hivyo watafanya biashara bure, wafanyabiashara wengine wako na kodi 15 ambazo wala hakuzitaja akasema yeye akiingia atazifuta, na bidhaa kutoka nje zitaingia bure zitamwagika nchini (ataifanya nchi dampo), watu hawatahangaika kwenda Uganda kununua bidhaa, sasa wenye akili tukijiuliza haya na kwa wafanyakazi akasema payee haitazidi 8% which means yaweza kuwa 2%, hayo makubwa anayoahidi atayafanya vipi bila kodi? hakuna jibu tofauti na KUTUUZA.
Kwani hizi kodi wakati wa JK zilikuwepo?Na mapato ya hizi fedha yanaeleweka yanapokwenda?
 
Kodi ipi? Kwa sababu kodi ambayo wao hulipa direct ni corporate tax labda kama unajua nchi inayotoza asilimia pungufu zaidi ya Tanzania.

Pili,nimekuuliza atafanyaje kufidia mapato yatakayoondoka baada ya kufuta kodi? atafanya mbinu gani kufidia nakisi ya bajeti,sikusikia akiainisha vyanzo vya mapato kuendesha serikali.Hapa ndipo hasa kwenye msingi wa mjadala kamanda
..uko kisiasa-siasa zaidi.

..wawekezaji huzingatia masuala yote ya kikodi kabla ya kuchukua maamuzi ya kuwekeza ktk eneo husika.
 
Akiwa Mbeya nadhani...alisema atafuta kitambulisho cha machinga. Sasa hapo anaongeza wigo wa kodi ama anapunguza wigo huo!?

..wamachinga wana kipato kidogo sana hawatakiwi kutozwa kodi ya vitambulisho.
 
Back
Top Bottom