Pre GE2025 Tundu Lissu: Ili tuweze kushinda uchaguzi lazima tuwe na bunduki kama wao. Ikulu ndio inaamua wizi wa Kura!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
CCM wakae vizuri sasa
 
Hoja nzur,

Tatizo unazuia vipi uchaguzi?

Watu wana ndoto zao..., suo kujiunga na chama tu ili kupiga makofi..

Lakini zaidi , Huo ukata wa fedha anaouona hapo chama kisipo shiriki uchaguzi kitageuka chama fukara na watahongwa mwanzo mwisho na ndio end of the good days ya CDM .
 
Ukweli mchungu ni kwamba waliopo madarakani wanaona kuwa wao Wana haki ya kufanya Kila ukandamizaji na ukiukwaji wa haki so kauli ya Lisu cjaipenda ila watawala wajiangalie
Ata usipoipenda kauli ya lisu haisaidii kitu ndio imeshaenda viral na ujumbe umefika ulipohitajika kufika, hamna muda wa kulambana miguu
 
Ukweli mchungu ni kwamba waliopo madarakani wanaona kuwa wao Wana haki ya kufanya Kila ukandamizaji na ukiukwaji wa haki so kauli ya Lisu cjaipenda ila watawala wajiangalie
Hujamwelewa Lissu!

Lissu anasema kwa hali iliyopo ambayo Polisi wanaingiza masanduku ya kura kwa mtutu wa Bunduki ili kuharibu Uchaguzi, Wapinzani wakitaka kushinda uchaguzi inawabidi nao kushika bunduki kupambana ns polisi wanaotumika.

Amesisitiza hatupaswi kufika huko akimaanisha tufanye Reforms za Katiba na Sheria za Uchaguzi kuepusha kuwafanya watu kufikiri kushika Bunduki ili washinde uchaguzi.
 
Tapeli la kisiasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…