Pre GE2025 Tundu Lissu, John Mnyika na Joseph Mbilinyi Wawasili Mbeya kwa ajili ya Kongamano la Bavicha, Wapuuza Amri ya Polisi

Pre GE2025 Tundu Lissu, John Mnyika na Joseph Mbilinyi Wawasili Mbeya kwa ajili ya Kongamano la Bavicha, Wapuuza Amri ya Polisi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Upolsi kwa YlTanzania ndiyo kazi ya hovyo kabisa na iliyopewa laana zote, nadhani ndiyo maana sifa kubwa ili uajiriwe, ni kutokuwa na akili.
 
Viongozi wa CHADEMA, Mwenyekiti wa Kanda ya Nyasa, Makamu Mwenyekiti Taifa na Katibu Mkuu wamekwishawasili Mkoani Mbeya kwa ajili ya kongamano la siku ya Vijana.

Wamejiapiza kwamba hawatatii amri batili ya Polisi wataendelea na Ratiba yao kama ilivyopangwa

View attachment 3067101View attachment 3067103View attachment 3067104

Pia soma:
Mtafuteni Lucas Mwashambwa mumbebeshe bendera ya Chadema mumtembeze Nzovwe na Luanda mhakikishe anampelekea hiyo bendera bosi wake wa maokoto Tulia.
 
1000030695.jpg
 
Hapo ukute RPC,kashapigiwa simu na watu waliomteua au waliopo karibu na aliyemteua,hapo anatekeleza alichoambiwa,asipotii ataondolewa,sasa akubali kuondolewa au atimize aliloambiwa,yaani akamatekamate kama bosi wake anavyotaka iwe.
 
Viongozi wa CHADEMA, Mwenyekiti wa Kanda ya Nyasa, Makamu Mwenyekiti Taifa na Katibu Mkuu wamekwishawasili Mkoani Mbeya kwa ajili ya kongamano la siku ya Vijana.

Wamejiapiza kwamba hawatatii amri batili ya Polisi wataendelea na Ratiba yao kama ilivyopangwa

View attachment 3067101View attachment 3067103View attachment 3067104

Pia soma:
Baba wabariki watu hawa
 
Viongozi Wengi katika jambo lolote hupendelea kuwatanguliza mbele wale wanaowatawala halafu wao huwafuata kwa nyuma kama Wachunga Mbuzi

Lakini Tundu Antipas Lisu hutangulia mbele yeye mwenyewe

Yesu Kristo alisema " Mchungaji Mwema wa Kondoo hutangulia na kuwaambia Kondoo Kila kitu kibaya kijapo"

Mbowe yeye anasubiri mambo yakae sawa ndio aje na Chopa yeye na Mrema

Mlale Unono 😀😀
 
Naona amani haitakiwi sasa.
Ni kama walivyokuwa wanasema wale manabii wa zamani katika Biblia;
"BWANA anasema watu wangu ni wajeuri kidogo,nitamtuma Nebuchadnezzar awaadhibu kidogo,awatakase.
Halafu yeye Nebuchadnezzar nitamuadhibu baadaye "
 
Viongozi Wengi katika jambo lolote hupendelea kuwatanguliza mbele wale wanaowatawala halafu wao huwafuata kwa nyuma kama Wachunga Mbuzi

Lakini Tundu Antipas Lisu hutangulia mbele yeye mwenyewe

Yesu Kristo alisema " Mchungaji Mwema wa Kondoo hutangulia na kuwaambia Kondoo Kila kitu kibaya kijapo"

Mbowe yeye anasubiri mambo yakae sawa ndio aje na Chopa yeye na Mrema

Mlale Unono 😀😀
Hakika ni sahihi Lissu President
 
Viongozi Wengi katika jambo lolote hupendelea kuwatanguliza mbele wale wanaowatawala halafu wao huwafuata kwa nyuma kama Wachunga Mbuzi

Lakini Tundu Antipas Lisu hutangulia mbele yeye mwenyewe

Yesu Kristo alisema " Mchungaji Mwema wa Kondoo hutangulia na kuwaambia Kondoo Kila kitu kibaya kijapo"

Mbowe yeye anasubiri mambo yakae sawa ndio aje na Chopa yeye na Mrema

Mlale Unono 😀😀
ana hulka kama za Hamas, mbishi halafu muoga kichizi 🐒
 
Naona amani haitakiwi sasa.
Ni kama walivyokuwa wanasema wale manabii wa zamani katika Biblia;
"BWANA anasema watu wangu ni wajeuri kidogo,nitamtuma Nebuchadnezzar awaadhibu kidogo,awatakase.
Halafu yeye Nebuchadnezzar nitamuadhibu baadaye "
Hakika umenena
 
Binafsi naona kuna haja ya CCM kujitafakari kama kweli ni chama cha siasa shindani au ni huruma ya dola.
Mwenyekiti wa vijana wao kule Kagera alijiapiza kuteka na kupoteza wanaCDM hatukusia angalau kauli ya msajili au IGP japo kulaani achilia mbali kumkamata na kumuhoji.
Leo CDM wanasema wanakutana kujadili mstakabali na hatima ya nchi hii na kusema hawataki kuwa wateja wa Polisi, IGP anachukua hatua zenye mashaka sana nje ya matarajio ya kikatiba.
Kama nchi kuna safari ndefu sana kufikia demokraaia ya kweli.
Ccm imebaki na matumaini kwenye kamba nyembamba ya vyombo vya dola.
 
Viongozi wa CHADEMA, Mwenyekiti wa Kanda ya Nyasa, Makamu Mwenyekiti Taifa na Katibu Mkuu wamekwishawasili Mkoani Mbeya kwa ajili ya kongamano la siku ya Vijana.

Wamejiapiza kwamba hawatatii amri batili ya Polisi wataendelea na Ratiba yao kama ilivyopangwa

View attachment 3067101View attachment 3067103View attachment 3067104

Pia soma:
Chadema tulikwambieni mapema kwamba msishabikie Isreal dhidi ya palestina lkn mnajiona mnaijua sana dunia. sasa Pambaneni na hali yenu
 
Back
Top Bottom