Pre GE2025 Tundu Lissu: Ili tuweze kushinda uchaguzi lazima tuwe na bunduki kama wao. Ikulu ndio inaamua wizi wa Kura!

Pre GE2025 Tundu Lissu: Ili tuweze kushinda uchaguzi lazima tuwe na bunduki kama wao. Ikulu ndio inaamua wizi wa Kura!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Balance of Power huwezi kuipata kama katika kundi kiongozi mmojawapo akiwa mlafi na dikteta.
Mkuu Extrovert Kwema?

Siasa za Tanzania kwa ujumla wake huwa zina ghiliba na uwongo mwingi sana...., as a fact tumepata wanasiasa wanaofanana au wanaotofautiana kwa kias kidogo sana...

Ushabiki ni hatari sana kipindi hiki, lakini misimamo ni muhimu.

Tuupe muda muda nafasi.
 
Kila mtu anaetaka kulamba asali utamsikia anasifia mama mama mama daah inachoshaaaa. Upuuzi mtupu
 
Wewe chawa, kafuate boxer yente picha ya mama. Chawa akili ya kutafakari utaipata wapi? Wewe akili uliyobakiziwa ni ya kusifia tu!!
Hata wewe ni chawa wa Lissu, nawe kafute picha ya picha ya Lissu kwenye tako lako
 
Ukicheka na nyani utavuna mabua, nlisema lisu ni activist huyu jamaa wasipotafuta namna ya kumwondoa mapema taifa litaingia kwenye vurugu zitakazotugarimu maisha ya watanzania wengi. Wazungu wanaona hizi kauli na wanazisikia, lazima wampe siraha na populality ya kutosha dunia nzima. Ningekuwa mm ningempa alichokikosakosa. And this time asingekikosa tena
 
Unajua g
Yuko sahihi bila kukiwasha hakuna mabadiliko yeyote yatatokea..

Nimeandika hapa

harsma ya kukiwasha au unaongea tu
 
Alikuepo ikulu,
Na dogo kaita press na kukuita "Dikteta uchwara" mbele ya vyombo vyote vya habari dunia nzima.
Mliona kilichompata laiki leo hii anatembelea mavyumma. Mnampa uenyekiti kichaa, chadomo wote mtaonekana vichaa vichaa tu
 
Unajua mwaka huo jimboni kwa Lissu ilibidi Wananchi watake kuchoma Ofisi ya Mkurugenzi wa Halmashauri ndipo Lissu alitangazwa kuwa Mbunge?

Unajua same applies to Sugu wananchi walilianzisha kweli?

Na unajua pia yaliyofanyika uchaguzi wa Serikali za Mitaa mwaka 2019? Au uchaguzi mkuu mwaka 2020? Au tuseme umejisahaulisha yaliyofanyika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa mwaka jana ambapo mkwe wa Rais Mchwngerwa na watu wake waliengua karibu asilimia 90 ya wagombea wa upinzani?
Mkuu ukifuatilia sasa hivi kuhusu wasimamizi wa uchaguzi CCM wako makini sana, wanatumia mbinu walizotumia CDM kipindi hicho.
Sasa ukiangalia uwezo wa kipesa wa CCM Lissu ajipange.
 
Lissu anaongea ukweli ulionyooka sana.

Kwa hali ilivyo. Bila Reforms, ili Wapinzani washinde uchaguzi huu chini ya CCM lazima wawe waasi kama M23.

CCM wanalipeleka Taifa hili pabaya sana.
Huyu mropokaji familia yake iko nje ya nchi, anataka kutuletea machafuko. Kuongoza chama mwezi mmoja tu kashindwa anataka kukigeuza kuwa kikundi cha mungiki.
 
Uwa sielewagi kwanini mtu mwenye akili timamu anakua mwanachama wa CCM...unakuta bongo flavour wote na bongomuvi wote wanashabikia CCM..in real sense bila nguvu ya rushwa this can never be possible...Chama kinanuka rushwa ya waziwazi unawezaje kukishabikia?!
 
Huyu mropokaji familia yake iko nje ya nchi, anataka kutuletea machafuko. Kuongoza chama mwezi mmoja tu kashindwa anataka kukigeuza kuwa kikundi cha mungiki.
Kuna anayetaka kukuletea machafuko zaidi ya yule anayeengua wagombea wengine kwenye uchaguzi na kuiba kura za wananchi kwenye uchaguzi?
 
Huyu mropokaji familia yake iko nje ya nchi, anataka kutuletea machafuko. Kuongoza chama mwezi mmoja tu kashindwa anataka kukigeuza kuwa kikundi cha mungiki.

Wewe kakae nyumbani, wanaume waingie mzigoni wakuletee reforms za kukusaidia wewe na kizazi chako.

Hii siyo shughuli ya watu waogawaoga!
 
Wewe kakae nyumbani, wanaume waingie mzigoni wakuletee reforms za kukusaidia wewe na kizazi chako.

Hii siyo shughuli ya watu waogawaoga!
Hiki ni kichekesho yani Lissu ndio alete reform?? Hana fikra wala uwezo huo. Anawaseti tu nyumbu ili apige michango yenu.
 
Waarabu matajiri ndio wafadhili wa vikundi vya ugaidi.
USA
Hujamsikia yule senator akiongea kwenye bunge lao?
Wanaovuruga dunia hii ni wazungu
Hapa tuweke pembene Udini na upendo wa sehemu moja
Huenda nao waarabu wamo ila hujasema ni kina nani na nani?
Ila nimeona allegations nyingi kuhusu funding kwa terror groups
 
Back
Top Bottom