Uchaguzi 2020 Tundu Lissu kanyaga twende Vijana tupo na ari kubwa sana

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu kanyaga twende Vijana tupo na ari kubwa sana

TAL God knows you, God loves you, Watz loves you,Your smart, Your royal , You know the way, were together keep on going.
 
Vijana tupo na ari kubwa Sana kupita uhalisia unao uona wazi wazi. Wapo wengine wanaogopa kuonesha utayari wao kwa kuogopa kufanyiwa vitendo vya kinyama kutokana na ukatili uliofanywa na Bwana yule miaka yake mitano ila mioyo yao ipo na wewe upande wa haki.

Kwa miaka mitano raia wameuwa, kuteswa, kutekwa, biashara kufilisiwa, kilimo kuzorota, Uhuru kubinywa Uchaguzi serikali za mitaa kuvurugwa, Ajira za upendeleo.Wafanyakazi kuteswa na kunyanyswa, hakuna kupandishwa vyeo wala kuongeza mishahara.

Wanaua watu raia wema halafu wanasema Mabeberu wasiwaingilie kwa kuwa mauaji na ukatili wanao ufanya kwa Watanzania unafanyika ndani ya nchi yao hivyo ni mambo yao ya ndani wasiingiliwe.

Vijana tumechoka kuona haki ikitoweka kutokana na uchu wa madaraka wa Bwana yule na genge lake la wanyanga'anyi. Tulikuwa tunasubiria kiongozi thabiti atuongoze ktk mageuzi ya kweli. Hatuhitaji siasa za Maigizo kwetu tunao jitambua tunajua siasa ndio inayo tufanya tuishi maisha haya leo.

Hakuna jiwe litakalo salia hapo Octoba ambalo halita bomolewa.

Ile barua walio andikiwa na Mwanasheria nguli Msomi toka Uholanzi inasema hivi :

"We and the broader international community will be closely Monitoring the events in Tanzania over the coming weeks"

Yaani tafsiri kwa lugha ya kizaramo ni kuwa jamii kubwa ya kimataifa itaanza kufuatilia kwa ukaribu matukio yote ya ukiukaji wa haki za Binadamu na uchaguzi Tanzania kuanzia wiki ijayo.

Ukimwaga ugali tunamwaga mboga.

Uonevu Sasa baaaaaathiii.
Yaani vijana tuko tayari kwa lolote.
 
Tafuta mfano mwingine acha mfano wa Mugabe.alitolewa madarakani lakini alipewa heshima yake kama Rais mstaafu na stahiki zote aliandaliwa na alizikwa kwa heshima zote za kiserikali.
Uzuri wa hapa kwetu ni miaka kumi kumi tu kisha anakuja mwingine.
Miaka kumi kwa utaratibu wa CCM na si katiba ya Tanzania mkuu. Katiba inasema kwa kipindi cha miaka 5 mitano
 
Vijana ni nguvu na nguzo ya taifa.
Mkisimama imara, mtatuondolea yule dikteta kutoka chattle. Mna uwezo huo.
 
Kiongozi umetuwakilisha vyema sana. Na si vijana tu, hata majimama kama sisi. Tunamtaka Lissu, period. Jiwe mumfanye Rais wa nyumba zenu nyie MATAGA.
 
Vijana mpo tayari Facebook, jamii forum na mitandao ya kijamii tu!

Wewe umejisahaulisha nyomi sinazomlaki kila siku na kila sehemu anapopita? Bado habari hamna tu kuwa Watanzania wako na Lissu? Au unajitoa ufahamu? [emoji15]
 
Chorus; Tumeibiwa kura.....
Vijana tupo na ari kubwa Sana kupita uhalisia unao uona wazi wazi. Wapo wengine wanaogopa kuonesha utayari wao kwa kuogopa kufanyiwa vitendo vya kinyama kutokana na ukatili uliofanywa na Bwana yule miaka yake mitano ila mioyo yao ipo na wewe upande wa haki.

Kwa miaka mitano raia wameuwa, kuteswa, kutekwa, biashara kufilisiwa, kilimo kuzorota, Uhuru kubinywa Uchaguzi serikali za mitaa kuvurugwa, Ajira za upendeleo.Wafanyakazi kuteswa na kunyanyswa, hakuna kupandishwa vyeo wala kuongeza mishahara.

Wanaua watu raia wema halafu wanasema Mabeberu wasiwaingilie kwa kuwa mauaji na ukatili wanao ufanya kwa Watanzania unafanyika ndani ya nchi yao hivyo ni mambo yao ya ndani wasiingiliwe.

Vijana tumechoka kuona haki ikitoweka kutokana na uchu wa madaraka wa Bwana yule na genge lake la wanyanga'anyi. Tulikuwa tunasubiria kiongozi thabiti atuongoze ktk mageuzi ya kweli. Hatuhitaji siasa za Maigizo kwetu tunao jitambua tunajua siasa ndio inayo tufanya tuishi maisha haya leo.

Hakuna jiwe litakalo salia hapo Octoba ambalo halita bomolewa.

Ile barua walio andikiwa na Mwanasheria nguli Msomi toka Uholanzi inasema hivi :

"We and the broader international community will be closely Monitoring the events in Tanzania over the coming weeks"

Yaani tafsiri kwa lugha ya kizaramo ni kuwa jamii kubwa ya kimataifa itaanza kufuatilia kwa ukaribu matukio yote ya ukiukaji wa haki za Binadamu na uchaguzi Tanzania kuanzia wiki ijayo.

Ukimwaga ugali tunamwaga mboga.

Uonevu Sasa baaaaaathiii.
 
Vijana tupo na ari kubwa Sana kupita uhalisia unao uona wazi wazi. Wapo wengine wanaogopa kuonesha utayari wao kwa kuogopa kufanyiwa vitendo vya kinyama kutokana na ukatili uliofanywa na Bwana yule miaka yake mitano ila mioyo yao ipo na wewe upande wa haki.

Kwa miaka mitano raia wameuwa, kuteswa, kutekwa, biashara kufilisiwa, kilimo kuzorota, Uhuru kubinywa Uchaguzi serikali za mitaa kuvurugwa, Ajira za upendeleo.Wafanyakazi kuteswa na kunyanyswa, hakuna kupandishwa vyeo wala kuongeza mishahara.

Wanaua watu raia wema halafu wanasema Mabeberu wasiwaingilie kwa kuwa mauaji na ukatili wanao ufanya kwa Watanzania unafanyika ndani ya nchi yao hivyo ni mambo yao ya ndani wasiingiliwe.

Vijana tumechoka kuona haki ikitoweka kutokana na uchu wa madaraka wa Bwana yule na genge lake la wanyanga'anyi. Tulikuwa tunasubiria kiongozi thabiti atuongoze ktk mageuzi ya kweli. Hatuhitaji siasa za Maigizo kwetu tunao jitambua tunajua siasa ndio inayo tufanya tuishi maisha haya leo.

Hakuna jiwe litakalo salia hapo Octoba ambalo halita bomolewa.

Ile barua walio andikiwa na Mwanasheria nguli Msomi toka Uholanzi inasema hivi :

"We and the broader international community will be closely Monitoring the events in Tanzania over the coming weeks"

Yaani tafsiri kwa lugha ya kizaramo ni kuwa jamii kubwa ya kimataifa itaanza kufuatilia kwa ukaribu matukio yote ya ukiukaji wa haki za Binadamu na uchaguzi Tanzania kuanzia wiki ijayo.

Ukimwaga ugali tunamwaga mboga.

Uonevu Sasa baaaaaathiii.

Huu utawala hata shetani kauvulia kofia kuwa umemzidi. Ni utawala unaoua watu kikatili halafu unakimbilia kanisani kutaka uombewe. Hapo shetani kabaki kinywa wazi kwa mshangao.
 
Mimi naona scenario ya Gambia. Lissu kujiapisha na kupata support ya Western countries!
 
Huu utawala hata shetani kauvulia kofia kuwa umemzidi. Ni utawala unaoua watu kikatili halafu unakimbilia kanisani kutaka uombewe. Hapo shetani kabaki kinywa wazi kwa mshangao.
Eti kawafunga Mashehe wa kiislamu bila kuhukumiwa miaka 5 sasa halafu anajifanya kuchangisha harambee juwajengea msikiti wake sijui anataka wakaswali waislamu gani. Huyu babu dikteta kazeeka vibaya sanaa.
 
Uelewa wako bado mdogo sana na ndio madhara ya Division five haya.
Wewe mwenye division 1 unangoja upewe tume na mabeberu? Nyie endeleeni tu kua ma keyboard warrior tu........mtabeba labda nchi ya jf jimbo la mtandaoni
 
Back
Top Bottom