Tetesi: Tundu Lissu kufutwa uanachama muda wowote

Tetesi: Tundu Lissu kufutwa uanachama muda wowote

Lissu Afutwe uanachama kwa kosa lipi ccm acheni kutumia pesa kuivuruga chadema tumeshtuka,miaka 20 mnahonga watu wetu rushwa,rushwa,rushwa stupid! isingekuwa human resource ya chadema iliyoko huko ccm iliishakufa zamani.
 
Wanajukwaa habari zenu?

Sasa inaenda kuwa rasmi, nguli wa sheria na Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu anafutwa uanachama. Wana-CHADEMA kindakindaki wamepania kukipasua chama kabisa ili Freeman Mbowe ashike adabu yake.

Hakika kila lenye mwanzo halikosi mwisho, Bowel anaendelea kuwaburuza wenzie.

Ngoja tusikilizie.
VICHAA MNAZIDI KUONGEZEKA
 
Ila we jamaa sijui ni kwa nini huwa huoni hata aibu kila ramli zako zinapoenda tofauti na matarajio yako. Ulikuja tena na bandiko kuwa Mchungaji Msigwa atatimka Chadema muda wowote, sasa ni miaka na hatuoni dalili, hujakoma tu, leo unakuja na ramli ya Tundu Lissu, hivi hujioni kama wewe ni mpumbavu?
Lissu amepigwa risasi akiwa chadema na atafia chadema
 
Ila we jamaa sijui ni kwa nini huwa huoni hata aibu kila ramli zako zinapoenda tofauti na matarajio yako. Ulikuja tena na bandiko kuwa Mchungaji Msigwa atatimka Chadema muda wowote, sasa ni miaka na hatuoni dalili, hujakoma tu, leo unakuja na ramli ya Tundu Lissu, hivi hujioni kama wewe ni mpumbavu?
Mimi sio mpumbavu,wewe ni mpumbavu sababu huelewi maana ya tetesi,karibu ccm
 
Kama ulisikia huwa kuna hatua za mwanzo za mtu kupatwa na uwendawazimu, ndiyo hii uliyo nayo wewe kwa sasa. Kitakachofuatia, hatutashuhudia uozo wa threads zako hapa jukwaani. Utakuwa unakuka majalalani na kutembea na suruali kichwani.

Kama una ndugu wa karibu, wakaribie haraka sana, wakufikishe Milembe hospital. Matibabu ya mapema, mara nyingi hutoa matokeo mazuri. Ukipuuza, shauri yako.
Wewe huna unalojua pole sana dogo,karibu ccm
 
Lissu Afutwe uanachama kwa kosa lipi ccm acheni kutumia pesa kuivuruga chadema tumeshtuka,miaka 20 mnahonga watu wetu rushwa,rushwa,rushwa stupid! isingekuwa human resource ya chadema iliyoko huko ccm iliishakufa zamani.

CHADEMA, ina watu wenye akili kubwa. CCM imejaa low minds. Uwezo wao unaishia kwenye kutoa rushwa na kuwanunua wapinzani wenye uroho, lakini hawawezi kuigusa leadership, ambayo kwa ujumla imejaa weledi mkubwa. Wanahangaika na kupoteza pesa ambayo wangeweza hata kuitumia kuwapa mafunzo wafuasi na viongozi wao, ambao kwa hakika, walio wengi wamejaa ujinga, na daima wanaishi kwenye ujinga.
 
Afadhali hata ingekuwa na wajinga, huenda siku moja wangeondokana na ujinga, lakini hawa wa aina ya mleta mada, wamefikwa na uwendawazimu wa kiwango cha juu, badala ya kuwahi matibabu Milembe, wao wanakuja JF!!
Hahahaha 😂 😂 😂
Kabisaa mkuu!!!!!!
 
Akifutwa uanachama wa CHADEMA anwaweza akaanzisha chama chake (kama Zitto), au akajiteua kuwa mbunge wa kuteuliwa kwa tiketi ya CHADEMa (kama Halima), au akahamia NCCR-Mageuzi (kama Selasini), au akarudi CCM (David Silinde). . Alternatives zipo nyingi sana kwa wanasiasa Tanzania
 
Wanajukwaa habari zenu?

Sasa inaenda kuwa rasmi, nguli wa sheria na Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu anafutwa uanachama. Wana-CHADEMA kindakindaki wamepania kukipasua chama kabisa ili Freeman Mbowe ashike adabu yake.

Hakika kila lenye mwanzo halikosi mwisho, Bowel anaendelea kuwaburuza wenzie.

Ngoja tusikilizie.
Ngoja tusikie toka wapi tena si umeshasema
 
Naona Chademaphobia inaendelea kuitesa CCM!
Anyway bado huku kitaa tunangoja majibu ya hoja za Lissu!
 
Back
Top Bottom