Pre GE2025 Tundu Lissu: Ili tuweze kushinda uchaguzi lazima tuwe na bunduki kama wao. Ikulu ndio inaamua wizi wa Kura!

Pre GE2025 Tundu Lissu: Ili tuweze kushinda uchaguzi lazima tuwe na bunduki kama wao. Ikulu ndio inaamua wizi wa Kura!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mbona mwaka 2015 -20 walikuwa na wabunge wengi na madiwani wengi, ni Reforms gani zilifanywa?
WEWE NI MALAYA WA KISIASA ,UNATUMIA MAKALIO NA TUMBO KUFIKIRIA ,KWELI SIASA ZA MWAKA 2015-2020 WAKATI WA KIKWETI ULIZISHUHUDIA?MABOX YA KURA YALIKUWA HAYA HESABIWI?UMESAHAU KUWA HIZI REFORM SIMEHARIBIWA NA ULE MZOGA WA CHATO?
 
Gentleman,
mnazungumzia kibaka na tapeli wa siasa za Chadema sio au?🐒

Kwamba waliomo na wasiokuwamo:

GkQoNSmWMAABYbZ.jpg


Au nasema uongo?
 
Duuuuh kwahiyo Hizo bunduki zitatumika kumuua Nani?

Wana uhakika hazitaua watoto, wanawake au watu wasio kuwa na muda wa kujua au kujali ni nani yupo madarakani?

Kwahiyo wanamaanisha kila raia asieridhika na sheria au kanuni fulani ya nchi ashike bunduki?

Kama haya ndio mawazo ya kuzuia uchaguzi mwaka huu. Wahusika warudi wakakae tena waje na mbinu nyingine.

Amani ya nchi ni bora zaidi sana kuliko matamanio ya wanasiasa kutaka madaraka ya nchi.
 
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Taifa, Tundu Lissu akizungumzia harakati za 'No Reform No Election' amedai kuwa "Ilituweze kushinda uchaguzi lazima tuwe na bunduki kama wao. Ikulu ndio inaamua wizi wa kura"

"Watu wetu wa leo ni welevu kuliko miaka 10 iliyopita, mwaka jana muliweka wagombea wa nafasi zote zinazogombaniwa hapa Kibamba na sehemu kubwa walienguliwa, mkatumia nguvu kubwa kuwarudisha, wakarudishwa baadhi alafu siku ya tarehe 27 mkashughulikiwa vizuri zaidi, matokeo yakatangazwa kwa mitutu ya bunduki ndio maana hamna Mwenyekiti wa mtaa hata mmoja, sio kwasababu mmekuwa wajinga kuliko mlivyokuwa miaka 10 iliyopita ni kwasababu sasa hivi ilitushinde uchaguzi inabidi tuwe na bunduki kama wao"

Lissu ameendelea kwa kusema: "Katika mazingira ya uchaguzi wa sasa ili tushinde uchaguzi inabidi tuwe na bunduki kama wao, ili wasiweze kutumia bunduki zao kuingia vituoni kwa nguvu na kuchukua masanduku ya kura kwa nguvu,"

Lissu amehoji: "kama na sisi tukiwa na bunduki hiyo nchi itakuwaje?, patakua na pakukaa hapo?, ndivyo wanavyotaka?

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa:
Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea
Amani ya nchi muhimu kuliko uchu wa madaraka wa wanasiasa.

My Take: Serikali yetu Sikivu, Viongozi wa Dini, Wafanyabiasha na Makundi mbalimbali ya kijamii, vyama vyote vya siasa, majeshi yote wakutane pamoja na kuangalia namna gani bora ya kumaliza huu mkwamo wa kisiasa.

Waongozaji wa mjadala wawe viongozi wa dini, waliosoma na kupata uelewa sio mradi anaitwa mchungaji au anaitwa Sheikh... No. Wawe wanazuoni kweli kweli na non biased!
 
Shida ya siasa ni kuwa asaivi wapinzani wanagusa sehemu muhimu zinazotaka mabadiliko huku wananchi wakiwaunga mkono kwa nguvu zote

Sasa ngoja mifumo ibadilishwe either kwa umwagaji damu ama vinginevyo na wapinzani washike nchi, cha kwanza kabisa wataanza na kubadilisha mifumo tena na kurudisha Ile Ile ya mwanzo ili nao watawale milele

Reference ya hili ni Zambia ya Hechilema Hekainde na Kenya ya Ruto

In fact siasa ni upuuzi kwa mtu wa kawaida ila ni mtaji kwa mtu alie siasani nawasihi mliosiasani pambanieni mitaji yenu

By somebody from isimikinyi
 
WEWE NI MALAYA WA KISIASA ,UNATUMIA MAKALIO NA TUMBO KUFIKIRIA ,KWELI SIASA ZA MWAKA 2015-2020 WAKATI WA KIKWETI ULIZISHUHUDIA?MABOX YA KURA YALIKUWA HAYA HESABIWI?UMESAHAU KUWA HIZI REFORM SIMEHARIBIWA NA ULE MZOGA WA CHATO?
Wewe ni malaya muuza mwili pale Kitambaa cheupe. Unaingiliwa kinyume na maumbile
 
Unajua mwaka huo jimboni kwa Lissu ilibidi Wananchi watake kuchoma Ofisi ya Mkurugenzi wa Halmashauri ndipo Lissu alitangazwa kuwa Mbunge?

Unajua same applies to Sugu wananchi walilianzisha kweli?

Na unajua pia yaliyofanyika uchaguzi wa Serikali za Mitaa mwaka 2019? Au uchaguzi mkuu mwaka 2020? Au tuseme umejisahaulisha yaliyofanyika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa mwaka jana ambapo mkwe wa Rais Mchwngerwa na watu wake waliengua karibu asilimia 90 ya wagombea wa upinzani?

View: https://youtu.be/_UuirGrqyCM?si=ZzsSRoj3Pr9Uao6w
 
Ccm wanaiba sana kura kupitia vyombo vya dola,wapinzani hawaezi shinda kwa kutegemea sanduku la kura mana kijani wameshalinajisi,tumieni mbinu nyingine.
 
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Taifa, Tundu Lissu akizungumzia harakati za 'No Reform No Election' amedai kuwa "Ilituweze kushinda uchaguzi lazima tuwe na bunduki kama wao. Ikulu ndio inaamua wizi wa kura"

"Watu wetu wa leo ni welevu kuliko miaka 10 iliyopita, mwaka jana muliweka wagombea wa nafasi zote zinazogombaniwa hapa Kibamba na sehemu kubwa walienguliwa, mkatumia nguvu kubwa kuwarudisha, wakarudishwa baadhi alafu siku ya tarehe 27 mkashughulikiwa vizuri zaidi, matokeo yakatangazwa kwa mitutu ya bunduki ndio maana hamna Mwenyekiti wa mtaa hata mmoja, sio kwasababu mmekuwa wajinga kuliko mlivyokuwa miaka 10 iliyopita ni kwasababu sasa hivi ilitushinde uchaguzi inabidi tuwe na bunduki kama wao"

Lissu ameendelea kwa kusema: "Katika mazingira ya uchaguzi wa sasa ili tushinde uchaguzi inabidi tuwe na bunduki kama wao, ili wasiweze kutumia bunduki zao kuingia vituoni kwa nguvu na kuchukua masanduku ya kura kwa nguvu,"

Lissu amehoji: "kama na sisi tukiwa na bunduki hiyo nchi itakuwaje?, patakua na pakukaa hapo?, ndivyo wanavyotaka?

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa:
Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Huu ni Ukweli mchungu Sana
 
Back
Top Bottom