Tundu Lissu kimataifa: Akutana na David Mcallister, Mwenyekiti wa Kamati ya Mashauri ya Kigeni ya Bunge la Ulaya

hii ndomana kila mama akikanyaga sehemu muhimu anakutana na Hali ngumu

Chadema international ni shida mwamba anaupiga kwelikweli
 
Mr belgiji kakenua meno utafikiri kamuona Mungu.

Hivi kinachofanya Lisu aendelee kukaa kwa beberu ni nini wakati mbaya wake alishakufa?
 

..mabadiliko ya Afrika Kusini yalipatikana baada ya mabeberu kupunguza kwa kiwango kikubwa support yao kwa utawala wa makaburu.
 
Huelewi lolote kaa kimya na umburula wako
 
Creche tuliza midabwada
 
Unaonaje sasa democrasia iliyopo Libya?

Nyie ndio mkimuona mzungu mnazuzuka kabisa
 
Huyu kijana ningeomba psychologist wakamsaidia. Maaana anatankatanka mnooo
Kama walivyokuwa wanatanga tanga akina Palamagamba na Sasa Mulamula anaenda kukusanya akina Mange Kimamboi eti ndi Diaspora ya kumpokea Rais.

Mmetuaibisha sana kama Nchi.
 
Unaonaje sasa democrasia iliyopo Libya?

Nyie ndio mkimuona mzungu mnazuzuka kabiAfadhari fadh

Unaonaje sasa democrasia iliyopo Libya?

Nyie ndio mkimuona mzungu mnazuzuka kabisa
Afadhari kuliko kipindi kile ambacho ukiona umwitwa ikulu unaenda kutandikwa risasi. Waafrika tuna matatizo bora wazungu watutawale tena. Huwa najiuliza kitendo cha jpm kutaka kumuua lisu kisa eti ni mkosoaji mkuu. Sasa hapo ndo utaona viongozi wa kiafrika ni madictator wote bora wauawe wote. takayeweza kuliua limseven nitashinda kanisani aiku hiyo namshukuru mungu na kutoa sadaka. Hayaangalia samia naye anataka kumuulia mbowe jela.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…