REJESHO HURU
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 4,664
- 9,929
Wamfukuzie nini sasa wakati wao wanahubiri Demokrasia na Tundu lisu ndio anachofanya endapo CDM watamfukuza Lisu basi hawana haki ya kuja hadharani kwa Watanganyika na kutuambia uozo wa serikali ikiwa uozo wao unafichwa