Uchaguzi 2020 Tundu Lissu kanyaga twende Vijana tupo na ari kubwa sana

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu kanyaga twende Vijana tupo na ari kubwa sana

Udikteta SASA BASI!

Vijana tupo na ari kubwa Sana kupita uhalisia unao uona wazi wazi. Wapo wengine wanaogopa kuonesha utayari wao kwa kuogopa kufanyiwa vitendo vya kinyama kutokana na ukatili uliofanywa na Bwana yule miaka yake mitano ila mioyo yao ipo na wewe upande wa haki.

Kwa miaka mitano raia wameuwa, kuteswa, kutekwa, biashara kufilisiwa, kilimo kuzorota, Uhuru kubinywa Uchaguzi serikali za mitaa kuvurugwa, Ajira za upendeleo.Wafanyakazi kuteswa na kunyanyswa, hakuna kupandishwa vyeo wala kuongeza mishahara.

Wanaua watu raia wema halafu wanasema Mabeberu wasiwaingilie kwa kuwa mauaji na ukatili wanao ufanya kwa Watanzania unafanyika ndani ya nchi yao hivyo ni mambo yao ya ndani wasiingiliwe.

Vijana tumechoka kuona haki ikitoweka kutokana na uchu wa madaraka wa Bwana yule na genge lake la wanyanga'anyi. Tulikuwa tunasubiria kiongozi thabiti atuongoze ktk mageuzi ya kweli. Hatuhitaji siasa za Maigizo kwetu tunao jitambua tunajua siasa ndio inayo tufanya tuishi maisha haya leo.

Hakuna jiwe litakalo salia hapo Octoba ambalo halita bomolewa.

Ile barua walio andikiwa na Mwanasheria nguli Msomi toka Uholanzi inasema hivi :

"We and the broader international community will be closely Monitoring the events in Tanzania over the coming weeks"

Yaani tafsiri kwa lugha ya kizaramo ni kuwa jamii kubwa ya kimataifa itaanza kufuatilia kwa ukaribu matukio yote ya ukiukaji wa haki za Binadamu na uchaguzi Tanzania kuanzia wiki ijayo.

Ukimwaga ugali tunamwaga mboga.

Uonevu Sasa baaaaaathiii.
 
Vijana tupo na ari kubwa Sana kupita uhalisia unao uona wazi wazi. Wapo wengine wanaogopa kuonesha utayari wao kwa kuogopa kufanyiwa vitendo vya kinyama kutokana na ukatili uliofanywa na Bwana yule miaka yake mitano ila mioyo yao ipo na wewe upande wa haki.

Kwa miaka mitano raia wameuwa, kuteswa, kutekwa, biashara kufilisiwa, kilimo kuzorota, Uhuru kubinywa Uchaguzi serikali za mitaa kuvurugwa, Ajira za upendeleo.Wafanyakazi kuteswa na kunyanyswa, hakuna kupandishwa vyeo wala kuongeza mishahara.

Wanaua watu raia wema halafu wanasema Mabeberu wasiwaingilie kwa kuwa mauaji na ukatili wanao ufanya kwa Watanzania unafanyika ndani ya nchi yao hivyo ni mambo yao ya ndani wasiingiliwe.

Vijana tumechoka kuona haki ikitoweka kutokana na uchu wa madaraka wa Bwana yule na genge lake la wanyanga'anyi. Tulikuwa tunasubiria kiongozi thabiti atuongoze ktk mageuzi ya kweli. Hatuhitaji siasa za Maigizo kwetu tunao jitambua tunajua siasa ndio inayo tufanya tuishi maisha haya leo.

Hakuna jiwe litakalo salia hapo Octoba ambalo halita bomolewa.

Ile barua walio andikiwa na Mwanasheria nguli Msomi toka Uholanzi inasema hivi :

"We and the broader international community will be closely Monitoring the events in Tanzania over the coming weeks"

Yaani tafsiri kwa lugha ya kizaramo ni kuwa jamii kubwa ya kimataifa itaanza kufuatilia kwa ukaribu matukio yote ya ukiukaji wa haki za Binadamu na uchaguzi Tanzania kuanzia wiki ijayo.

Ukimwaga ugali tunamwaga mboga.

Uonevu Sasa baaaaaathiii.
Yap ubarikiwe kwa kusema wazi
Wazi yaliyo mioyoni yetu
 
Lissu atashinda urais wa buza au tandale kwa binyau.ila sio urais wa nchi ya Tanzania.
Tulieni Sasa msibabaike, mara mchangishe hela za msikiti kanisani mara msababishe wasanii kupigana Uwanja wa Taifa, tulieni tuwaoneshe kazi Tarh 28 October malafa nyie
 
Vijana tupo na ari kubwa Sana kupita uhalisia unao uona wazi wazi. Wapo wengine wanaogopa kuonesha utayari wao kwa kuogopa kufanyiwa vitendo vya kinyama kutokana na ukatili uliofanywa na Bwana yule miaka yake mitano ila mioyo yao ipo na wewe upande wa haki.

Kwa miaka mitano raia wameuwa, kuteswa, kutekwa, biashara kufilisiwa, kilimo kuzorota, Uhuru kubinywa Uchaguzi serikali za mitaa kuvurugwa, Ajira za upendeleo.Wafanyakazi kuteswa na kunyanyswa, hakuna kupandishwa vyeo wala kuongeza mishahara.

Wanaua watu raia wema halafu wanasema Mabeberu wasiwaingilie kwa kuwa mauaji na ukatili wanao ufanya kwa Watanzania unafanyika ndani ya nchi yao hivyo ni mambo yao ya ndani wasiingiliwe.

Vijana tumechoka kuona haki ikitoweka kutokana na uchu wa madaraka wa Bwana yule na genge lake la wanyanga'anyi. Tulikuwa tunasubiria kiongozi thabiti atuongoze ktk mageuzi ya kweli. Hatuhitaji siasa za Maigizo kwetu tunao jitambua tunajua siasa ndio inayo tufanya tuishi maisha haya leo.

Hakuna jiwe litakalo salia hapo Octoba ambalo halita bomolewa.

Ile barua walio andikiwa na Mwanasheria nguli Msomi toka Uholanzi inasema hivi :

"We and the broader international community will be closely Monitoring the events in Tanzania over the coming weeks"

Yaani tafsiri kwa lugha ya kizaramo ni kuwa jamii kubwa ya kimataifa itaanza kufuatilia kwa ukaribu matukio yote ya ukiukaji wa haki za Binadamu na uchaguzi Tanzania kuanzia wiki ijayo.

Ukimwaga ugali tunamwaga mboga.

Uonevu Sasa baaaaaathiii.
Vijana mpo tayari Facebook, jamii forum na mitandao ya kijamii tu!
 
Ukisoma vizuri Uzi wako unatia huruma sana,
Maana ni kama mtu aliyerogwa bila yeye kujua kwamba amerogwa, Bali kama sivyo basi wewe ni mfia chama kama walivyo wenzako tu.
 
Vijana tupo na ari kubwa Sana kupita uhalisia unao uona wazi wazi. Wapo wengine wanaogopa kuonesha utayari wao kwa kuogopa kufanyiwa vitendo vya kinyama kutokana na ukatili uliofanywa na Bwana yule miaka yake mitano ila mioyo yao ipo na wewe upande wa haki.

Kwa miaka mitano raia wameuwa, kuteswa, kutekwa, biashara kufilisiwa, kilimo kuzorota, Uhuru kubinywa Uchaguzi serikali za mitaa kuvurugwa, Ajira za upendeleo.Wafanyakazi kuteswa na kunyanyswa, hakuna kupandishwa vyeo wala kuongeza mishahara.

Wanaua watu raia wema halafu wanasema Mabeberu wasiwaingilie kwa kuwa mauaji na ukatili wanao ufanya kwa Watanzania unafanyika ndani ya nchi yao hivyo ni mambo yao ya ndani wasiingiliwe.

Vijana tumechoka kuona haki ikitoweka kutokana na uchu wa madaraka wa Bwana yule na genge lake la wanyanga'anyi. Tulikuwa tunasubiria kiongozi thabiti atuongoze ktk mageuzi ya kweli. Hatuhitaji siasa za Maigizo kwetu tunao jitambua tunajua siasa ndio inayo tufanya tuishi maisha haya leo.

Hakuna jiwe litakalo salia hapo Octoba ambalo halita bomolewa.

Ile barua walio andikiwa na Mwanasheria nguli Msomi toka Uholanzi inasema hivi :

"We and the broader international community will be closely Monitoring the events in Tanzania over the coming weeks"

Yaani tafsiri kwa lugha ya kizaramo ni kuwa jamii kubwa ya kimataifa itaanza kufuatilia kwa ukaribu matukio yote ya ukiukaji wa haki za Binadamu na uchaguzi Tanzania kuanzia wiki ijayo.

Ukimwaga ugali tunamwaga mboga.

Uonevu Sasa baaaaaathiii.
Sio ajira za upendeleo, ajira hakuna kabisa waliofukuzwa kazi kwa kigezo cha vyeti feki ni wengi na hatukuona replacement take

1. zile ajira za uhamiaji kila mwaka zimekoma
2. zile ajira za jeshi la polisi za kila mwaka zimekoma
3. zile ajira za magereza za kila mwaka zimekoma
4. ajira za jwtz direct zimekoma kuanzia za graduate mpk form 6 na form 4
5. ajira za National Audit Office za kila mwaka zimekoma
6. ajira za mamia TRA za kila mwaka zimekoma
7. ajira za walimu za kila mwaka zimekoma
8. ajira za first class BCOM n other courses zimekoma
9. leo hii ata waliomaliza masomo udaktari Muhimbili wanasaka ajira kwa tochi
10. toka mwaka 2015 graduate analipwa laki5 mwalimu, hakuna kupanda daraja hakuna nyongeza ya mshahara
11. mabenki uwezo wa kukopesha umeshuka

haya yote 11 JK pa1 na mapungufu yake aliyamudu, huyu JPM anakwama wapi?..atasema barabara - mbona JK alijenga barabara na yeye akazisimamia lkn haya aliyatenda
vijana wam
 
Back
Top Bottom