Uchaguzi 2020 Tundu Lissu, ilani yako na CHADEMA itahitaji msaada zaidi ya asilimia 90, tutarudi utumwani

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu, ilani yako na CHADEMA itahitaji msaada zaidi ya asilimia 90, tutarudi utumwani

..anasema atapunguza kodi ili iwe rahisi kwa watu wengi zaidi kuanzisha biashara na miradi ya ujasiriamali.

..mfumo wa sasa hivi umejikita ktk kukamua wafanyabiashara na wawekezaji kwa kodi kubwa, na hauchochei wananchi wengi zaidi kuanzisha biashara na kuwekeza...
Asante 🙏 🙏🙏 Sana tumemaliza muda wetu bure kwa kutegemea mawazo ya ccm iliuoshindwa
 
Sitaki poteza muda wangu kuelimisha mpumbavu ila kama unataka kutoa upumbavu wako, kasome jinsi china ilivyoweza kuvutia wawekezaji mpaka hivi sasa imekuwa tishio kubwa mpaka hata taifa lililowacolonize.
Hizi ndio hoja siyo kipenda hata vilivyo oza
 
Hii nchi tayari inaishi kwa misaada na mikopo kwa zaidi ya 60 hivyo hakuna ubaya.

Miaka 60 ya uhuru bado nchi ombaomba. Ukiachia Afghanistan, Tanzania ni nchi ya pili kwa kutegemea misaada na mikopp Duniani.
 
Ndugu zangu,

Nimepata fursa ya kumsikiliza Tundu Lissu akitangaza ilani ya Chadema nikiri kwa kusema kuwa ili kutekeleza "wish list" yake inahitaji kufadhiliwa na fedha za nje kwa asilimia zaidi ya 90 na uenda akashindwa kulipa hata mishahara ya watumishi wa umma...

Ni mawazo yako tu ila inaekelezeka na chenji inabaki,hivi najua fedha nyingi zinapotea kwenda mifukoni mwa watu? Hiyo miradi hewa , ma vx kibao yaani hadi hapi unampa V8 kama puto la kazi gani? Si matumizi mabaya hayo? Nasema kwamba fedha nyingi zinatumika hovyo.
 
Watanzania hatuwezi kupitisha hizo sera mbovu
Lissu hata kama akiahidi ofisi znahamishiwa kwenye mapango ya Bagamoyo yuko sahihi ili watumishi wapate nyongeza za mishara na ubabe wa akina makonda upotelee mbali

Kwa sasa sisi watanzania TUMEICHOKA CCM.
 
Ndugu zangu,

Nimepata fursa ya kumsikiliza Tundu Lissu akitangaza ilani ya Chadema nikiri kwa kusema kuwa ili kutekeleza "wish list" yake inahitaji kufadhiliwa na fedha za nje kwa asilimia zaidi ya 90 na uenda akashindwa kulipa hata mishahara ya watumishi wa umma...
Kasema atanunua ndege 5 ndio ilikua ndoto yake toka yuko Burigi
 
Ndugu zangu,

Nimepata fursa ya kumsikiliza Tundu Lissu akitangaza ilani ya Chadema nikiri kwa kusema kuwa ili kutekeleza "wish list" yake inahitaji kufadhiliwa na fedha za nje kwa asilimia zaidi ya 90 na uenda akashindwa kulipa hata mishahara ya watumishi wa umma...
Mkuu mwenyekiti wako hakumulewa Lissu kwenye Mambo ya makinikia hadi pale alipokuja kufafanuliwa Mambo Yale na AG wa Sasa,Sasa wewe na akili zako za kisoda unawezaje kumuelewa?
 
Kamanda hivi ukiweka kwenye orodha ya vikwazo vya biashara kodi ni namba moja?unataka kusema leo ukifuta kodi zote viwanda vitajaa?...
Ndiyo na ndo maana imported goods zipo bei ya chini Kampala kuliko Dar penye bandari na pili ni hizi sera na yesu za majukwani aka matamko
 
salary slip na wengineo mnaokosoa ujenzi wa uwanja wa ndege chato naomba kuwauliza, je watanzania wanaoishi chato hawastahili kujengewa uwanja? je ni pahala gani pekee hapa tanzania panastahili kuwekezwa miradi ya kiserikali?
 
Hajasema hiyo Kodi anayopunguza atafidia vipi kwa vyanzo vipi vipya??
Mkuu ule ulikuwa mkutano wa kampeni,halikuwa bunge la budget,Ila Kama Magu alisema atanunua ndege tano na akasema pesa atatoa wapi tuwekee hapa na sisi tuone pesa ya madege inakotoka
 
Wananchi wanataka kufahamu yafuatayo:

1. Wahitimu watalipa asilimia ngapi ya mkopo kutoka bodi ya mikopo na ni kwa muda gani...
Mkuu hivi unajua ni lini board ya mikopo ya elimu ya juu imeanza? Je unajua Kama elimu bure ni sera ya chadema na wakati huo walipoileta maswali Kama haya yaliulizwa hadi na JK?

Je Kuna mtu anamuuliza Sasa Magu pesa ya elimu bure anatoa wapi? Akili za wanaccm huwa ni ndogo muda wote to an extent kwamba wanahitaji muda mwingi hata kuelewa Jambo dogo tu
 
Mkuu ule ulikuwa mkutano wa kampeni,halikuwa bunge la budget,Ila Kama Magu alisema atanunua ndege tano na akasema pesa atatoa wapi tuwekee hapa na sisi tuone pesa ya madege inakotoka
Magu akisema ananunua tunajua atatoa wapi maana sio mara ya Kwanza kufanya hivyo ,

Sasa hizi hadithi za huyu ndugu yenu sidhani kama kuna anayeziamini ndio maana tunataka atuambie atatoa wapi.
 
Uchaguzi huu utakua mwepesi sana kwa ccm,hakuna Alie tayari kuchagua maneno matupu
 
Mgombea wa Urais wa Tiketi ya CHADEMA amekuwa hana Sera anazozinadi mbele ya wananchi wanaojitokeza kwenye Mikutano yake zaidi ana agenda za Matusi, Kejeli, Dhihaka nk... dhidi ya Mgombea wa CCM ndg Magufuli.

Anaiponda Serikali ya CCM kuleta Maendeleo ya Vitu hapo hapo anasema nayeye ataleta Vitu ivi anatuona sisi waninga huh?

Mwambieni tumechoka na sera zake za uwongo.



 
Back
Top Bottom