jimama26
JF-Expert Member
- Jul 30, 2013
- 2,839
- 2,963
Wengine wazee wetu miaka 5 sasa hawajapata pension zao.. ni hadithi tu kila siku. Matibabu yao kasheshe nyingine tena. Kwa walio na Bima ya afya, kuna limitations kibao za matibabu na vipimo.. dawa kibao nazo zimetolewa huko kwenye Bima. Nyumba zetu zimebomolewa.. Watanzania tunanuka shida tu kwa miaka hii yote ya Jiwe. Kwa kweli hatuwezi kumsahau. Mtu tulimshabikia 2015, tukijua tumepata kumbe tumepatikana.
Kura zetu zote sisi wanyonge safari hii ni kwa Lissu. Huyu ndiye atatusikiliza na kutufaa.
Kura zetu zote sisi wanyonge safari hii ni kwa Lissu. Huyu ndiye atatusikiliza na kutufaa.