Uchaguzi 2020 Tundu Lissu is not Presidential Material

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu is not Presidential Material

zitto junior ,

..ccm wanapenda mtu mnyonge-mnyonge ambaye atawanyenyekea saa zote.

..TL ni msomi, ana uwezo wa kujieleza, si mla rushwa, na ni jasiri ktk kutetea HAKI wakati wote na mahali popote.

..Wote walioisumbua ccm walimalizwa kwa namna moja au nyingine. Hapa nitakukumbusha watu kama Dr.Masumbuko Lamwai, Prof.Lipumba, Agustino Mrema, Mchungaji Mtikila,..wote hao walikuwa na weakness flani ambayo CCM walii-exploit wakaweza kuwadhibiti.

..Sasa TL alikuwepo tangu 1995 akiwa NCCR na aligombea ubunge na kushindwa. Muda wote huo mpaka leo amepita mitego na majaribu mengi lakini kubwa kuliko lote ni jaribio la kutaka kumuua.

..Inawezekana jaribio hilo lilitokana na frustrations za ccm kushindwa kumthibiti TL hivyo ikaonekana solution ni kumuua.
 
Wow!

I wrote this over two years ago?

..I feel like quoting myself.

..Niliyoyasema kuhusu TL yanadhihirika sasa hivi.

..Nadhani kutokuwepo kwa TL nchini kumemuathiri hata Jpm.

..Jpm amezungukwa na vibaraka ambao hawamwambii ukweli.

..TL ndiyo angeweza kuwa anamrekebisha Jpm mahali anapopinda-pinda.
 
..I feel like quoting myself.

..Niliyoyasema kuhusu TL yanadhihirika sasa hivi.

..Nadhani kutokuwepo kwa TL nchini kumemuathiri hata Jpm.

..Jpm amezungukwa na vibaraka ambao hawamwambii ukweli.

..TL ndiyo angeweza kuwa anamrekebisha Jpm mahali anapopinda-pinda.
Kutokuwepo kwa Lissu nchini kumemuathiri vipi JPM?
 
Now that Tundu Lissu has made some progress in his convalescence, it is of no surprise that he has decided to get back into the fray.

He has done several interviews with both foreign and domestic media outlets, he has penned a letter from a Nairobi hospital bed, and lastly held a presser In Nairobi right before his voyage to Belgium. I wonder if we’ll also get a ‘letter from a rehab room in Brussels or wherever he’s at in Belgium. We shall see.

Having done all that, he is also now fair game. It’s now okay to respond to him, to attack him [not physically], to criticize him, etc.

Because he has basically picked up where he left off, I’m starting to hear some folks in certain quarters float his name as a potential 2020 presidential candidate. Perhaps these folks think he has shown he has what it takes to take on JPM in the next presidential contest. That’s fine. Nothing wrong with that. If I were him I’d probably try to parlay the notoriety I’ve gained over these past two years into something bigger, like the presidency.

But I’ve said it so many times, right here and elsewhere, that he is not a presidential material. He is, at best, a political gadfly, and maybe, at worst, a rabble-rouser.

A presidential material, he is not.

Just my two cents from a distance. I wish you all a happy Sunday!

NB: HICHO KICHWA CHA MADA SIYO CHANGU. NI CHA KWAO JAMIIFORUMS. WAMENIBADILISHIA. SIKUBALIANI NA KITENDO CHAO.
Kwa hiyo presidential material ni yule anayemwoza mama yake barabarani?
 
Kutokuwepo kwa Lissu nchini kumemuathiri vipi JPM?

..kumemfanya Jpm awe anadeka.

..amezoea kusifiwa, sasa akikosolewa kidogo anaona ametukanwa.

..angekuwepo mtu asiyeogopa kumuambia ukweli, na kumueleza wapi anakosea, Jpm angekuwa Raisi mzuri.
 
..kumemfanya Jpm awe anadeka.

..amezoea kusifiwa, sasa akikosolewa kidogo anaona ametukanwa.

..angekuwepo mtu asiyeogopa kumuambia ukweli, na kumueleza wapi anakosea, Jpm angekuwa Raisi mzuri.
Kwa hiyo kabla ya Lissu kuondoka, JPM alikuwa hadeki?

Mkuu, hata sielewi hoja yako hapa...
 
Lissu anaweza akawa Rais mzuri kama
1. Akipunguza jazba ,maana anapoongea ndo mzuka wake unapanda , hivyo anaongea mambo mengi yanayokinzana,mzuka ukipanda anaweza sema lolote bila kujali matokeo yake, mfano ''nyerere alikuwa muongo na alizoea vya kunyonga ,live akiwa bungeni'' etc.
2. Awe mzalendo kwa nchi yake bila kujali matatizo au ugumu katika masuala mbalimbali aliyopitia. Akubali sote tunajenga taifa moja, vitu ambavyo alivianzisha miaka nyuma yanaweza yakatekelezwa na yeye au watu wengine, sio lazima kila kitu lazima akifanye yeye tu, Lipumba ni mwanzilishi wa sera ya elimu bure, mkapa katika kampeni zake alikuwa anamtukana limpumba na kusema hizo pesa mtazitoa wapi? alipoingia madarakani mkapa pasipo aibu akapunguza ada ya shule za sekondari ,shule za kutwa zikawa hadi 8000tzsh, baadae sera ikachukuliwa na ukawa ikawa elimu bure hadi university, hatimaye magufuli anaitekeleza, hivi ndivyo tunavyojenga taifa moja.
3. Asipende sana mataifa ya kigeni kutafuta suluhu, vitu vidogo anataka mataifa sijui kanda mbalimbali ziingilie au zishauri.
4. Awe na udhoefu pia katika Nyanja mbalimbali.
Yametimia mkuu Wo shi niubi Tundu hawezi badilika wala hawezi kuwa rais wa Tanzania
 
Naona uwanja uko tayari kuhimili vishindo mjini Dodoma Jumamosi.

Ni vishindo kwelikweli.
 
Now that Tundu Lissu has made some progress in his convalescence, it is of no surprise that he has decided to get back into the fray.

He has done several interviews with both foreign and domestic media outlets, he has penned a letter from a Nairobi hospital bed, and lastly held a presser In Nairobi right before his voyage to Belgium. I wonder if we’ll also get a ‘letter from a rehab room in Brussels or wherever he’s at in Belgium. We shall see.

Having done all that, he is also now fair game. It’s now okay to respond to him, to attack him [not physically], to criticize him, etc.

Because he has basically picked up where he left off, I’m starting to hear some folks in certain quarters float his name as a potential 2020 presidential candidate. Perhaps these folks think he has shown he has what it takes to take on JPM in the next presidential contest. That’s fine. Nothing wrong with that. If I were him I’d probably try to parlay the notoriety I’ve gained over these past two years into something bigger, like the presidency.

But I’ve said it so many times, right here and elsewhere, that he is not a presidential material. He is, at best, a political gadfly, and maybe, at worst, a rabble-rouser.

A presidential material, he is not.

Just my two cents from a distance. I wish you all a happy Sunday!

NB: HICHO KICHWA CHA MADA SIYO CHANGU. NI CHA KWAO JAMIIFORUMS. WAMENIBADILISHIA. SIKUBALIANI NA KITENDO CHAO.
We una bahati kama umebadirishiwa kichwa tu. Hawa jamaa wa jamii forums wamekuwa wajumbe wa mlengo ule. Zangu hazikatizi. Wanazi merge kusikojulikana
 
Back
Top Bottom