Uchaguzi 2020 Tundu Lissu is not Presidential Material

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu is not Presidential Material

  1. Lissu atafaa kwa 2025 na sio 2020
Anaweza akawa lakini inavyo onekana yeye na Magufuli hawana tofauti kubwa sana kitabia. Wote ni arrogant na ni watu wabishi sana. Tofauti zao ziko katika uzalendo. Magufuli ni mzalendo wa damu. Yuko tayari ku sucrfyce maisha yake kwa uzalendo wake lakini Lissu sio mzalendo kabisa na yeye yuko tayari kupoteza maisha yake maadam ashinde. Kushinda binafsi ni kitu kikubwa sana. Kitendo cha kushindwa hakimpendezi Lissu. Ni mtu ambaye anataka madaraka kwa nguvu. Yuko tayari wananchi wake wapate shida maadam anapata anacho kitaka ambacho ni ushindi wake binafsi wa madaraka.

Lissu ni mtu dhaifu sana. Ni mtu ambaye hajiamini mwenyewe ukilinganisha na Magufuli mbele ya wazungu. Wazungu watakacho sema yuko tayari kukubaliana nacho maadam yeye binafsi anafaidika.

Kingine ambacho Magufuli anacho ni kupenda maendeleo. Magufuli anapenda sana Maendeleo ya nchi yake. Yuko tayari asiwe na hela mfukoni, lakini hela zake zinatumika ipasavyo katika kuleta maendeleo ya nchi yake.

Katika starehe wote wako karibu sawa. Sio watu ambao wanapenda sana party kama baadhi ya viongozi wengine kama Kikwete alivyo kuwa. Kwa hali hiyo sio watumiaji ovyo wa hela kwa faida zao.

Wote ni wachapa kazi wazuri japo kuwa hapa Magufuli amemzidi Lissu kidogo hasa tukizingatia point moja, Magufuli anapenda sana kila kitu kifanyike acuratly.

Katika ukabila Lissu ni liberal. Hana ukabila at all. Kila mtu kwake yuko sawa. Naweza sema Lisu ni mzaramo kuliko hata mzaramo mwenyewe. Ni mbongo wa Dar haswa. Magufuli kwa upande mwingine ana ukabila kidogo. Bado watu wa Kanda ya ziwa wana advantage kidogo kwake kuliko watu wa kusini mwa Tanzania. Sielewi kwa nini plan ya reli ya standard gauge na treni ya umeme isijengwe pia kusini mwa Tanzania?

Kwa hali hiyo kushinda urais itakuwa vigumu kwa Lissu. Inabidi awe mzalendo wa kweli kama Magufuli itamsaidia sana. Vinginevyo itakuwa vigumu. Magufuli katika uzalendo ameweka stage kubwa sana kwa watanzania kiasi kwamba wagombea urais wa baadaye watakuwa na shida sana.

Ni mtazamo wangu tu.
 
Magufuli is still the great, the champion, we need him for more 60years..
 
Now that Tundu Lissu has made some progress in his convalescence, it is of no surprise that he has decided to get back into the fray.

He has done several interviews with both foreign and domestic media outlets, he has penned a letter from a Nairobi hospital bed, and lastly held a presser In Nairobi right before his voyage to Belgium. I wonder if we’ll also get a ‘letter from a rehab room in Brussels or wherever he’s at in Belgium. We shall see.

Having done all that, he is also now fair game. It’s now okay to respond to him, to attack him [not physically], to criticize him, etc.

Because he has basically picked up where he left off, I’m starting to hear some folks in certain quarters float his name as a potential 2020 presidential candidate. Perhaps these folks think he has shown he has what it takes to take on the JPM in the next presidential contest. That’s fine. Nothing wrong with that. If I were him I’d probably try to parlay the notoriety I’ve gained over these past two years into something bigger, like the presidency.

But I’ve said it so many times, right here and elsewhere, that he is not a presidential material. He is, at best, a political gadfly, and maybe, at worst, a rabble-rouser.

A presidential material, he is not.

Just my two cents from a distance. I wish you all a happy Sunday!

NB: HICHO KICHWA CHA MADA SIYO CHANGU. NI CHA KWAO JAMIIFORUMS. WAMENIBADILISHIA. SIKUBALIANI NA KITENDO CHAO.
Iq ya nyani kweli, subiri 2020
 
Wow....your English is hard! Teh teh teh

The question remain, is the current president of URT a "presidential material"? What does a "presidential material" look like? And who is a "presidential material"?
 
dogo. Lissu Yuko Brussels anakutana na delegation ya EU. pia atakutana UN, IMF na Word Bank

kwa heshima aliyonayo ni zaidi ya uraisi wenu wa pale ferry kwenye harufu mbaya.

we pamoja na kuwa mtumwa wa kingereza uchwara, huwezi pata hiyo nafasi ya kukutana viongozi wa dunia.
hata bwanako magu hana ubavu sa kuzungumza na dunia
Akiwa ubelgiji hats omba omba hatakutana naye. Anaumwa no mgonjwa.
 
Now that Tundu Lissu has made some progress in his convalescence, it is of no surprise that he has decided to get back into the fray.

He has done several interviews with both foreign and domestic media outlets, he has penned a letter from a Nairobi hospital bed, and lastly held a presser In Nairobi right before his voyage to Belgium. I wonder if we’ll also get a ‘letter from a rehab room in Brussels or wherever he’s at in Belgium. We shall see.

Having done all that, he is also now fair game. It’s now okay to respond to him, to attack him [not physically], to criticize him, etc.

Because he has basically picked up where he left off, I’m starting to hear some folks in certain quarters float his name as a potential 2020 presidential candidate. Perhaps these folks think he has shown he has what it takes to take on the JPM in the next presidential contest. That’s fine. Nothing wrong with that. If I were him I’d probably try to parlay the notoriety I’ve gained over these past two years into something bigger, like the presidency.

But I’ve said it so many times, right here and elsewhere, that he is not a presidential material. He is, at best, a political gadfly, and maybe, at worst, a rabble-rouser.

A presidential material, he is not.

Just my two cents from a distance. I wish you all a happy Sunday!

NB: HICHO KICHWA CHA MADA SIYO CHANGU. NI CHA KWAO JAMIIFORUMS. WAMENIBADILISHIA. SIKUBALIANI NA KITENDO CHAO.
Chako uliandikaje ili tujue? Sisi tutafuata chako chao tutawaachia wenyewe. Kwahiyo huyu mnyapala wa Barabara ndio malighafi ya urais?
 
kuhusu 2020 LISSU kugombea uraisi au huenda apite au asipite bado JPM atakuwa rais.
Kama kuna free and fair elections, Magufuli has no chance. Ila kwa kuwa tupo under police ‘skunk’ state, tukitawaliwa na chama dola, basi upo sahihi!
 
Now that Tundu Lissu has made some progress in his convalescence, it is of no surprise that he has decided to get back into the fray.

He has done several interviews with both foreign and domestic media outlets, he has penned a letter from a Nairobi hospital bed, and lastly held a presser In Nairobi right before his voyage to Belgium. I wonder if we’ll also get a ‘letter from a rehab room in Brussels or wherever he’s at in Belgium. We shall see.

Having done all that, he is also now fair game. It’s now okay to respond to him, to attack him [not physically], to criticize him, etc.

Because he has basically picked up where he left off, I’m starting to hear some folks in certain quarters float his name as a potential 2020 presidential candidate. Perhaps these folks think he has shown he has what it takes to take on the JPM in the next presidential contest. That’s fine. Nothing wrong with that. If I were him I’d probably try to parlay the notoriety I’ve gained over these past two years into something bigger, like the presidency.

But I’ve said it so many times, right here and elsewhere, that he is not a presidential material. He is, at best, a political gadfly, and maybe, at worst, a rabble-rouser.

A presidential material, he is not.

Just my two cents from a distance. I wish you all a happy Sunday!

NB: HICHO KICHWA CHA MADA SIYO CHANGU. NI CHA KWAO JAMIIFORUMS. WAMENIBADILISHIA. SIKUBALIANI NA KITENDO CHAO.
Labda kama sielewi maana ya "presidential material" kwa maneno ya kiswahili maneno haya ya kiingereza yanaimanisha mtu "afaae kuwa rais" kama tafsiri hii ambayo sio rasmi inaakisi ukweli basi sio sahihi kusema Mhe. Tundu Lissu hafai kuwa rais wa nchi (kwa maana hata sasa yeye ni "Rais wa chama cha wanasheria wa Tanganyika"). Kuwa rais hakuna maana ya kuwa rais bora na ubora wa rais unatokana na matendo yake kukidhi matarajio ya wananchi. Hata baba wa Taifa ubora wake bado unazua mabishano makali na majadala mrefu. Ubora unatokana na ulinganisho kati ya rais wa awamu moja na nyingine.
Kwa maoni yangu, kama Dr. John Joseph Pombe Magufuli ameweza kuwa rais na inaonekana yapo maeneo ambayo anayafanya vizuri;anaye sema Mhe. Tundu Lissu hafai kuwa rais naamini hawezi kuwa sahihi. Endapo akijitokeza kugombea urais, akadhaminiwa na chama cha siasa, akapigiwa kura na wapinga kura, akatangazwa na Tume ya Uchaguzi, akaapishwa kwa mujibu wa sheria ni nini kitamzuia kuwa rais?
 
dogo. Lissu Yuko Brussels anakutana na delegation ya EU. pia atakutana UN, IMF na Word Bank

kwa heshima aliyonayo ni zaidi ya uraisi wenu wa pale ferry kwenye harufu mbaya.

we pamoja na kuwa mtumwa wa kingereza uchwara, huwezi pata hiyo nafasi ya kukutana viongozi wa dunia.
hata bwanako magu hana ubavu sa kuzungumza na dunia

[emoji1532][emoji1532][emoji1532][emoji1532][emoji1532][emoji1532]
 
There is no genuine reason behind your argument, if I were you, I would have kept quiet because silence is golden, una kipimometer gani ulichokitumia kujua hana sifa.
 
Mmmmmm; we forget what we write! Also we forget what others say:
Recall In 2005 you were upbeat, and adamantly that Barack Obama will loose, with your many songsfor John McCain Barack triumphed

Barack himself, in 2016 pointed out arrogantly that Trump would not even smell the POTUS, Donald won it.

Your brother attempted to assainate a politician, violent assassination by WMD is criminal by nature. He was supposed to protect him. That is what the constitution says. Remember that Nyerere could have assassinated a lot but either jailed them or kept them in dentation.

For Lisu this is a starting point, he will not be the URT president today, but your brother in an unlikely event of political turnaround he is going to be jailed

ha ha ha, kazi ipo!!
 
..yuko kisheria-sheria sana.

..inabidi aanze kuchambua na kuchangia maeneo mengine kama kilimo, elimu, viwanda, fedha, uchumi, etc.

..If I was the Leader of the Opposition, I would reshufle my cabinet and appoint Tundu to ministries such as Agriculture, Industries,...in order to give him exposure on the challenges our country is facing in those sectors.

..I am not questioning his values or work ethics, I just think he has to prove that he is more than just a human rights activist.

...nakubaliana na wewe. Maana tunaona Magufuli alivyo ki-barabara na mechanical, na hasara yake kwa taifa. Na siyo kisayansi kama baadhi ya fanatics wake wanavyomtetea!!

Na wazo la Lissu kupewa wizara ya kilimo ni zuri sana! Kwa kweli sekta ya kilimo, serikali (post-Nyerere) zote hazijawahi kukipa kipaumbele kinachostahili. Lissu akipata exposure na uelewa wa matatizo ya kilimo na masuluhisho yake, basi atakuwa candidate mzuri sana.
 
Nakubaliana na Nyani Ngabu, JokaKuu na Pascal Mayalla.

Tusijadili ‘presidential material’ kwa kuwaangalia akina Magufuli, Kikwete, na Mwinyi. Hawa si benchmark, maana hawafai hata kidogo.

Ila naamini Lissu hayupo mbali sana na kuwa presidential material. Nchi nyingi duniani (mf. Marekani) marais uwa wanasheria. Naamini kwamba Rais kama CEO wa taifa ni muhimu sana awe acquainted na sheria kwanza. Kisa masuala ya kodi na fedha, na sekta nyingine ambayo ni muhimu zaidi kwenye taifa. Kwa Tanzania, sekta hiyo ni kilimo. Ndiyo maana nimekubaliana na wazo la JokaKuu juu ya Lissu kupewa wizara kivuli ya kilimo.
 
Nakubaliana na Nyani Ngabu, JokaKuu na Pascal Mayalla.

Tusijadili ‘presidential material’ kwa kuwaangalia akina Magufuli, Kikwete, na Mwinyi. Hawa si benchmark, maana hawafai hata kidogo.

Ila naamini Lissu hayupo mbali sana na kuwa presidential material. Nchi nyingi duniani (mf. Marekani) marais uwa wanasheria. Naamini kwamba Rais kama CEO wa taifa ni muhimu sana awe acquainted na sheria kwanza. Kisa masuala ya kodi na fedha, na sekta nyingine ambayo ni muhimu zaidi kwenye taifa. Kwa Tanzania, sekta hiyo ni kilimo. Ndiyo maana nimekubaliana na wazo la JokaKuu juu ya Lissu kupewa wizara kivuli ya kilimo.

Marekani marais wote si wana sheria. Actually breakdown ya wanasheria na walio sio wanasheria ni almost half and half.
 
Marekani marais wote si wana sheria. Actually breakdown ya wanasheria na walio sio wanasheria ni almost half and half.
Marais 25 kati ya 45 walikuwa na taaluma ya sheria. Hii ni kama 56% ya marais wote buda!
 
Back
Top Bottom