CCM MKAMBARANI
JF-Expert Member
- Mar 15, 2017
- 2,031
- 1,514
- Thread starter
- #121
Imebidi nicheke tuu,sawa lkn.Kwahiyo ndoto yako tayari umekunya kitandani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Imebidi nicheke tuu,sawa lkn.Kwahiyo ndoto yako tayari umekunya kitandani
Wewe ndio unategemewa na Chadema,kwakweli mna kaziWewe ni Chawa umekosea njia. Huko ulikoingia ni mapaja ya kuku siyo ya binadamu. 😆
Ikiwa ufipa ya Lumumba sawaKutok
Za ufipa
Lissu leo ndio leoLissu alijaribu kupora chama cha mkwe? Sumu haionjwi.
Hawana majira hao na mleta uzi. Once a fool,remains that way!Aprili fools mbona ilikuwa ni mwezi uliopita?
Hayo ndiyo matatizo ya kuzaliwa vichakani na akili unaziacha huko huko!Wanajukwaa habari zenu?
Sasa inaenda kuwa rasmi, nguli wa sheria na Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu anafutwa uanachama. Wana-CHADEMA kindakindaki wamepania kukipasua chama kabisa ili Freeman Mbowe ashike adabu yake.
Hakika kila lenye mwanzo halikosi mwisho, Bowel anaendelea kuwaburuza wenzie.
Ngoja tusikilizie.
Kwenye tundu lipi!?Hamna shida mzee,nimepenyezewa
Ndoto za mchana hizi zitawalaza bila viatu ccmWanajukwaa habari zenu?
Sasa inaenda kuwa rasmi, nguli wa sheria na Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu anafutwa uanachama. Wana-CHADEMA kindakindaki wamepania kukipasua chama kabisa ili Freeman Mbowe ashike adabu yake.
Hakika kila lenye mwanzo halikosi mwisho, Bowel anaendelea kuwaburuza wenzie.
Ngoja tusikilizie.
Ukute wakati unaandika uhalo huu umevaa dela bila kyupiWanajukwaa habari zenu?
Sasa inaenda kuwa rasmi, nguli wa sheria na Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu anafutwa uanachama. Wana-CHADEMA kindakindaki wamepania kukipasua chama kabisa ili Freeman Mbowe ashike adabu yake.
Hakika kila lenye mwanzo halikosi mwisho, Bowel anaendelea kuwaburuza wenzie.
Ngoja tusikilizie.
Asante sana ndugu yangu; hakuna kijiji kischokuwa na wazee! JF ni kijiji, kwa hiyo akina Kichuguu hawakosekani.Nimefurahi sana kukuona Mzee Kichuguu,nimekuona siku nyingi sana humu,nondo zako huwa zimenyooka,safi sana Bwana Kichuguu.
Hiyo ni "April Fools", kuna kama huyu ni "Forever Fool" .Aprili fools mbona ilikuwa ni mwezi uliopita?
Kama CHADEMA ni magaidi wenye nia ya kuiharibu "nchi yenu", basi CCM walioiharibu mpaka sasa watakuwa ndiye shetani mwenyewe.Ni magaidi wenye nia ya kuiharibu nchi yetu.
Kwa kasi ya 6G
Ieleweke simuombei Binadamu yeyote kuumizwa kwa namna yeyote ile.
Kilichomtokea Laigwanaan Lissu ni cha kulaaniwa. Mbaya zaidi ni kumtumia kwa malengo ya kuichafua Tanzania kwa Ubinafsi wao. Walaaniwe.
Ikumbukwe pia, Lissu alidai anawajua waliompiga risasi, kwamba aliwaona. Ni suala la muda tu, watatajana jinsi walivyotaka kuchafua mazingira ya nchi. Na sasa ndio hao hao wanaotaka Lissu ndie aje kuwa Raisi.
Wanaharakati wa CHADEMA na Masaliti wa Nchi hii.
Waache kutaka kujificha nyuma ya pazia la Maridhianoq
Sawa mzee,sisi wengine uzee unafanya tuendelee kupambana na vyama vya upinzaniAsante sana ndugu yangu; hakuna kijiji kischokuwa na wazee! JF ni kijiji, kwa hiyo akina Kichuguu hawakosekani.
Hatapata kura 1000000Tundu Lissu ndo anatakiwa kupeperusha bendera ya CHADEMA kwenye uchaguzi wa Rais 2025.