Tundu Lissu: Kamati ya Haki za Binadamu ya Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) Yatoka na Maazimio nane dhidi yake

Tundu Lissu: Kamati ya Haki za Binadamu ya Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) Yatoka na Maazimio nane dhidi yake

Did anyone stop or barred him from returning back to his motherland?

Moreover, his self imposed exile should not be a reason to instill fear for his life.

None is interested in harming him at all.

This game of political brinkmanship using words like 'Oh! I know who blah blah{....}should stop.
 
Mbona mna panic, Lissu amesema shida yake ni u Bunge?
Namhurumia sana Tundu Lisu washauri wake si wazuri mwenzao ni mgonjwa wanamshauri vibaya sana.

Anasahau kwamba Tanzania ni nchi huru yenye watu millioni 60+ anasahau kwamba Tanzania ina utawala wa Sheria, kuna mahakama ambayo ndiyo inashughulikia jinai binafsi namhurumia sana angekuwa ndugu yangu wa Karibu ningemuangukia miguuni nikimsihi arudi Tanzania aachane na Mambo ambayo kimsingi Mungu ndiye hupanga.

kwa mfano kuwa Rais wa nchi huwa ni mipango ya mwenyezi Mungu Tundu Lisu ni masikini asiye na cha kuwaachia watoto wake hata baada ya mauti kumkuta kitu pekee ambacho angeweza kuwaachia watoto wake ni Elimu bora na maadili ya kutii mamlaka za Duniani anayoyafanya Lissu kwa kweli yanasikitisha sana nadhani ashukuru tu kwamba anafanya haya kwenye nchi yenye Rais wenye huruma.

Sidhani kama kuna kiongozi yeyote Duniani anaweza kubali nchi yake kuchezewa kiasi hiki
 
Imagehttps://www.ipu.org › about-ipu › c..
Committee on the Human Rights of Parliamentarians | Inter-Parliamentary ...

Every year, many MPs around the world face abuse, mistreatment or even death. Our Committee on the Human Rights of MPs seeks to.....

IPU offices
Inter-Parliamentary Union
5, chemin du Pommier
Case postale 330
CH-1218 Le Grand-Saconnex
Geneva
Switzerland

Office of the Permanent Observer of the IPU to the United Nations
336 East 45th Street, Tenth Floor
New York, NY 10017
United States of America
 
Did anyone stop or barred him from returning back to his motherland?
Moreover, his self imposed exile should not be a reason to instill fear for his life.
None is interested in harming him at all.
This game of brinkmanship using I know who{....} should stop.
None is interested in harming him well n good can you tell us who was interested when he survived 16 bullets?
 
Did anyone stop or barred him from returning back to his motherland?
Moreover, his self imposed exile should not be a reason to instill fear for his life.
None is interested in harming him at all.
This game of brinkmanship using I know who{....} should stop.
Jiangalie shetani mwenyewe anakushangaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
So, TL atapata escort ya delegates kutoka IPU wakati anarudi hapa nchini na itakuwa very soon? Nice move.

Naamini hapo ulinzi wake utakuwa wa kiwango cha juu sana.
Nice move.. Sipika alali leo
images.jpeg
 
Back
Top Bottom