Sema basi tu wanatazamia kuteuliwa lakini wana hali ngumu sana.Mataga wenyewe walilia na kusaga meno ndani ya hizi aka tano!
Wale walioko karibu na dikiteta tuWanaccm tu ndo wameinjoi hii miaka ya dikteta magufuli
Tarehe 28 ifike jamani tumkabidhi Lissu nchi yake rasmi.. Tanzania sasa ni ya Tundu Lissu.
[/QUkOTE]
Tanzania itakuwa na maendeleo endelevu ndani ya miaka miwili tu.
Kama sio roho mbaya unaunga mkono mtu katili?Sisi Watanzania wazalendo tunafurahi uongozi wa Rais Magufuli
Wanaotumika na Mabeberu wamezibiwa mirija ndio hao wanalia
Kuna sehemu nimetaja CHADEMA hapo juu ?CHADEMA ACHENI UNAFIKI. MNAZUNGUMZIA KUTEKWA BEN SAA NANE WAKATI MNAJUA WALIOMTEKA. KAMA MNATETEA HAKI MBONA HAMSEMI CHOCHOTE JUU YA WAFUASI WA CCM, VIONGOZI WA SERIKALI ZA MITAA NA POLISI WALIOUAWA MKURANGA??? MNAZUNGUMZIA KILA SIKU BEN SAA NANE TU KWA KUPOTEA, JE, HAO WALIOUAWA SIO BINADAMU?? MNAJIFANYA HAMHUSIKI NA MATUKIO HAYO WAKATU TUNAJUA WALIOTEKA BEN SAA NA KUMPOTEZA NI NYIE.
RISASI ALIZOPIGWA LISSU MLIZIPANGA NYIE NDO MAANA MMEMPOTEZA KABISA DEREVA WA LISSU,
KOROSHO WAKULIMA WALIKWISHA LIPWA KWA BEI NZURI KULIKO BEI WALIOTAKA KUPEWA NA WAFANYA BIASHARA.
VYOMBO VYA HABARI VISIVYOFUATA WEREDI LAZIMA SHERIA ITUMIKE KUVIFUNGIA. SHERIA ZINATUNGWA ILI ZITUMIKE.
Asiseme watanzania bali aseme wanachadema
Labda Kwa bao la mkono, ila kwenye sanduku babu yenu hawezi mshinda Lissu!Unatishia kuondoa tone moja la maji baharini,ukidhani kwamba bahati itakauka?😂,mkuu sio wewe tu, yaani hata ukoo wenu wote ukipiga Kura kwa Lissu, bado Magufuli atabaki kuwa Rais wenu.
Wewe na naniSisi Watanzania wazalendo tunafurahi uongozi wa Rais Magufuli
Wanaotumika na Mabeberu wamezibiwa mirija ndio hao wanalia
Sio kweli, hawasemi tu, kila Mtanzania lazima ana hadithi yake, mpaka JK na familia yakeWanaccm tu ndo wameinjoi hii miaka ya dikteta magufuli
Yapo maumivu kwenye kuzaa kitu chochote cha thamani,ila Utukufu, ubora wa kizaliwacho huwa na thamani kuliko maumivu yenyewe. Kwa nchi yoyote iliyoamua kujitegemea kiuchumi, tena kwa kubana matumizi, kuziba mianya ya rushwa, lazima kuwe na maumivu. Sasa tundu Lissu asidanganye watu hapa, hatuna shangazi, wala mjomba wa kutusaidia. Maendeleo ya kweli tutayaleta sisi wenyewe, na sio hao mabeberu anaowategemea.Wapwa
Akiwa hapa Ifakara kwenye kampeni zake, Lissu anaendelea kutema cheche
Anasema kila Mtanzania ana hadithi yake ya maumivu. Ameomba kura kutoka vyama vyote na kuahidi mambo mengi ikiwemo kufuta machozi mengi ya wana Ifakara na Tanzania nzima.
Je wewe hadithi yako ni ipi.?
Haki huinua Taifa.
Mbona deni limeongezeka mara mbiliYapo maumivu kwenye kuzaa kitu chochote cha thamani,ila Utukufu, ubora wa kizaliwacho huwa na thamani kuliko maumivu yenyewe. Kwa nchi yoyote iliyoamua kujitegemea kiuchumi, tena kwa kubana matumizi, kuziba mianya ya rushwa, lazima kuwe na maumivu. Sasa tundu Lissu asidanganye watu hapa, hatuna shangazi, wala mjomba wa kutusaidia. Maendeleo ya kweli tutayaleta sisi wenyewe, na sio hao mabeberu anaowategemea.
Wanaccm tu ndo wameinjoi hii miaka ya dikteta magufuli
Kivyovyote tu Babu yetu atabaki ikulu,hilo unapaswa kutembea nalo kichwani..!Labda Kwa bao la mkono, ila kwenye sanduku babu yenu hawezi mshinda Lissu!
Akije mmwambie ukweliTunamsubiri kwa hamu Bukoba.