Uchaguzi 2020 Tundu Lissu, ilani yako na CHADEMA itahitaji msaada zaidi ya asilimia 90, tutarudi utumwani

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu, ilani yako na CHADEMA itahitaji msaada zaidi ya asilimia 90, tutarudi utumwani

Joka,hili la wamachinga kutozwa au kutotozwa linahoja lakini muda mwingine mtu akilipia Kodi inampa haki ya kudai huduma bora zaidi hususani kutoka serikalini

..TRUE.

..mimi ningependa wamachinga wapungue kwa kuwa integrated ktk ajira za kudumu ktk sekta nyingine.

..sasa hivi tuna wamachinga mpaka wenye elimu ya chuo kikuu, halafu tunategemea walipe mikopo ya elimu ya juu.

..hapa kwa kweli tuweke vyama pembeni, tu-demand toka kila kampeni[ccm,act,cdm,cuf..] waeleze jinsi gani watasaidia kupunguza wamachinga.

NB:

..asante kwa kuanzisha mjadala huu.

..umepelekea tuka-strike a common ground.

..this is a culture that we need to encourage ktk siasa zetu, badala ya kuchukuliana kama maadui na kuitana majina mabaya.
 
Hilo la wamachinga kuwa integrated kwenye ajira (white colour job) ni mtazamo tu kwani ajira ipo katika mfumo wa ofisini na usio wa ofisini.

Hawa wamachinga walio wengi wanaingiza fedha nyingi kwa siku/wiki/mwezi kuliko hata walio maofisini.

Hoja kubwa ni kuboresha mazingira yao ili waweze kuwa endelevu.
..TRUE.

..mimi ningependa wamachinga wapungue kwa kuwa integrated ktk ajira za kudumu ktk sekta nyingine.

..sasa hivi tuna wamachinga mpaka wenye elimu ya chuo kikuu, halafu tunategemea walipe mikopo ya elimu ya juu.

..hapa kwa kweli tuweke vyama pembeni, tu-demand toka kila kampeni[ccm,act,cdm,cuf..] waeleze jinsi gani watasaidia kupunguza wamachinga.

NB:

..asante kwa kuanzisha mjadala huu.

..umepelekea tuka-strike a common ground.

..this is a culture that we need to encourage ktk siasa zetu, badala ya kuchukuliana kama maadui na kuitana majina mabaya.
 
Ndugu zangu,

Nimepata fursa ya kumsikiliza Tundu Lissu akitangaza ilani ya Chadema nikiri kwa kusema kuwa ili kutekeleza "wish list" yake inahitaji kufadhiliwa na fedha za nje kwa asilimia zaidi ya 90 na uenda akashindwa kulipa hata mishahara ya watumishi wa umma.

Tundu Lissu anasema ataondoa kodi na nyingine atazipunguza ili kuchochea biashara na uwekezaji. Ukitaka kujua kuna utapeli hasemi ataondoa kodi zipi?na atapumguza zipi na kwa asilimia ngapi?

Tundu Lissu ameendelea kuhadaa umma kuwa atalipa fidia watu waliobomolewa kupisha ujenzi.Hapa atatumia sheria ipi kulipa fidia mtu zaidi ya mmoja zaidi ya mara moja kwa eneo lile lile?Je atakuwa tayari kufanya double standard hiyo nchi nzima?ukiacha waliobomolewa kupisha barabara,kuna waliobomolewa kwa kujenga eneo la reli,eneo la miundombinu ya maji na kadhalika atakuwa tayari kufanya hivi nchi nzima?Watu waliolipwa fidia miaka ya 70 na 80 kupisha ujenzi wa miondo mbinu wakawauzia wengine je hapo serikali italipa fidia kwa sheria ipi?Huu ni utapeli.

Mfuko wa bodi ya mikopo ya elimu ya juu (HELSB) kama tujuavyo hii ni "relvolving fund" ili wengine wanufaike lazima walionufaika kabla walipe la sivyo mfuko utakufa.Tundu Lissu anaongopea watu kuwa inawezekana watu kulipa kiduchu kiduchu,hii haiwezekani,bodi itashindwa kujiendesha na matokeo yake sababu ya makudanyo hafifu ya marejesho wanufaika wa mikopo ya elimu ya juu watakuwa wachache.Hili halikubaliki.

Kwa kifupi,ilani hii ya Chadema na Tundu haina uhalisia labda kama nchi itageuzwa "NGO" ya akina Robert Amsterdam"

Nimalize kwa kusema hakuna nchi inayoweza kuwa huru kama serikali yake haikusanyi kodi na wananchi wasipowajibika.

Tujadili kwa makini
Unataka kusema pesa yetu ya ndani kazi yake ni kununua ndege harafu za pesa za kuwapatia watoto wetu elimu bora kwa maana ya ujuzi na maarifa ili waweze kujiajiri na kuongeza tija kwenye shughuli za ujenzi wa taifa lao inabidi tusubirie msaada,kweli ccm akli zenu mnazijua wenyewe Ila samahani sijasoma post yako,nimesoma tu heading
 
ndugu muandish katika hoja yako ya LOAN BOARD nakubaliana na wewe huu ni mfuko unaopashwa uwe na mzunguko.Mzunguko unapatikana vipi? mzunguko lazima upatikane kwa wanufaika kurudisha fedha za mikopo.na hili linafanyika hata katika nchi za wenzetu.Mfano ulaya na marekan kila mhitimu wa chuo asilimia kubwa ni walikopa.
 
Ndugu zangu,

Nimepata fursa ya kumsikiliza Tundu Lissu akitangaza ilani ya Chadema nikiri kwa kusema kuwa ili kutekeleza "wish list" yake inahitaji kufadhiliwa na fedha za nje kwa asilimia zaidi ya 90 na uenda akashindwa kulipa hata mishahara ya watumishi wa umma.

Tundu Lissu anasema ataondoa kodi na nyingine atazipunguza ili kuchochea biashara na uwekezaji. Ukitaka kujua kuna utapeli hasemi ataondoa kodi zipi?na atapumguza zipi na kwa asilimia ngapi?

Tundu Lissu ameendelea kuhadaa umma kuwa atalipa fidia watu waliobomolewa kupisha ujenzi.Hapa atatumia sheria ipi kulipa fidia mtu zaidi ya mmoja zaidi ya mara moja kwa eneo lile lile?Je atakuwa tayari kufanya double standard hiyo nchi nzima?ukiacha waliobomolewa kupisha barabara,kuna waliobomolewa kwa kujenga eneo la reli,eneo la miundombinu ya maji na kadhalika atakuwa tayari kufanya hivi nchi nzima?Watu waliolipwa fidia miaka ya 70 na 80 kupisha ujenzi wa miondo mbinu wakawauzia wengine je hapo serikali italipa fidia kwa sheria ipi?Huu ni utapeli.

Mfuko wa bodi ya mikopo ya elimu ya juu (HELSB) kama tujuavyo hii ni "relvolving fund" ili wengine wanufaike lazima walionufaika kabla walipe la sivyo mfuko utakufa.Tundu Lissu anaongopea watu kuwa inawezekana watu kulipa kiduchu kiduchu,hii haiwezekani,bodi itashindwa kujiendesha na matokeo yake sababu ya makudanyo hafifu ya marejesho wanufaika wa mikopo ya elimu ya juu watakuwa wachache.Hili halikubaliki.

Kwa kifupi,ilani hii ya Chadema na Tundu haina uhalisia labda kama nchi itageuzwa "NGO" ya akina Robert Amsterdam"

Nimalize kwa kusema hakuna nchi inayoweza kuwa huru kama serikali yake haikusanyi kodi na wananchi wasipowajibika.

Tujadili kwa makini
Umeongea kiuhalisia bila chenga 100% mkuu.
Ukiangalia kale ka kitabu ka sera za ilani alikoshikilia Lissu ni kama kametungwa na kuchapishwa ndani ya siku mbili.
Bila kufanyiwa tafiti za kiuhalisia, kwa ujumla ile sio sera bali hasira na uchonganishi mtupu.
 
..anasema atapunguza kodi ili iwe rahisi kwa watu wengi zaidi kuanzisha biashara na miradi ya ujasiriamali.

..mfumo wa sasa hivi umejikita ktk kukamua watu wachache kwa kodi na hauchochei wananchi wengi zaidi kuanzisha biashara.

..kwa msingi huo basi, kupunguza idadi ya kodi anakokuzungumzia kutaongeza idadi ya walipa kodi, kutaongeza ajira, na kutaongeza mapato / makusanyo ya serikali.

..kila aliyebomolewa makazi yake kupisha mradi wa miundombinu anapaswa kulipwa fidia stahiki. suala hili halipaswi kuwa na mjadala hata kidogo.

..Tuna tatizo la "revolving fund" ya mikopo ya elimu ya juu ni kukosekana kwa uwezo wa kurudisha fedha za mikopo kwa wale wanaokopeshwa. Wanafunzi wetu wengi wanazagaa mitaani bila ajira baada ya kuhitimu masomo huku wakiwa na mzigo wa madeni. Hili ni jambo baya sana, tunajenga tabaka la watu wenye MADENI ktk nchi yetu.

..Tunapaswa kutatua tatizo la UKOSEFU WA AJIRA kwa vijana wanaohitimu elimu ya juu, na kuwawezesha kuwa na vipato vya kulipa mikopo yao ili mfuko wa mikopo ya elimu ya juu uendelee kuwa salama.
Said kubenea pamoja na elimu yake ya kuunga unga anamzidi Magu phD maarifa kwa mbali sana.Said Kubenea aliwahi kuwaambia wananchi wa kimara na ubungo kuwa serikali haiwezi kushindana na wananchi wake,kwa lugha nyingine ni kuwa nyumba haiwezi kushindana na mmiliki wake.Serilali ni nyumba na wamiliki wa nyumba ni watanzania.ulikuwa ni uvivu wa kufikiri wa Magu kudhani serikali ni mshindani wa wananchi,ndo maana WB ilimnyima pesa
 
ndugu muandish katika hoja yako ya LOAN BOARD nakubaliana na wewe huu ni mfuko unaopashwa uwe na mzunguko.Mzunguko unapatikana vipi? mzunguko lazima upatikane kwa wanufaika kurudisha fedha za mikopo.na hili linafanyika hata katika nchi za wenzetu.Mfano ulaya na marekan kila mhitimu wa chuo asilimia kubwa ni walikopa.
Mzunguko si lazima iwe 18% toka kwenye mishahara,kule REA tunalipa asilimia ngapi na kazi ya kusambaza umeme ikoje vijijini? Kama ustawi wa maisha ya mtanzania ungekuwa muhimu kwa ccm na chato boy tungetafuta vyanzo vingine vya mapato kwa ajiri ya loan board na si kufukarisha watanzania
 
Chapa kazi najua unapenda sana kutawaliwa na wazungu.Uhuru upi unataka?ndoa ya jinsia moja?kutembea uchi?
Ukoloni/ubeberu/ ukaburu siyo rangi. Kwa miaka 5 tumekuwa chini ya beberu mweusi. Rangi yake ndo imewafanya baadhi yenu mshindwe kutambua?
 
Ndugu zangu,

Nimepata fursa ya kumsikiliza Tundu Lissu akitangaza ilani ya Chadema nikiri kwa kusema kuwa ili kutekeleza "wish list" yake inahitaji kufadhiliwa na fedha za nje kwa asilimia zaidi ya 90 na uenda akashindwa kulipa hata mishahara ya watumishi wa umma.

Tundu Lissu anasema ataondoa kodi na nyingine atazipunguza ili kuchochea biashara na uwekezaji. Ukitaka kujua kuna utapeli hasemi ataondoa kodi zipi?na atapumguza zipi na kwa asilimia ngapi?

Tundu Lissu ameendelea kuhadaa umma kuwa atalipa fidia watu waliobomolewa kupisha ujenzi.Hapa atatumia sheria ipi kulipa fidia mtu zaidi ya mmoja zaidi ya mara moja kwa eneo lile lile?Je atakuwa tayari kufanya double standard hiyo nchi nzima?ukiacha waliobomolewa kupisha barabara,kuna waliobomolewa kwa kujenga eneo la reli,eneo la miundombinu ya maji na kadhalika atakuwa tayari kufanya hivi nchi nzima?Watu waliolipwa fidia miaka ya 70 na 80 kupisha ujenzi wa miondo mbinu wakawauzia wengine je hapo serikali italipa fidia kwa sheria ipi?Huu ni utapeli.

Mfuko wa bodi ya mikopo ya elimu ya juu (HELSB) kama tujuavyo hii ni "relvolving fund" ili wengine wanufaike lazima walionufaika kabla walipe la sivyo mfuko utakufa.Tundu Lissu anaongopea watu kuwa inawezekana watu kulipa kiduchu kiduchu,hii haiwezekani,bodi itashindwa kujiendesha na matokeo yake sababu ya makudanyo hafifu ya marejesho wanufaika wa mikopo ya elimu ya juu watakuwa wachache.Hili halikubaliki.

Kwa kifupi,ilani hii ya Chadema na Tundu haina uhalisia labda kama nchi itageuzwa "NGO" ya akina Robert Amsterdam"

Nimalize kwa kusema hakuna nchi inayoweza kuwa huru kama serikali yake haikusanyi kodi na wananchi wasipowajibika.

Tujadili kwa makini
1. Lissu anataka kuchochea tax base expansion kwa kuwa na friendly taxing environment

2. Pesa zinazokusanywa zipelekwe wapi, ni suala la vipaumbele (kupanga ni kuchagua).
Mathalani badala ya kutumia matrilioni kwa matrilioni kwa miaka 15 mizima kujenga SGR na Stiegler's Gorge ambavyo havina immediate impact katika kuchochea microeconomy, pesa hizo zitakuwa directed kwenye sekta zinazochoea ukuaji wa kasi wa microeconomies ambazo ni building blocks kuelekea kwenye uchumi mkubwa.

Model ya uchumi chini ya awamu hii itawafanya watoto wetu in the next 10 years waishie kuwa kama Waethiopia (kuikimbia nchi yao iliyosheheni midege lukuki na miundombinu mingi, vitu ambavyo havina immediate and direct trickle down effect).

3. Umeongelea double standard kwenye bomoa bomoa. Culprit number one kwenye hili ni hii serekali ya sasa ambayo iliwabomolea wakazi ambao hawakumpigia kura rais na waliompigia kura kutoguswa.

Yapo mengi.

So, yote aliyoystaja Tundu Lissu ni achievable 100% kwa kutumia internal resources. It's a question of where to prioritize, that's all!
 
Hela ya kujenga uwanja wa ndege Chato ingetosha kulipa wahanga wa bomoabomoa fidia.

Vile vile ukihusisha sekta binafsi katika ujenzi wa miundombinu unaweza kuoko fedha nyingi ukazielekeza katika maeneo mengine.

Kingine ni kufuta sitting allowance za wabunge na kuondoa mashangingi serikalini.

Serikali kuiokodisha ATCL au kuiendesha kwa ubia kutaokoa pia fedha nyingi zitatumika kuibeba ATCL.

Kufuta na kuondoa kabisa Bajeti ya kukimbiza mwenge na fedha hizi kuzielekeza katika maeneo mengine ya kipaumbele.

Vile vile ukiweka mazingira mzuri ya watu kufanya biashaara, utafanya watu wengi zaidi wafungue biashara na hivyo kupanua wigo wa biashara na matokeo yake ni kuongea makusanyo ya kodi.

Kwa kifupi,yote asemayo yanawezekana tukiachana na huu ujamaa uchwara na kupunguza matumizi makubwa na yasiyo ya lazima pamoja na kuwa na sera nzuri na rafiki za kikodi na watu kufanya biashara.

Na mwisho jiulize mmetumia fedha kiasi gani kugharamia chaguzi fake za kuunga mkono juhudi, fedha ambazo zingetosha kusomesha watoto wengi wa masikini katika vyuo vikuu vyetu.
Mkuu joint ventures na private partnership alizifanya Raisi Mkapa tukaambulia kapa.
Hata huu ukosefu wa ajira umetokana na ubinafshaji ulioletwa na Mkapa akauza kila kitu kwa bei poa,akaambulia mabua.
 
Tunaongelea "bodi ya mikopo endelevu" na sio elimu ya bure.
Unataka kusema pesa yetu ya ndani kazi yake ni kununua ndege harafu za pesa za kuwapatia watoto wetu elimu bora kwa maana ya ujuzi na maarifa ili waweze kujiajiri na kuongeza tija kwenye shughuli za ujenzi wa taifa lao inabidi tusubirie msaada,kweli ccm akli zenu mnazijua wenyewe Ila samahani sijasoma post yako,nimesoma tu heading
 
Karibu sana
ndugu muandish katika hoja yako ya LOAN BOARD nakubaliana na wewe huu ni mfuko unaopashwa uwe na mzunguko.Mzunguko unapatikana vipi? mzunguko lazima upatikane kwa wanufaika kurudisha fedha za mikopo.na hili linafanyika hata katika nchi za wenzetu.Mfano ulaya na marekan kila mhitimu wa chuo asilimia kubwa ni walikopa.
 
Huyo ni mtoto hajui jinsi ambavyo TRC na ATC yalivyochoshwa na joint ventures
Mkuu joint ventures na private partnership alizifanya Raisi Mkapa tukaambulia kapa.
Hata huu ukosefu wa ajira umetokana na ubinafshaji ulioletwa na Mkapa akauza kila kitu kwa bei poa,akaambulia mabua.
 
Ndugu zangu,

Nimepata fursa ya kumsikiliza Tundu Lissu akitangaza ilani ya Chadema nikiri kwa kusema kuwa ili kutekeleza "wish list" yake inahitaji kufadhiliwa na fedha za nje kwa asilimia zaidi ya 90 na uenda akashindwa kulipa hata mishahara ya watumishi wa umma.

Tundu Lissu anasema ataondoa kodi na nyingine atazipunguza ili kuchochea biashara na uwekezaji. Ukitaka kujua kuna utapeli hasemi ataondoa kodi zipi?na atapumguza zipi na kwa asilimia ngapi?

Tundu Lissu ameendelea kuhadaa umma kuwa atalipa fidia watu waliobomolewa kupisha ujenzi.Hapa atatumia sheria ipi kulipa fidia mtu zaidi ya mmoja zaidi ya mara moja kwa eneo lile lile?Je atakuwa tayari kufanya double standard hiyo nchi nzima?ukiacha waliobomolewa kupisha barabara,kuna waliobomolewa kwa kujenga eneo la reli,eneo la miundombinu ya maji na kadhalika atakuwa tayari kufanya hivi nchi nzima?Watu waliolipwa fidia miaka ya 70 na 80 kupisha ujenzi wa miondo mbinu wakawauzia wengine je hapo serikali italipa fidia kwa sheria ipi?Huu ni utapeli.

Mfuko wa bodi ya mikopo ya elimu ya juu (HELSB) kama tujuavyo hii ni "relvolving fund" ili wengine wanufaike lazima walionufaika kabla walipe la sivyo mfuko utakufa.Tundu Lissu anaongopea watu kuwa inawezekana watu kulipa kiduchu kiduchu,hii haiwezekani,bodi itashindwa kujiendesha na matokeo yake sababu ya makudanyo hafifu ya marejesho wanufaika wa mikopo ya elimu ya juu watakuwa wachache.Hili halikubaliki.

Kwa kifupi,ilani hii ya Chadema na Tundu haina uhalisia labda kama nchi itageuzwa "NGO" ya akina Robert Amsterdam"

Nimalize kwa kusema hakuna nchi inayoweza kuwa huru kama serikali yake haikusanyi kodi na wananchi wasipowajibika.

Tujadili kwa makini
Naunga mkono hoja.
 
Nimepata fursa ya kumsikiliza Tundu Lissu akitangaza ilani ya Chadema nikiri kwa kusema kuwa ili kutekeleza "wish list" yake inahitaji kufadhiliwa na fedha za nje kwa asilimia zaidi ya 90 na uenda akashindwa kulipa hata mishahara ya watumishi wa umma.
mara juzi mkapost hapa kuwa Chadema hawana ilani, sasa hii unayozungumzia ni ya wapi> huu ni uwendawazimu
 
Huo utumwa "tuliutokamo" lini?
Kwa miaka 5 ya jiwe utumwa umeongezeka kwa kupoteza hata kale ka uhuru tulikokunako!, ...awamu hii hatitizami tukaona, hatuli tukashiba, hatulali tukasinzia,..sheria kandamizi zimekuwa nyingi mno, don't,.. don't,. Zimekuwa nyingi mno!.
Kwa lahaja hii utakuwa mtu wa kule inshomile
 
Back
Top Bottom