Pre GE2025 Tundu Lissu: Ili CHADEMA iaminike, ipendwe na kuthaminiwa tena na Wananchi ni lazima ipate Nahodha Mpya, kwa sasa haiaminiki na Jamii!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kwa hiyo wewe unaona CDM inaaminiwa na Wananchi kama ulivyokuwa kabla ya 2015?. Jifunze kuupokea ukweli mchungu!
 
Uzuri wa lissu ni ukweli na uwazi, ukweli mbowe kwa sasa ushawishi umepungua Sana hasa kwa vijana na umma kiujumla, Mbowe kwa miaka 20+ imetosha abaki kuwa mshauri.Nje ya hapo chadema wasitafute mchawi
 
Kwa hiyo wewe unaona CDM inaaminiwa na Wananchi kama ulivyokuwa kabla ya 2015?. Jifunze kuupokea ukweli mchungu!
Watanzania wamedanganywa kwamba siasa ni uwongo na kupindisha maneno, matokeo yake watu wanaamini siasa ni ujanjaujanja...
 
Na hakuna mfuasi wa Lissu yupo tayari kusema Lissu alifanya kitu gani TLS kama Rais wake. Zaidi alikuwa white elephant ofisini!
 
Sasa unaongea upuuz gani. Huyo ayatollah si ndio one man show. Lissu hana u one man show
 
Makamu mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Lissu amesema kwa sasa chama chao kimepoteza Imani kwa Wananchi

Lissu amesema ili Chadema iaminike ppendwe na kuthaminiwa tena na Wananchi ni Lazima ipate Nahodha mpya

Mlale Unono 😄
Huo ndio ukweli, cdm imepoteza imani hadi kwa wanachama wake.
Mbowe amekuwa kigeugeu na mtu asiyeaminika,wengi wanamuona kama chawa wa ccm
 
Mbona unepaniki? Relax dogo. Usultani utakomeshwa soon na dunia itajifunza demokrasia kwa vitendo kupitia cdm
 
Ukweli mchungu CDM hakipendwi tena na vijana
 
Makamu mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Lissu amesema kwa sasa chama chao kimepoteza Imani kwa Wananchi

Lissu amesema ili Chadema iaminike ppendwe na kuthaminiwa tena na Wananchi ni Lazima ipate Nahodha mpya

Mlale Unono 😄
Lissu ni kiumbe wa tofauti sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…