Rashidi Jololo
JF-Expert Member
- Sep 21, 2022
- 1,704
- 2,858
Asipewe gari lake kwa sheria ipi? Nyie chawa mnaongea kama mmekatwa vichwa, yaani ujira wa elfu saba kwa siku unakufanya unakuwa mpumbavu namna hii? Ajabu sanaAnajua kabisa hawezi kupewa gari, kaona amekosa upepo anatafuta kiki ili arudi ulaya kula maisha