Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 15,101
- 56,054
Kama namuelewa elewa vile.
Watawala wa Afrika ndiyo husababisha machafuko katika nchi zao kwa sababu ya kiburi, dhulma na ulevi wa madaraka.
Bongo siyo kisiwa na wabongo siyo specie tofauti, ukizidisha dhulma juu yao watakiwasha kweli!
Watawala wa Afrika ndiyo husababisha machafuko katika nchi zao kwa sababu ya kiburi, dhulma na ulevi wa madaraka.
Bongo siyo kisiwa na wabongo siyo specie tofauti, ukizidisha dhulma juu yao watakiwasha kweli!