Tundu Lissu kuhitaji gari lake aliloshambuliwa nalo hapa kuna mtego mkubwa na hesabu kali inachezwa

Tundu Lissu kuhitaji gari lake aliloshambuliwa nalo hapa kuna mtego mkubwa na hesabu kali inachezwa

MINOCYCLINE

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2015
Posts
8,018
Reaction score
16,802
Haya Majiniasi (Akili Kubwa) wa JamiiForums hebu njooni mtupe Ujiniasi wenu katika hili Sisi Mangumbaru (Akili Ndogo) kwani wenye Akili Kubwa wanadai katika hili kuna mahala Tundu Lissu Kawatega lakini pia kuna Hesabu Kali mno inachezwa hapa ambayo ikikosewa tu Mzanzibari atadharaulika na hatoamini.
 
Ndio maana RPC aliiacha kukutana naye, stay tuned
RPC huyo amshukuru mno huyo aliyemshauri kufanya hivyo ( Kumkwepa ) kwani akimkabidhi tu hilo Gari atakuwa ameshajiingiza Mwenyewe Mtegoni na Mamlaka yake nayo itakuwa Matatizoni.

Wawe nae makini mno katika hili la kudai / kulidai Gari lake hilo alilopata nalo Shambulio kwani Tundu Lissu siyo Ngumbaru (Mjinga) kama pengine Wanavyodhani.

Movie ndiyo Kwanza linaanza sasa.
 
Wanaopambana nae wawe Makini mno kwani kuna mahala anataka Kuwaingiza katika 18 zake ili apate Kianzio cha Kudili nao mazima Kisheria.
Hamna kitu hapo, kwani ni mara ya kwanza polisi kuachia gari lilipatwa na uhalifu?
 
Paul Albert
Kazi anayo
Katika mahojiano kadhaa ya lisu kuna mahali alisema kwanini Sabaya pekee yake
Wakati kuna mashetani kumzidi yapo uraiani kuna ajenda gani
Akaulizwa mfano wa mashetani hayo akamtaja Makonda

Huwenda kwa sasa Makonda akawa na ulinzi kutoka kwa wakubwa zake lakini kama kweli kuna siku katiba mpya itapatikana ile ambayo watu wanahitaji basi Makonda akimbie hii nchi kwa sababu maisha yake yaliyobaki atamalizia jela

Lisu anasema haki yake ni lazima ipatikane hata kama yeye akifa basi watoto wake wataidai
Ni maana kwamba kupitia katiba ndiyo upo urahisi wa kupata haki kwahiyo kama akifa kabla ya kupatikana katiba
Basi siku moja lazima itapatikana na kupitia hiyo watoto wake watadai haki ya baba yao
 
Lile gari kupatikana sio rahisi, na huenda washaiba kila kitu
Na Mtego wa Tundu Lissu ndiyo uko hapo hapo. Anajua fika kuwa hawezi Kulipata kutokana na Mazingira na Mamlaka anayodili nayo ila nae anafanya Makusudi huku akiwabananisha ili Wajichanganye wenyewe wampe Points za Ushindi na Wao Waumbuke na Ukweli mzima wa Tukio uaminike kwa Watanzania na Jumuiya ya Kimataifa ambao bado Kimya Kimya wanalifuatilia japo Watu wanadhani limeisha mazima.
 
Paul Albert
Kazi anayo
Katika mahojiano kadhaa ya lisu kuna mahali alisema kwanini Sabaya pekee yake
Wakati kuna mashetani kumzidi yapo uraiani kuna ajenda gani
Akaulizwa mfano wa mashetani hayo akamtaja Makonda

Huwenda kwa sasa Makonda akawa na ulinzi kutoka kwa wakubwa zake lakini kama kweli kuna siku katiba mpya itapatikana ile ambayo watu wanahitaji basi Makonda akimbie hii nchi kwa sababu maisha yake yaliyobaki atamalizia jela

Lisu anasema haki yake ni lazima ipatikane hata kama yeye akifa basi watoto wake wataidai
Ni maana kwamba kupitia katiba ndiyo upo urahisi wa kupata haki kwahiyo kama akifa kabla ya kupatikana katiba
Basi siku moja lazima itapatikana na kupitia hiyo watoto wake watadai haki ya baba yao
Na ndiyo maana nikasema kuna Mtego mkubwa hapa Unaandaliwa na Wakijichanganya tu anawamaliza na Wataumbuka vibaya sana.
 
RPC huyo amshukuru mno huyo aliyemshauri kufanya hivyo ( Kumkwepa ) kwani akimkabidhi tu hilo Gari atakuwa ameshajiingiza Mwenyewe Mtegoni na Mamlaka yake nayo itakuwa Matatizoni.

Wawe nae makini mno katika hili la kudai / kulidai Gari lake hilo alilopata nalo Shambulio kwani Tundu Lissu siyo Ngumbaru ( Mjinga ) kama pengine Wanavyodhani.

Movie ndiyo Kwanza linaanza sasa.
Lissu anapaswa kupewa gari lake , habari ya sijui mitego labda wategane wenyewe , yeye anachotaka ni gari ambalo ni mali yake , kama vile bodaboda wanavyochukua pikipiki zao walizopata nazo ajali au zilizokamatwa kwenye matukio
 
Back
Top Bottom