Tundu Lissu jikite kueleza namna ya kukuza uchumi wa nchi, sio kulalamika tu bila mpango

Tundu Lissu jikite kueleza namna ya kukuza uchumi wa nchi, sio kulalamika tu bila mpango

Leonel Ateba Mbinda

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2023
Posts
644
Reaction score
2,695
We kila mkutano wako unashambulia Wabunge mara ulie kuwa kuna watu wanakuwinda mara sijui Mwigulu kafanya hivi, mara umedakia kwa Mpina, wananchi wanataka wakusikie njia mbadala za kukuza uchumi wa nchi.

Je, wewe ukipewa nchi kwa mfano unawezaje kuwaletea wananchi maendeleo?

Tunajua duniani kote serikali haiwezi kujiendesha bila mashirikiano na IMF, World Bank na developed countries, wewe unaonaje? Kama kukopa sio dili wewe utaendeshaje nchi kwa sababu Magufuli alijaribu hiyo lakini alishindwa.

Unataka kufanya nini elimu yetu iboreke, kwa mfano katika mkutano wako unapoongelea elimu eleza elimu bora ikoje na inatakiwa iwe vip sio kupiga kelele na kuomba uchangiwe hela upate gari, huu ni upigaji wa kijinga sana unaoufanya na Maria Sarungi.

Unamlalamikia Bashe kuhusu sukari, hebu toa maoni yako ya kiuchumi kuhusu sukari.

Haya ndio watu wanataka kukusikia, otherwise kutukana serikali kila mikutano unatuchosha bana.

Huna jipya kabisa
 
CCM wameshindwa miaka 65 ,Lissu alifukuzwa huko Bungeni Kwa hila Kwa kusema ukweli wewe unaleta propaganda ??Why hukutetea arudi Bungeni??
 
Hivi kuzungumzia sukari na rushwa ni nini kama sio uchumi? Usikute huyu hata hajasikia kinachoongelewa na Lisu.

Basi yeye hajazungumzia uchimi, wewe je wajibu wako ni upi, au kazi ya kusemea nchi mmebinfsisha kwa Lisu?
 
Akianza kuzungumza haya ataambiwa ameanza kampeni mapema kabla ya wakati...
 
Yaani mafuta na gari vitoke chadema halafu aliyepo Lumumba amlishe Lissu maneno ya kusema.
 
We kila mkutano wako unashambulia wabunge mara ulie kuwa kuna watu wanakuwinda mara sijui Mwigulu kafanya hivi, mara umedakia kwa Mpina, wananchi wanataka wakusikie njia mbadala za kukuza uchumi wa nchi...
Lissu ni hana uwezo wa kudadavua mambo zaidi ya mashambulizi tu
 
Hivi kuzungumzia sukari na rushwa ni nini kama sio uchumi? Usikute huyu hata hajasikia kinachoongelewa na Lisu.

Basi yeye hajazungumzia uchimi, wewe je wajibu wako ni upi, au kazi ya kusemea nchi mmebinfsisha kwa Lisu?
Lissu Azugumzie sera za uchumi mlengo wa chadema nini kifanyike. suala la sukari liwe ni mfano tu.
 
We kila mkutano wako unashambulia wabunge mara ulie kuwa kuna watu wanakuwinda mara sijui Mwigulu kafanya hivi, mara umedakia kwa Mpina, wananchi wanataka wakusikie njia mbadala za kukuza uchumi wa nchi...
Kazi ya kueleza uchumi utakavyokua ni ya CCM na kazi ya Lissu ni kuchambua na kueleza CCM inavyochemsha katika kukuza uchumi na namna Chadema itakavyostawisha maisha ya Watanganyika!
 
Lissu Azugumzie sera za uchumi mlengo wa chadema nini kifanyike. suala la sukari liwe ni mfano tu.
Azungumzie Uchumi wa CHADEMA mje mseme ameanza kampeni mapema. Uchumi ashughulike Mwigulu Lissu aendelee na ratiba yake ya kuonesha madudu Kwa Hawa mafisadi wa sukari
 
We kila mkutano wako unashambulia wabunge mara ulie kuwa kuna watu wanakuwinda mara sijui Mwigulu kafanya hivi, mara umedakia kwa Mpina, wananchi wanataka wakusikie njia mbadala za kukuza uchumi wa nchi...
Ukuzaji uchumi ni kazi ya serikali iliyopangwa na CCM.Hata hilo haulijui?
 
We kila mkutano wako unashambulia wabunge mara ulie kuwa kuna watu wanakuwinda mara sijui Mwigulu kafanya hivi, mara umedakia kwa Mpina, wananchi wanataka wakusikie njia mbadala za kukuza uchumi wa nchi...
Tuliza kishundu wewe hizi kazi za kiumeni
 
Baadala umwambie Tulia aache kumlinda Bashe kwenye kashfa ya sukari, wewe unahangaika na Lissu aelezee jinsi ya kufufua uchumia wa Tanzania.
 
We kila mkutano wako unashambulia wabunge mara ulie kuwa kuna watu wanakuwinda mara sijui Mwigulu kafanya hivi, mara umedakia kwa Mpina, wananchi wanataka wakusikie njia mbadala za kukuza uchumi wa nch...
Umejaribu kuwaza moto ambao ungewaka pale bungeni kwenye mambo ya mikataba na hili la sukari kama vyama pinzani visingefanyiziwa hujuma ? Naenda kuona viongozi wengi wakiingia chadema na vyama vingine
 
Tunapoelekea utatuambia CHADEMA ijenge miundombinu ya usafiri/usafirishaji,elimu,maji,umeme nk wakati mwenye kukomba tozo,kodi,malipo na maokoto ni serikali ya CCM.
 
Back
Top Bottom