Pre GE2025 Tundu Lissu: Katiba ya ovyo imetuletea Rais wa ovyo asiye na uchungu kwa raia wake wala rasilimali za nchi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Emu nitajieni Nani tumchague awe Rais ili tuishi kwa raha na starehe zote kama Peponi.
 
Amesema katiba inetuletea viongozi wa hovyo wasio na uchungu kwa wananchi wao wala raslimali za nchi kwa vile hawakuingia madarakani kihalali.
Hii katiba ni mbovu, haifai hata kidogo.

Najaribu kufikiri, kama Lowasa angeshinda 2015 akakutwa na umauti akiwa madarakani, yule mgombea mwenza wake leo ndiye angekuwa rais.
 
Yeye mwenyewe wa ovyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…