Uchaguzi 2020 Tundu Lissu kanyaga twende Vijana tupo na ari kubwa sana

Wewe umejisahaulisha nyomi sinazomlaki kila siku na kila sehemu anapopita? Bado habari hamna tu kuwa Watanzania wako na Lissu? Au unajitoa ufahamu? [emoji15]
Bado hajafikia hata nusu ya Lowasa!
Hiyo Nyoni wengine ni CCM kindakindaki, wengine hata kadi ya mpiga kura hawana!
Na nikukumbushe kura ni kuwapa sera kwa wananchi, Hadi Jana Lisu ni mweupe kichwani, labda apate kura za huruma!
 
Subiri ujionee kwa macho yako
Hakutakua na jipya anaeapishwa anajulikana .......wa upande wa pili watalalamika tu maisha yanaendelea ,mwaka ambao upinzani walikua vizuri ni 2015 na wakaingizwa cha kike.....kwa hali ya sasa ni kujipa matumaini tu Mzee baba anaweza apishwa kwa ushindi wa 80% na zaidi
 
Nivizuri kujipa matumaini
 
Kiti kinahitaji mtu uwe na uwezo wa ziada na upeo mkubwa.
 
MFALME FARAO YU MASHAKANI, MUSSA WA TOURATI ANAMNYIMA USINGIZI, IPO KAZI HUU MWAKA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…