Estone
JF-Expert Member
- Feb 6, 2012
- 622
- 630
Jibu swali, hapo mikataba inawekwa kisheria siyo matakwa ya watu fulani kwa mitazamo yao?Lipa deni wengine wanufaike
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jibu swali, hapo mikataba inawekwa kisheria siyo matakwa ya watu fulani kwa mitazamo yao?Lipa deni wengine wanufaike
Tayari Ni watumwa, tuna deni la tshs53.tril. Ambako tumekopa kujenga sgr, utumwa upo tu utaendelea, lissu atatumia diplomasia ya uchumi kupunguza utumwa
Huna hoja weweJikite kwenye hoja
Lipa deni wengine wanufaike
We dada wewe, mbona misaada nayo itakuwa himilivu!Deni la taifa ni himilivu
..bila kutegua bomu la ukosefu wa ajira kwa wahitimu wetu urudishwaji wa mikopo utaendelea kuwa changamoto...
Hajasema hiyo Kodi anayopunguza atafidia vipi kwa vyanzo vipi vipya??
Hakika
Nyumbu watakupingaNdugu zangu,
Nimepata fursa ya kumsikiliza Tundu Lissu akitangaza ilani ya Chadema nikiri kwa kusema kuwa ili kutekeleza "wish list" yake inahitaji kufadhiliwa na fedha za nje kwa asilimia zaidi ya 90 na uenda akashindwa kulipa hata mishahara ya watumishi wa umma..
Nyumbu watakupinga
Wanaume wanaoogopa kushindana kwenye sanduku la kura na kuchekelea kupewa ubunge na udiwani wa viti maalum ambao ni kwa ajili ya mama zetu ni wa kudharauliwa kabisa.
Ilani ya CCM huwa ni Ilani Porojo
Tundu Lissu hoyeeee! Binafsi nampenda sana huyu bloo na tayari nimemuandakia kula 52 HD sasa. Wote wanaonitegemea kura zake. Yaani mjiandae tu kupita.
Lissu hata kama akiahidi ofisi znahamishiwa kwenye mapango ya Bagamoyo yuko sahihi ili watumishi wapate nyongeza za mishara na ubabe wa akina makonda upotelee mbaliKamanda kwa ahadi za Lissu hata ofisi ya ufipa huwezi kupiga rangi