Hujui kina lissu ndio Wasaliti wa Nchi? Wanatumiwa na Mabeberu kuiba raslimali zetu
Nimengi ya kusimulia la msingi ni kupungua kipato cha mtu mmoja mmoja wale wanaotumia akili za kuvukia barabara wataniambia nilikuwa napiga dili na napoteza muda mwingi kwenye kubeti, wakati hatasijui kubetiWapwa
Akiwa hapa Ifakara kwenye kampeni zake, Lissu anaendelea kutema cheche
Anasema kila Mtanzania ana hadithi yake ya maumivu. Ameomba kura kutoka vyama vyote na kuahidi mambo mengi ikiwemo kufuta machozi mengi ya wana Ifakara na Tanzania nzima.
Je wewe hadithi yako ni ipi.?
Haki huinua Taifa.
Ulaya siyo uraya.....Tanzania kuwa kama uraya au chato?[emoji1][emoji1][emoji1]
Ulaya siyo uraya.....
Asilimia kubwa naamini wachangiaji wengi sana ni wafuata upepo jitu kama ili unajiita tabutupu...unadhani una lipi la maono?. Kuwa kama ulaya nazo ni process msikalili na kukumbatia umasikin kuweni na nguvu ya uthubutu .
Haha Lisu bwana msanii sana,
Kuna binadamu anaweza mfuta machozi mwenzake??
Hapa duniani ni Utawala wa Sheria tu.
Usipofuata sheria unapoteza haki yako.
Mfano huwezi sema eti kwakua umefanya kazi kwa muda flani ndio uachwe hata kama umefoji vyeti.
Au kwakua umeshajenga ndani ya hifadhi ya barabara uachwe tu.
Wapwa
Akiwa hapa Ifakara kwenye kampeni zake, Lissu anaendelea kutema cheche
Anasema kila Mtanzania ana hadithi yake ya maumivu. Ameomba kura kutoka vyama vyote na kuahidi mambo mengi ikiwemo kufuta machozi mengi ya wana Ifakara na Tanzania nzima.
Je wewe hadithi yako ni ipi.?
Haki huinua Taifa.
Maumivu ya wana Dar es Salaam hayo.Ubungo na Kibamba vunja NYUMBA ZAO,
Mwanza MSIWAVUNJIE WALINIPIGIA KURA NYINGI.
HAPO USAWA UKO WAPI?
Hahahaaaa..... Dunia ina mambo mengi sn ya ajabu ajabu😄😄Kinana na Makamba we acha tu walichokipata hadi wanakufa hawatasahau. Kweli kinana niwa kupigia magoti mshamba??
Asante!Sisi Watanzania wazalendo tunafurahi uongozi wa Rais Magufuli
Wanaotumika na Mabeberu wamezibiwa mirija ndio hao wanalia
Wale walioambiwa wasibomolewe Mwanza kisa walimpigia kura wao wapo juu ya sheriaHaha Lisu bwana msanii sana,
Kuna binadamu anaweza mfuta machozi mwenzake??
Hapa duniani ni Utawala wa Sheria tu.
Usipofuata sheria unapoteza haki yako.
Mfano huwezi sema eti kwakua umefanya kazi kwa muda flani ndio uachwe hata kama umefoji vyeti.
Au kwakua umeshajenga ndani ya hifadhi ya barabara uachwe tu.
Kuna binadamu anaweza mfuta machozi mwenzake??
Hakuna binadamu mwenye uwezo huo,Wewe unadhani kufuta machizi ni kutembea na lesso mkononi na kuanza kuwafuta watu machozi yanayotiririka kutoka machoni pao??!!🤣
Hakuna binadamu mwenye uwezo huo,
Msitudanganye.