Uchaguzi 2020 Tundu Lissu kanyaga twende Vijana tupo na ari kubwa sana

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu kanyaga twende Vijana tupo na ari kubwa sana

Lituye

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2015
Posts
1,864
Reaction score
5,695
Vijana tupo na ari kubwa Sana kupita uhalisia unao uona wazi wazi. Wapo wengine wanaogopa kuonesha utayari wao kwa kuogopa kufanyiwa vitendo vya kinyama kutokana na ukatili uliofanywa na Bwana yule miaka yake mitano ila mioyo yao ipo na wewe upande wa haki.

Kwa miaka mitano raia wameuwa, kuteswa, kutekwa, biashara kufilisiwa, kilimo kuzorota, Uhuru kubinywa Uchaguzi serikali za mitaa kuvurugwa, Ajira za upendeleo.Wafanyakazi kuteswa na kunyanyswa, hakuna kupandishwa vyeo wala kuongeza mishahara.

Wanaua watu raia wema halafu wanasema Mabeberu wasiwaingilie kwa kuwa mauaji na ukatili wanao ufanya kwa Watanzania unafanyika ndani ya nchi yao hivyo ni mambo yao ya ndani wasiingiliwe.

Vijana tumechoka kuona haki ikitoweka kutokana na uchu wa madaraka wa Bwana yule na genge lake la wanyanga'anyi. Tulikuwa tunasubiria kiongozi thabiti atuongoze ktk mageuzi ya kweli. Hatuhitaji siasa za Maigizo kwetu tunao jitambua tunajua siasa ndio inayo tufanya tuishi maisha haya leo.

Hakuna jiwe litakalo salia hapo Octoba ambalo halita bomolewa.

Ile barua walio andikiwa na Mwanasheria nguli Msomi toka Uholanzi inasema hivi :

"We and the broader international community will be closely Monitoring the events in Tanzania over the coming weeks"

Yaani tafsiri kwa lugha ya kizaramo ni kuwa jamii kubwa ya kimataifa itaanza kufuatilia kwa ukaribu matukio yote ya ukiukaji wa haki za Binadamu na uchaguzi Tanzania kuanzia wiki ijayo.

Ukimwaga ugali tunamwaga mboga.

Uonevu Sasa baaaaaathiii.
 
Lisu ukiingia madarakani ajira zako kuajili iga mfumo wa kikwete ajiri vijana tulio sota mitaani miaka 5 anza kuajili kuanzia wahitimu wa 2015 alafu kuajili isiwepo kutuma maombi kama ambavyo sasa wafanyavyo maake wanachaguana makada wa ccm wenyewe
 
Lisu ukiingia madarakani ajira zako kuajili iga mfumo wa kikwete ajiri vijana tulio sota mitaani miaka 5 anza kuajili kuanzia wahitimu wa 2015 alafu kuajili isiwepo kutuma maombi kama ambavyo sasa wafanyavyo maake wanachaguana makada wa ccm wenyewe
Yaani huu utopolo wa ccm hapo Octoba 28 ikifika mida ya chai tayari tutakuwa tumeuondoa na kusimika kijana Mzalendo wa kweli Mtanzania halisi, wakili msomi, mjuvi wa mambo.
 
1598185947464.png
 
Labda kaigage amsaliti jiwe vinginevyo hakuna kitu hata vijana muwe na ari vipi!!
 
Wafuasi wa chadema Ni vijana wa kiume wenye umri wa miaka 25 Hadi 30 Hawa Ni watu wazima na hawana shughuli walizitegemea maishani na umri unasonga mbele
 
Wafuasi wa chadema Ni vijana wa kiume wenye umri wa miaka 25 Hadi 30 Hawa Ni watu wazima na hawana shughuli walizitegemea maishani na umri unasonga mbele
Watamuapisha?
 
UTOPOLO HUU. VIJANA GANI UNAWAONGELEAA? WANYWA VIROBAAA?
Mnaweweseka sana buku7F.C au utopolo,wakati miaka mitano mlikuwa mnatueleza upinzani umekufa mwanaume kurejea bongo sasa hivi mnaomba poo hajamaliza hata mwezi mnataka tume yenu imuengue .Huyo jamaa yenu ni utopolo tuu hata Shibuda akishindana naye ikiwepo tume huru haifiki saa sita mchana atakuwa tayari kapelekwa huko kijini Lupaso.
 
Mnaweweseka sana buku7F.C au utopolo,wakati miaka mitano mlikuwa mnatueleza upinzani umekufa mwanaume kurejea bongo sasa hivi mnaomba poo hajamaliza hata mwezi mnataka tume yenu imuengue .Huyo jamaa yenu ni utopolo tuu hata Shibuda akishindana naye ikiwepo tume huru haifiki saa sita mchana atakuwa tayari kapelekwa huko kijini Lupaso.
Tukutane kwenye kuapisha.........mwanaharakati anataka kupewa tume.......
 
Back
Top Bottom