Uchaguzi 2020 Tundu Lissu, ilani yako na CHADEMA itahitaji msaada zaidi ya asilimia 90, tutarudi utumwani

Sera za ccm Ni umasikini, kuua, kuteka, kulawiti, kubambika kesi hewa, kuzuia Uhuru wa habari. Kuwafanya watu waishi Kama mashetani.
 
Mgombea wa Urais wa Tiketi ya CHADEMA amekuwa hana Sera anazozinadi mbele ya wananchi wanaojitokeza kwenye Mikutano yake zaidi ana agenda za Matusi, Kejeli, Dhihaka nk... dhidi ya Mgombea wa CCM ndg Magufuli...
Aisee wewe unaishabikia ccm?! Acha mambo ya kale wewe.
 
Reactions: BAK
Tundu Lisu ana maono ya kweli juu ya Tanzania, CCM hawana jipya zaidi ya kuzungumzia miundo mbinu.
 
Reactions: BAK
Mgombea wa Urais wa Tiketi ya CHADEMA amekuwa hana Sera anazozinadi mbele ya wananchi wanaojitokeza kwenye Mikutano yake zaidi ana agenda za Matusi, Kejeli, Dhihaka nk... dhidi ya Mgombea wa CCM ndg Magufuli...
Hueleweki kama unakwenda au unarudi...umeandika mada au unauliza swali?
 
Jenga hoja
Mkuu mwenyekiti wako hakumulewa Lissu kwenye Mambo ya makinikia hadi pale alipokuja kufafanuliwa Mambo Yale na AG wa Sasa, Sasa wewe na akili zako za kisoda unawezaje kumuelewa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…