Jamaa anataka kukwepesha. Uzee mbaya sana, miaka 50 lakini kufikiria kama miaka 18. Wanasema Mbwa ukishamjua hakupi tabu. Upande anaolalia unajulikana. Kwa sasa Tanzania kila mtu anaweza kuwa Rais. Hatuna materials, laiti tungekuwa nayo kuna wengine wasingekuwa maraisMarais 25 kati ya 45 walikuwa na taaluma ya sheria. Hii ni kama 56% ya marais wote buda!
Marais 25 kati ya 45 walikuwa na taaluma ya sheria. Hii ni kama 56% ya marais wote buda!
1. Hana track record ya uongozi mzuri. Ana track record ya ukosoaji mkubwa.
2. Hana temperament ya kuweza kuwa rais. Ni mtu wa mihemko zaidi.
3. Ni hodari wa kutafuta kasoro kuliko kutafuta ufumbuzi.
4. Zaidi ya mambo ya sheria, hajaonyesha kuwa anayaelewa mambo mengine.
5. Hana principles kama alivyoonyesha kipindi walichobadili gia angani.
6. Vipi, niendelee au nizame ndani zaidi kwenye hizo sababu tano nilizoziweka?
NA WEWE UNAAMINI NAITWA "UngaUnga?Pia unaamini naitwa Nyani Ngabu eeh?
NA WEWE UNAAMINI NAITWA "UngaUnga?
WEWE CHOKA MBAYA !
Hata kama watamsikiliza Lisu hawezi kutetea hoja yake kua ' VYOMBO VYA DOLA NDIVYO VILIVYO MSHAMBULIA' ati kwa sababu Polisi wameshindwa kuwakamata wahusika!
Tukijikunbusha kuna matukio mengi ya aina hii nchini kwetu na kote duniani ambako mashambulizi ya aina hiyo yamefanyika na wahusika kutojulikana. Polisi walishambuliwa pale Sitaki Shari, Mbagala na wale polisi Tisa waliouwawa kwa PAMOJA nikitaja kwa uchache lkn sijawahi sikia kama wahusika wamekamatwa, je, hayo yametekelezwa na 'Vyombo vya dola' dhidi ya Polisi? Lah hasha ! Hiki ni kielelezo kinachoonyesha kukua kwa uhalifu na kwamba jamii inatakiwa kujua hivyo!
Hii hali ya kuiaminisha Jamii kua ni 'DOLA' inahusika na haya mauaji INATENGENEZWA na ni taaluma pia ya uhalifu!
Ukiangalia namna uhalifu huu unavyofanyika kuanzia kule Arusha shambulizi lililofanywa kwenye mkutano wa kisiasa wa wapinzani ktk mazingira ambayo Polisi WALIKUEPO ili kujenga Dhana kua ni POLISI! Lililenga kuleta mtafaruku kati ya raia na Polisi na pia serekali Yao!
Ni kweli usiopingika kua Mh. Lisu ametendewa Unyama wa hali ya juu kama ilivyotokea kwa wale Askari 9 au wale wanne pale CRDB mbagala!
Nadhani ni Haki kwa Mh. Lisu kudai waliomfanyia unyama wakamatwe na kushtakiwa lkn itakua ni KUKOSA UZALENDO kukubali KUTUMIKA kuichafua Tanzania kimataifa kupitia tukio hili kwani kufanikiwa kwa Mipango hiyo kutawanufaisha zaidi WALIOUANDAA ambao ni WANUFAIKA wa raslimali za watanzania.
Ni AIBU kwa mtu anaedhaniwa kua na akili nyingi kama Mh. Lisu kuomba Nchi yake ipate MATATIZO, kwa kutoa mwito kimataifa kua tunyimwe misaada nk , ktk hali ya kushangaza zaidi ni kua kuna watanzania wachache wanaofurahia ujinga huu!
Who is a Presidential Material then? even a Madman can become president in Africa.Now that Tundu Lissu has made some progress in his convalescence, it is of no surprise that he has decided to get back into the fray.
He has done several interviews with both foreign and domestic media outlets, he has penned a letter from a Nairobi hospital bed, and lastly held a presser In Nairobi right before his voyage to Belgium. I wonder if we’ll also get a ‘letter from a rehab room in Brussels or wherever he’s at in Belgium. We shall see.
Having done all that, he is also now fair game. It’s now okay to respond to him, to attack him [not physically], to criticize him, etc.
Because he has basically picked up where he left off, I’m starting to hear some folks in certain quarters float his name as a potential 2020 presidential candidate. Perhaps these folks think he has shown he has what it takes to take on the JPM in the next presidential contest. That’s fine. Nothing wrong with that. If I were him I’d probably try to parlay the notoriety I’ve gained over these past two years into something bigger, like the presidency.
But I’ve said it so many times, right here and elsewhere, that he is not a presidential material. He is, at best, a political gadfly, and maybe, at worst, a rabble-rouser.
A presidential material, he is not.
Just my two cents from a distance. I wish you all a happy Sunday!
NB: HICHO KICHWA CHA MADA SIYO CHANGU. NI CHA KWAO JAMIIFORUMS. WAMENIBADILISHIA. SIKUBALIANI NA KITENDO CHAO.
A gadfly.Kwani Wewe kichwa chako cha habari kilisomeka vp!?
Wapi nilisema wote mzeeiya?Na hata 56% siyo 100% [ambayo ni wote].
Wapi nilisema wote mzeeiya?
Amani mzee. Bado naamini kuwa na uelewa mkubwa wa sheria ni sifa ya muhimu sana kwa mtu kuwa ‘presidential material’. Kwani nchi inaongozwa kwa mujibu wa Katiba na sheria.Sijasema umesema. Ila ulivyosema pale mwanzo hukuweka breakdown nami ndo nikakukumbusha kuwa idadi yao hao wanasheria siyo overwhelming kivile.
Kwanza katika miaka zaidi ya 40 sasa lawyers ni wawili tu kati ya marais 7! Ulikuwa unalijua hilo?
Amani mzee. Bado naamini kuwa na uelewa mkubwa wa sheria ni sifa ya muhimu sana kwa mtu kuwa ‘presidential material’. Kwani nchi inaongozwa kwa mujibu wa Katiba na sheria.