CCM MKAMBARANI
JF-Expert Member
- Mar 15, 2017
- 2,031
- 1,514
utaporomoshewa mvua ya yale ya nguoni ya nguvu we subiri tuπ€£Wanajukwaa habari zenu?
Sasa inaenda kuwa rasmi,nguli wa sheria Lissu anafutwa uanachama,kwakweli Wanachadema kindakindaki wamepania kukipasua chama kabisa ili mbowe ashike adabu yake.
Hakika kila lenye mwanzo halikosi mwisho,Bowel anaendelea kuwaburuza wenzie.
Ngoja tusikilizie.
Makonda Kasema.Source?
Wapi na liniMakonda Kasema.
Wamepoteana,yule Netanyahu amejivua uanachamautaporomoshewa mvua ya yale ya nguoni ya nguvu we subiri tuπ€£
Una hojaKila siku Ccm Chadema
Ebu tuachane na hao wanasiasa uchwara
Tujadili jinsi gani ya kujikomboa sisi watanzania kutoka kwa hawa Mafisadi waliojificha kwenye mgongo wa Utawala
Zimejibiwa,ulikuwa wapi?Jibuni hoja za muungano
Wewe nawe ni mjinga?JF inazidi kuwa wajinga wengi sikuhizi
Eti ccm mkambaran anaongelea mambo ya chadema π΄ππWanajukwaa habari zenu?
Sasa inaenda kuwa rasmi,nguli wa sheria Lissu anafutwa uanachama,kwakweli Wanachadema kindakindaki wamepania kukipasua chama kabisa ili mbowe ashike adabu yake.
Hakika kila lenye mwanzo halikosi mwisho,Bowel anaendelea kuwaburuza wenzie.
Ngoja tusikilizie.
Kesho Mbowe anamtimua lissu,utakuja kushangilia hapa lkn pesa za join the chain hupewi ng'oooHoja za Lissu hazikuwaacha salama.ni Mayowe kila dakika kama Corona ilivyoingia
Kweli ccm inambumbumbuZimejibiwa,ulikuwa wapi?
Sababu nina baadhi ya taarifaEti ccm mkambaran anaongelea mambo ya chadema π΄ππ
Yale yalikuwa ni majibu, tunataka majawabu.Zimejibiwa,ulikuwa wapi?
Sasa wewe nimekujibu ulivyouliza unataka nini bwana mbumbumbuKweli ccm inambumbumbu