kina kirefu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2018
- 15,188
- 18,583
Hapo kakutana na Mwenyekiti wa Kamati ya Mambo ya Nje ya Bunge la Ulaya.
Hakuna kurudi nyuma katika mapambano ya kumdhibiti mkoloni mweusi.
View attachment 1973839
Uzalendo wako umekuwa ule halisi sikuhizi sio, hongera ni hatua kubwa na nzuriTundu lissu in a photo with the the white man! Very impressive!
Huwezi kuitoa CCM kwa kutegemea Wazungu ambao nao wanabenefit kwa CCM, kinachofuata watakutumia kuibana CCM kwa wao kupata maslahi zaidi... Nitajie nchi moja ambayo wazungu wameleta demokrasia na stabilization..
Wazungu walishindwa kuwasaidia weusi pale SA dhidi ya kaburu matokeo yake weusi wenyewe wakapambana kujikomboa huku wazungu wakipamban kimyakimya kusaidia kaburu..
Huelewi lolote kaa kimya na umburula wako[emoji1787][emoji1787]Sasa David Mc Alister anahusika nini na SOVEREIGNTY ya Tanzania?!!!!!
Ujinga mwingine abaki nao huyu mzururaji anayetukuza WAZUNGU NA MAMBO YAO YOTE......
Mzungu alimtumia Saddam Hussein na Gaddafi na mwishowe wote ni mashuhuda kwa kilichotokea......Sasa Tundu Lissu atafika lini huko?!!!!
Dunia imejaa WANAHARAKATI.....maajabu hakuna.....[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Watumiemo policcm kuzibiti makongamano internationalhii ndomana kila mama akikanyaga sehemu muhimu anakutana na Hali ngumu
Chadema international ni shida mwamba anaupiga kwelikweli
Creche tuliza midabwadaπ€£π€£Sasa David Mc Alister anahusika nini na SOVEREIGNTY ya Tanzania?!!!!!
Ujinga mwingine abaki nao huyu mzururaji anayetukuza WAZUNGU NA MAMBO YAO YOTE......
Mzungu alimtumia Saddam Hussein na Gaddafi na mwishowe wote ni mashuhuda kwa kilichotokea......Sasa Tundu Lissu atafika lini huko?!!!!
Dunia imejaa WANAHARAKATI.....maajabu hakuna.....π€£π€£π€£
Huyu kijana ningeomba psychologist wakamsaidia. Maaana anatankatanka mnoooHapo kakutana na Mwenyekiti wa Kamati ya Mambo ya Nje ya Bunge la Ulaya.
Hakuna kurudi nyuma katika mapambano ya kumdhibiti mkoloni mweusi.
View attachment 1973839
Unaonaje sasa democrasia iliyopo Libya?Wazungu ni wakimbizi acha ufala. Huoni walivyo muassassinate gadafi kwa kuwa alikuwa anawanyanyasa sana wapinzani. Jpm ameua na kupiga risasi wapinzani na yeye wazungu wakatusaidia kumfyekelea mbali. Hivyo wazungu wanamsaada sana . Wazungu wasingekuwepo tungechinjana sana mana miafrika hatuna akili lazima tuwe regulated ili tuishi kwa kuheshimiana.
Jamaa ana connection kuliko Chief Hangaya na organs zake zote.Hapo kakutana na Mwenyekiti wa Kamati ya Mambo ya Nje ya Bunge la Ulaya.
Hakuna kurudi nyuma katika mapambano ya kumdhibiti mkoloni mweusi.
View attachment 1973839
Kama walivyokuwa wanatanga tanga akina Palamagamba na Sasa Mulamula anaenda kukusanya akina Mange Kimamboi eti ndi Diaspora ya kumpokea Rais.Huyu kijana ningeomba psychologist wakamsaidia. Maaana anatankatanka mnooo
Huyu kijana ningeomba psychologist wakamsaidia. Maaana anatankatanka mnooo
Libya ni matokea ya Dikiteta. Ndio maana hatutaki hapa kwetu kuchipua mizizi yakeUnaonaje sasa democrasia iliyopo Libya?
Nyie ndio mkimuona mzungu mnazuzuka kabisa
ID za kulipwa hiziHuyu kijana ningeomba psychologist wakamsaidia. Maaana anatankatanka mnooo
Nisemeje sasa nawe unataka NIELEWE lile ulipendalo wewe tu.....lile lililo KICHWANI mwako tu na si kichwani mwangu....π€£π€£Huelewi lolote kaa kimya na umburula wako
Unaonaje sasa democrasia iliyopo Libya?
Nyie ndio mkimuona mzungu mnazuzuka kabiAfadhari fadh
Afadhari kuliko kipindi kile ambacho ukiona umwitwa ikulu unaenda kutandikwa risasi. Waafrika tuna matatizo bora wazungu watutawale tena. Huwa najiuliza kitendo cha jpm kutaka kumuua lisu kisa eti ni mkosoaji mkuu. Sasa hapo ndo utaona viongozi wa kiafrika ni madictator wote bora wauawe wote. takayeweza kuliua limseven nitashinda kanisani aiku hiyo namshukuru mungu na kutoa sadaka. Hayaangalia samia naye anataka kumuulia mbowe jela.Unaonaje sasa democrasia iliyopo Libya?
Nyie ndio mkimuona mzungu mnazuzuka kabisa
Baada ya dikteta kuondoka unaonaje jinsi democrasia ilivyotamalaki?Libya ni matokea ya Dikiteta. Ndio maana hatutaki hapa kwetu kuchipua mizizi yake